Isanzu, Nathwani, vitani tena Arusha Open

NI vita ya kisasi kati ya Ally Isanzu anayeongoza mbio za ubingwa wa Lina PG Tour na vijana watatu kutoka Arusha; Jay Nathwani, Garv Chadhar na Aliabas Kermali walioichafua rekodi yake ya kutoshindwa katika viwanja vya Arusha Gymkhana. Isanzu anapambana tena na vijana hao katika mashindano ya wazi yajulikanayo kama Arusha Open ambayo yanaanza katika…

Read More

TASAF YAJIVUNIA MABORESHO MAKUBWA KWA WANANCHI WALIOPITIWA NA MPANGO WA KUSAIDIA KAYA MASKINI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi wa mawasiliano na Mfumo wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Japhet Boazi amesema kupitia mpango wa kusaidia kaya maskini wanajivunia maboresho makubwa kwa Wananchi waliopitiwa na mpango huo kwa hali zao kuboreka zaidi. Aidha Mkurugenzi huyo amesema Tasaf imekuwa ikisaidia kaya maskini kwa kuwapa mitaji na mafunzo mbalimbali…

Read More

Rais Biden akutwa na Uviko-19, ashinikizwa kutogombea

Rais wa Marekani, Joe Biden jana Jumatano Julai 17, 2024 alipimwa na kugundulika na Uviko-19 hivyo kulazimika kukatiza mkutano wa kampeni uliokuwa na lengo la kutafutwa uungwaji mkono kwa wapiga kura wa Latino. Kwa mujibu wa tovuti ya BBC, Biden mwenye umri wa miaka 81 alibainika kuwa na dalili za ugonjwa huo na tayari ameanza matibabu…

Read More

Hii kiboko, Singida BS yapitisha fagio zito

SINGIDA Black Stars imeamua. Klabu hiyo iliyokuwa ikifahamika kama Ihefu na kumaliza katika nafasi ya saba kwenye Ligi Kuu Bara iliyomalizika hivi karibuni, inaelezwa imekifanya kile kilichofanywa na Pamba Jiji kwa kuifumua timu nzima. Pamba iliyopanda Ligi Kuu msimu ujao kutoka Ligi ya Championship ikiwa sambamba na KenGold, hivi karibuni ilitangaza kuunda benchi jipya la…

Read More

Rais Samia akutana Malaigwanani wa Ngorongoro, atangaza kuunda tume

Arusha.  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza uamuzi wa kuunda tume mbili ikiwamo itakayochunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro. Nyingine itaangalia utekelezaji wa uhamaji kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Rais Samia ametangaza uamuzi huo leo Jumapili, Desemba…

Read More