Mchungaji asisitiza haki, Butiku akihimiza malezi kwa vijana
Dodoma. Viongozi na wanasiasa nchini, wameaswa kutohubiri amani pekee bila kutaja neno haki, kwani moja kati ya maneno hayo likisimama peke yake huwafanya watu kuwa watulivu kwa muda, huku Watanzania wakielezwa kuwa malezi ya vijana yamo mikononi mwao. Mchungaji Felix Msumari wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), ametoa kauli hiyo wakati wa kuhitimisha…