Mchungaji asisitiza haki, Butiku akihimiza malezi kwa vijana

Dodoma. Viongozi na wanasiasa nchini, wameaswa kutohubiri amani pekee bila kutaja neno haki, kwani moja kati ya maneno hayo likisimama peke yake huwafanya watu kuwa watulivu kwa muda, huku Watanzania wakielezwa kuwa malezi ya vijana yamo mikononi mwao. Mchungaji Felix Msumari wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), ametoa kauli hiyo wakati wa kuhitimisha…

Read More

Siku sita za maumivu, mashaka, wasiwasi

Dar es Salaam. Maumivu, wasiwasi na mashaka, ndiyo uhalisia wa kile walichokipitia wakazi wa baadhi ya mikoa nchini ikiwemo Dar es Salaam, katika siku sita za matukio ya vurugu na uvunjifu wa amani yaliyosababisha mabadiliko ya mtindo wa maisha. Matukio hayo yaliyotokea kuanzia Jumatano, Oktoba 29, 2025, yalihusisha baadhi ya wapinzani wa Serikali, kuandamana na…

Read More

Masista wanne, dereva wafariki dunia ajalini Mwanza

Mwanza. Masista wanne wa Shirika la Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, wamefariki dunia baada ya gari lao kugongana uso kwa uso na lori mkoani Mwanza. Waliofariki ni pamoja na Mama Mkuu wa Shirika hilo duniani, Sista Nelina Semeoni (60), raia wa Italia.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema ajali…

Read More

Upinzani walia mapingamizi kukwama | Mwananchi

Dar/mikoani. Vilio vya vyama vya upinzani vimeendelea kusikika vikidai kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji utakaofanyika Novemba 27, 2024. Baadhi ya wagombea wa vyama hivyo wamewasilisha mapingamizi na kuenguliwa tena huku wengine wakidai kushindwa kufanya hivyo baada ya ofisi za wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo kufungwa. Hatua hiyo,…

Read More

Fei Toto aiwahi Dodoma Jiji

AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tatu za kumalizia msimu wa Ligi Kuu, lakini taarifa njema ni kwamba kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyekosekana katika mechi tatu zilizopita kutokana na kuwa majeruhi amerejea uwanjani na kuiwahi Dodoma Jiji. Azam imesalia mechi tatu dhidi ya Dodoma jiji iliyopangwa kupigwa Mei…

Read More

CRDB Bank Marathon Congo yakusanya Dola 50,000 kusaidia wodi ya watoto Hospitali ya Jason Sendwe DRC

Mgeni rasmi katika mbio hizo ambazo zimewekahistoria katika marathon ambazo zimewahikufanyika katika jiji la Lubumbashi alikuwa ni Gavana wa Jimbo la Haut-Katanga Mhe. Jacques Kyabula ambaye aliambatana na mawaziri 10 wa Jimbo hilo wakiongozwa na Waziri wa Michezo, pamoja na Waziri wa Afya. Akizungumza baada ya kumalizika kwa mbiohizo za hisani zilizobeba kaulimbiu isemayo‘Tabasamu Limevuka…

Read More

BILIONI 14.48 KULIPA FIDIA MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza kwenye Kipindi cha mahojiani cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC kilichofanyika leo Januari 22,2024 katika ofisi za Kituo hicho jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amesema Serikali ya Tanzania inaandika historia katika uendelezaji wa sekta ya…

Read More

Safari ya Ikomba urais CWT, anavyoitazama elimu nchini

Dodoma. Binadamu anaishi Kwa malengo,ndoto na wakati mwingine matamanio ya kufanya jambo jema lenye mafanikio kwa ajili yake, familia au taifa. Kwenye malengo hayo, wako wanaoweka malengo ya muda mrefu,mfupi na muda wa kati lakini kwa ujumla ni kwamba yeyote anayeishi katika malengo hayo, atakuwa mtu mwenye kujituma na kufanya jambo kwa kiasi. Hata hivyo,…

Read More