Ushirikiano wa Kusini-Kusini ni nini, na inaweza kuwa lango la ulimwengu mzuri? – Maswala ya ulimwengu

Kwa maneno ya kweli, ushirikiano wa Kusini-Kusini ni mchakato ambao nchi zinazoendelea-bila kujali eneo lao la jiografia-hutafuta kufikia malengo yao ya kibinafsi au ya pamoja kupitia kubadilishana maarifa, ustadi, na rasilimali, kwa ushirika unaohusisha serikali, mashirika ya mkoa, asasi za kiraia, wasomi, na sekta binafsi. Uzoefu na malengo ya nchi nyingi katika kile kinachojulikana kama…

Read More

Mastaa Yanga wampa presha kocha Angola

WALE wapinzani wa Yanga, Waliete Benguela, wanaendelea kujipanga kabla ya kukutana na Yanga Septemba 19, lakini kocha mpya wa kikosi hicho amewataja mastaa wawili ambao wanampa presha. Yanga ikimaliza sherehe za kilele cha wiki ya Mwananchi, itakuwa na akili ya kujipanga kwenda kukutana na Simba, kwenye mchezo wa ngao ya jamii, utakaopigwa Septemba 16, 2025….

Read More

Kwa Yanga hii Folz anatamba nje, ndani

WANAYANGA wanaweza kutembea kifua mbele wakati msimu wa 2025-2026 ukikaribia kuanza kwani uongozi wa klabu hiyo umefanya uwekezaji mzuri katika kujenga kikosi imara. Ukiangalia katika usajili wa dirisha kubwa uliofungwa Septemba 7, 2025, kuna nyota wapya 11 wamesajiliwa na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na Ngao ya Jamii. Nyota hao…

Read More

Fadlu aamua kuja kivingine | Mwanaspoti

SIMBA juzi usiku ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika tamasha la Simba Day, lakini kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids amefunguka kuhusu maandalizi ya kikosi kwa ajili ya msimu mpya akiweka bayana mfumo mpya anaokuja nao anaoamini utawatesa wapinzani. Kocha huyo Msauzi anayeinoa Simba kwa msimu wa pili, juzi…

Read More

Hawa, Tamasha la Yanga Day liliwabeba

Leo Septemba 12 ndiyo kilele cha tamasha la saba la Yanga lijulikanalo kama ‘Wiki ya Mwananchi’ litakalofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika kila kilele cha Wiki ya Mwananchi, Yanga hucheza mechi ya kimataifa ya kirafiki na timu kutoka nje ya Tanzania na safari hii itakabiliana na Bandari FC ya Kenya. Yanga…

Read More

Miaka 90 Yanga si mchezo

TANGU mwaka 2019, ambapo Mwenyekiti wa Yanga wakati huo Dkt. Mshindo Msolla alitekeleza Wiki ya Mwananchi kwa mara ya kwanza na kuwa na kilele chake kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa kwa burudani na mechi ya kirafiki, tayari imepita miaka sita na miezi minane. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa tamasha la kwanza la Yanga lilianza kwa sare ya…

Read More