Mambo yanayowasibu wachimbaji wadogo migodini, ufumbuzi watajwa

Dar es Salaam. Licha ya kuwa uchimbaji wa madini ni moja ya shughuli zinazovutia watu wengi, hususan wachimbaji wadogo, bado kundi hilo linakabiliwa na changamoto nyingi zinazohatarisha usalama na afya zao. Miongoni mwa changamoto kubwa ni matumizi ya kemikali hatari kama zebaki, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa takribani asilimia 71 ya shughuli za uchimbaji nchini zinahusisha…

Read More

Mpango asimulia Magufuli alivyomsisitiza kumtegemea Mungu, kudhibiti mapato ya Serikali

Dar es Salaam. Katika kumbukumbu zake kuhusu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, John Magufuli, Makamu wa Rais mstaafu, Dk Philip Mpango anasimulia kwa sauti ya utulivu lakini yenye hisia akikumbuka kiongozi aliyemfundisha kumtegemea Mungu na kusimamia fedha za umma kwa nidhamu isiyoyumba. Dk Mpango ametoa simulizi hiyo leo Chato inakofanyika misa takatifu ya kumbukumbu…

Read More

Bonasi yaibua ushindani BDL | Mwanaspoti

NAHODHA wa Stein Warriors, Mwalimu Herry amekiri kuna mabadiliko makubwa katika mchezo huo, yakichangiwa na udhamini pamoja na bonasi zinazotolewa kwa wachezaji. Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam imekuwa ikipiga hatua kila msimu kutokana na kuwepo kwa wadhamini tofauti na miaka ya nyuma na hii imeongeza ushindani kwa wachezaji wakiwania pia kupata bonasi….

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

Sasisho la kibinadamu la Gaza, mauaji zaidi huko Sudani, na kumaliza kutokujali nchini Myanmar – Maswala ya Ulimwenguni

Migomo mingi mara moja hadi Ijumaa iliripotiwa katika Jabalya al Balad na vitongoji vya Nazla, Ofisi ya UN kwa Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (Ocha) alisema katika yake Sasisho la hivi karibuni. Kama matokeo, karibu watu 900 waliripotiwa kukimbia kuelekea kitongoji cha Sheikh Radwan na Jiji la Gaza Magharibi. Kifungu salama, misaada zaidi UN na…

Read More

Siku tatu ngumu za Sowah Simba

NI takribani wiki moja imepita tangu taarifa za mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah ziripotiwe huku ikielezwa amesimamishwa kutokana na madai ya utovu wa nidhamu. Wakati muda huo ukipita huku kukiwa na ukimya kidogo, mapya yameibuka na kuelezwa uongozi wa klabu hiyo umempa siku…

Read More

GCLA YAWAFIKIA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA

Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Maabara za Sayansi Jinai na Vinasaba vya Binadamu, Fidelis Segumba (kushoto), akimsikiliza mdau aliyetembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita. Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Ziwa, John Wanjala (kushoto), akitoa…

Read More