Njaa ya kukata tamaa inasababisha umati wa watu dhoruba ya chakula cha UN huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Mawakala wa UN wanaonya kuwa enclave iliyoachwa inaangazia ukingo wa machafuko zaidi baada ya miezi ya vita na kuanguka kwa huduma zote muhimu. Tukio hilo lilitokea WFPKituo cha al-Ghafari huko Deir al-Balah, ambapo hisa ndogo za unga wa ngano zilikuwa zimewekwa tayari kutumiwa na mkate wa mkate ambao umeweza kuanza tena shughuli. Matokeo mabaya Corne…

Read More

Fadlu awamwagia sifa mastaa wa Simba

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kufurahishwa na viwango vya wachezaji wa timu hiyo na kuwamwagia sifa kutokana na kuonyesha ukomavu na kupata matokeo ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CS Constantine ya Algeria wakati wakihitimisha mechi za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba ilipata ushindi huo jioni ya leo kwenye Uwanja wa…

Read More

Puma Energy Tanzania Yaunga Mkono Maadhimisho ya Siku ya Samia kwa Kuchangia Nishati Safi ya Kupikia

Kampuni ya Puma Energy Tanzania leo imeungana na wakazi wa mkoa wa Dodoma katika kusherehekea Siku ya Samia, ikiwa ni kuenzi uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, hususan katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi kwa Watanzania. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Bi. Fatma Abdalla,…

Read More

Rais Dkt. Samia azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa SGR kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Pugu Jijini Dare es Salaam wakati akielekea…

Read More

FEDHA ZA CSR ZA BARRICK BULYANHULU KUENDELEA KUFANIKISHA MIRADI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA NYANG’HWALE

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Johan Labuschagne (kushoto) akibadilishana mkataba na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nyang’hwale, John Isack. John (kulia) ambapo mgodi utatoa kiasi cha shilingi bilioni 1.07 kutekeleza miradi ya CSR mwaka huu, wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Nyang’hwale, Ezekiel Ntiriyo na (katikati) ni Katibu Tawala wa wilaya…

Read More

Tendwa amefariki dunia akipatiwa matibabu Muhimbili

Dar es Salaam. William Tendwa mtoto wa aliyekuwa Jaji na Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amesema baba yake amefariki saa nane usiku wa kuamkia leo, akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa MuhimbilI (MNH). Mtoto huyo wa pili wa marehemu, akizungumza na Mwananchi leo Desemba 17,2024 nyumbani kwao Kibamba jijini hapa,  amesema kwa sasa…

Read More

Uwanja wainyima mabao Simba | Mwanaspoti

LICHA ya ushindi wa mabao 4-1 iliyopata Simba Queens kwenye mchezo wa Ligi Kuu, kocha wa timu hiyo, Yussif Basigi amesema walikuwa na nafasi ya kufunga mengi zaidi, lakini tatizo ni uwanja. Tangu ametua nchini akitokea Hasaacas Ladies ya Ghana, Basigi msimu huu hajapoteza mchezo wowote wa ligi akiongoza kwenye msimamo wa ligi na pointi…

Read More