Baba mbaroni akidaiwa kuwabaka watoto wake, mama asimulia ilivyokuwa
Arusha. Yasini Ramadhan (38), dereva bodaboda na mkazi wa Sakina jijini Arusha, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuwabaka watoto wake wawili wa kike, mmoja mwenye umri wa miaka sita na mwingine miezi saba. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Jumatatu, Machi 16, 2026 na…