Sababu za Mtei kuianzisha Chadema

Dar es Salaam. Katika ukurasa wa historia ya siasa za Tanzania, wachache wameweza kuchangia kwa dhati na ujasiri kama Edwin Mtei ambaye alihitimisha maisha yake duniani jana. Akianza maisha kama mchunga mbuzi hadi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na baadaye kuwa Waziri wa Fedha, safari ya Edwin Mtei imekuwa ni mfano wa…

Read More

Miaka 33 ya Chadema iliyojaa machozi, jasho na damu

Miaka 33 ni umri wa mtu mzima. Umri huo ndiyo umefikiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tangu kuasisiwa kwake mwaka 1993, mwaka mmoja baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini. Chama hicho kimeshuhudia ukuaji wa hatua tangu kuanzishwa kwake ambapo kimepitia nyakati tofauti zilizochochea ukuaji wake na nyingine zilizokijeruhi na…

Read More

Mafuriko ya Msumbiji yanaongeza magonjwa, hatari za utapiamlo – mashirika ya Umoja wa Mataifa – Global Issues

Mkuu wa ofisi ya uratibu wa misaada, OCHAnchini humo, Paola Emerson, aliwaambia waandishi wa habari mjini Geneva kwamba zaidi ya watu nusu milioni wameathiriwa na mafuriko, yaliyosababishwa na mvua kubwa katika wiki za kwanza za mwaka mpya. “Idadi zinaendelea kuongezeka huku mafuriko makubwa yakiendelea na mabwawa yanaendelea kutoa maji ili kuzuia kupasuka,” alisema. Mkoa wa…

Read More

Mambo mawili yamrudisha Chama Simba

DEAL Done! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama ‘Mwamba wa Lusaka’ taarifa kuthibitisha amerudi Simba baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja akitokea Singida Black Stars, huku mambo mawili yakimbeba. Kukamilika kwa usajili huo ambao umethibitishwa…

Read More