Dk Nchimbi: Yajayo Mwanza yanafurahisha

Mwanza. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameeleza jinsi  chama hicho kitawafanyia wananchi wa mkoa wa Mwanza endapo watapewa ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Sekta ya elimu, afya, miundombinu ya barabara, huduma za maji na kijamii itakuwa ni kipaumbele kikubwa. Kuwasimamia na kuwawajibisha wabadhirifu wa…

Read More

Wasira: Mtuamini tuendelee kuwaletea maendeleo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi.Aidha, amesisitiza wananchi waendelee kukiamini na kukipa nafasi kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka.Wasira ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM kutoka Jimbo la Mbeya, akiwa…

Read More

Kiwanda kingine cha madini kujengwa Bahi

Bahi. Serikali imezindua mpango wa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusindika na kuyeyusha madini ya nikel na shaba kitakachogharimu Sh30 bilioni na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watu 300. Leo Agosti 26, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda hicho katika kijiji cha Zanka, Wilaya ya…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA ATAJA YALIYOFANYIKA UYUI AKIOMBA KURA KWA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha  Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora huku akitumia nafasi hiyo kuelezea mipango ya Serikali katika miaka mitano ijayo. Akizungumza leo Septemba 11,2025 katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Ilolanghulu wilayani Uyui mkoani Tabora, Dk.Samia Suluhu Hassan amesema wananchi…

Read More

Mambo 10 muhimu kwa Muislam siku ya Eid

Dar es Salaam. Sikukuu ya Eid ni miongoni mwa siku muhimu zaidi kwa Waislamu duniani, ikiwa ni hitimisho la ibada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Siku hiyo huadhimishwa kwa furaha, ibada na mshikamano wa kijamii. Hata hivyo, mbali na sherehe, kuna mambo kadhaa ya msingi ambayo Muislam anapaswa kuyazingatia ili kuifanya siku hiyo kuwa yenye…

Read More

Mwanafunzi afa maji akienda shuleni

Arusha. Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia Ijumaa Februari 27, 2026 imesababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na wawili kuokolewa wakati wakielekea shuleni kupitia kwenye korongo lililokuwa likipitisha maji kutoka maeneo ya miinuko. Mwanafunzi huyo, Daniel  Joseph (11) wa darasa la nne katika Shule Msingi Terrat iliyopo Kata ya Muriet jijini Arusha, mwili wake umehifadhiwa kwenye…

Read More

Kardinali Pengo alivyoumaliza mwendo, kauli za viongozi

Dar es Salaam. Ameumaliza mwendo. Ndivyo inavyoweza kuelezwa hitimisho la safari ya mwisho ya Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo katika maziko yake yaliyokusanya maelfu ya waombolezaji, wakiwemo viongozi wa kitaifa na wa kidini pamoja na wananchi wa kada mbalimbali. Shughuli hizo zilianza kwa misa takatifu iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es…

Read More