Kutoka Kuni Hadi Viazi: Mohammed Aibuka Mshindi wa Boda Boda ya PigaBet
• Ni muuza wa kuni, maji na viazi aliyeshinda boda boda ya PigaBet Dar es Salaam — Kuna watu wanaotafuta kazi. Halafu kuna watu ambao kila siku wanajitengenezea kazi kutoka kila pembe ya maisha. Muhammad Mussa wa Mburahati Motomoto ni mmoja wao. Akiwa na miaka 45, mke na watoto wawili, Muhammad si mtu wa kukaa….