Kengele ya hatari afya duni kwa bodaboda

Dar es Salaam. Bonny Sagati ni kijana mwendesha bodaboda anayefanya shughuli zake maeneo ya Tegeta mkoani Dar es Salaam. Aghalabu siku yake inaanza mapema mno, kabla hata jogoo hajawika. Akiwa bado na usingizi mzito, anapiga mswaki kwa haraka, anakunjua suruali yake iliyochakaa na kuivaa pamoja na jaketi ambalo halijui lini liliona maji! Saa chache baadaye,…

Read More

Usichojua kuota, kung’oka meno ya watoto

Shinyanga. Kuota meno ni kitendo cha meno kuanza kuchomoza kutoka kwenye fizi za mtoto, na ni hatua muhimu katika ukuaji wa mtoto, ambapo umri wa uotaji hutofautiana kati ya mtoto mmoja na mwingine. Hata hivyo, kitendo hicho kwa jamii nyingi kimekuwa kikitazamwa kwa sura na imani tofauti ikiwamo hata ile potofu zenye madhara kiafya Kwa…

Read More

Mbinu za kupeperusha mawazo ya kujiua

Kila mwaka ifikapo tarehe 10 Septemba ni Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani. Siku hii imeadhimishwa siku mbili zilizopita. Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka  huu hadi sasa kuna matukio ya kujiua zaidi ya 720,000 ambapo wanaume wanaongoza mara mbili  zaidi ya wanawake. Vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu…

Read More

Ushirikiano wa Kusini-Kusini ni nini, na inaweza kuwa lango la ulimwengu mzuri? – Maswala ya ulimwengu

Kwa maneno ya kweli, ushirikiano wa Kusini-Kusini ni mchakato ambao nchi zinazoendelea-bila kujali eneo lao la jiografia-hutafuta kufikia malengo yao ya kibinafsi au ya pamoja kupitia kubadilishana maarifa, ustadi, na rasilimali, kwa ushirika unaohusisha serikali, mashirika ya mkoa, asasi za kiraia, wasomi, na sekta binafsi. Uzoefu na malengo ya nchi nyingi katika kile kinachojulikana kama…

Read More

Mastaa Yanga wampa presha kocha Angola

WALE wapinzani wa Yanga, Waliete Benguela, wanaendelea kujipanga kabla ya kukutana na Yanga Septemba 19, lakini kocha mpya wa kikosi hicho amewataja mastaa wawili ambao wanampa presha. Yanga ikimaliza sherehe za kilele cha wiki ya Mwananchi, itakuwa na akili ya kujipanga kwenda kukutana na Simba, kwenye mchezo wa ngao ya jamii, utakaopigwa Septemba 16, 2025….

Read More