Rais Samia awaita wafanyabiashara kuchangamkia soko huru Afrika

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wenye bidhaa zenye viwango kwenda katika Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade) na kujisajili ili waweze kunufaika na Soko Huru la Biashara Afrika ambalo Tanzania imeridhia. Hadi sasa kampuni 11 zimeanza kutumia fursa hiyo muhimu kusafirisha bidhaa za kahawa, katani, viungo, karanga na tumbaku kwenda…

Read More

UNYAMA NI KUCHEZA SLOTI YA 100 SUPER ICY

  UNYAMA Upo Kasino tu, Jiandae kuibuka na Mamilioni kwa kucheza mchezo wa Sloti ya 100 Super Icy, unapatika kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Kucheza kasino unatakiwa kujisajili hapa kisha andaa mtaji mdogo upate mkwanja mrefu. Sloti hii itakupa burudani ya matunda yaliyogandishwa! Ni wakati wa kuhisi ladha yake, na kwa bahati nzuri, hata ushindi wa kuvutia…

Read More

HUDUMA YA MWENDOKASI IANZE MBAGALA’ MHE NYAMOGA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wake, Mhe Lazaro Nyamoga imefanya ziara ya kikazi ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundombinu na uendeshaji wa mabasi yaendayo haraka Akiongea na wananchi wa eneo la Mbagala Kijichi Mhe.Nyamoga ameitaka serikali kuhakikisha wanapeleka huduma ya mabasi katika…

Read More

WANANCHI WA KATA YA LITUMBANDYOSI MBINGA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA KITUO CHA AFYA

 Baadhi ya majengo ya kutolea huduma za afya katika kituo cha afya Litumbandyosi kata ya Litumbandyosi Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Sh.milioni 500 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo. Afisa Muuguzi wa kituo cha afya Litumbandyosi Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma Songela Songela kulia,akimuonyesha Mganga Mkuu…

Read More

Majaliwa ataka viongozi wa dini kukemea mmomonyoko wa maadili

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa dini nchini kuendelea kukemea vitendo vinavyochangia mmomonyoko wa maadili, kama vile matumizi ya dawa za kulevya. Majaliwa amesema hayo leo, Februari 26, 2025, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano Kitaifa (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC). Akizungumza kwa…

Read More