Puma yaboresha upatikanaji wa nishati Singida

Dar es Salaam. Kampuni ya Puma Energy imezindua kituo cha huduma mkoani Singida, ikisema hatua hiyo inalenga kuboresha upatikanaji wa nishati, kuunda fursa za kiuchumi na kutoa huduma za kisasa kwa wananchi. Kituo hicho kipya kimeelezwa kitachangia kukuza maendeleo ya kiuchumi ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho,…

Read More

Rais Sri Lanka atupwa sero kwa matumizi mabaya ya fedha

Idara ya Upelelezi wa Jinai (CID) nchini Sri Lanka imemkata aliyekuwa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Ranil Wickremesinghe kwa madai ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali. Wickremesinghe (76) amekamatwa baada ya kufika katika ofisi ya CID katika mji mkuu Colombo kutoa maelezo ya taarifa ya uchunguzi wa ziara yake ya London pamoja kuhudhuria…

Read More

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi Shinyanga

Shinyanga. Serikali imesema itatuma timu ya kamishna wa ardhi kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyanga ili kuzitambua baadhi ya kaya zilizosahaulika wakati wa tathmini ya umilikishwaji wa ardhi katika eneo la zaidi ya ekari 300 za Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (Mwanva) FDC. Wananchi hao ni wale waliosahaulika kwenye Takwimu zilizotolewa kwa Rais wa awamu ya…

Read More

Mikakati kumaliza changamoto ya umbali wa shule Fukayosi yaanza -3

Bagamoyo. Changamoto ya baadhi ya wanafunzi kutembea umbali mrefu katika Kata ya Fukayosi, iliyobainishwa na uchunguzi wa Mwananchi, imeanza kupatiwa ufumbuzi kupitia hatua mbalimbali zinazochukuliwa. Uchunguzi wa Mwananchi katika baadhi ya vijiji vya Kata ya Fukayosi, ikiwemo Mkenge, Kidomole na Mwavi, katika Halmashauri ya Bagamoyo mkoani Pwani, ulibaini kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru kifungo cha miaka 30 jela

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela alichokuwa amehukumiwa Lemindea Lesira baada ya kukutwa na kosa la ubakaji. Makosa mengine aliyokutwa nayo na hatia na kuhukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka mitano na faini kwa mwathirika wa tukio hilo ni kusababisha madhara makubwa kinyume na kifungu cha 225 na kosa…

Read More

Depu aendeleza moto Ligi Kuu, Nsajigwa hali bado tete

LAURINDO Aurelio ‘Depu’ amempatia kocha Pedro Goncalves kile alichohitaji baada ya kufunga bao pekee wakati Yanga ikiichapa Tanzania Prisons. Depu ambaye alitokea benchi kipindi cha pili akiingia kuchukua nafasi ya Mohamed Damaro, dakika ya 78 alifunga bao hilo kufuatia kipa wa Tanzania Prisons, Mussa Mbissa kushindwa kuokoa mpira wa faulo uliopigwa na Allan Okello. Mechi…

Read More