Taasisi 16 za kilimo ikolojia hai kushiriki nanenane

  WADAU wa kilimo ikolojia hai kutoka taasisi 16 nchini wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kitaifa ya nanenane 2024 ambayo yaanza tarehe 1 hadi 8 Agosti mwaka huu mkoani Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yamesemwa na Mratibu wa Kikosi Kazi cha Mbegu Asili nchini, Abdallah Mkindi wakati akizungumza na mwandishi wa habari…

Read More

TWFA Mwanza yapata mabosi wapya

SOPHIA Tigalyoma amechaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Soka la Wanawake (TWFA) Mkoa wa Mwanza akimbwaga aliyekuwa mtetezi wa kiti hicho Sophia Makilagi. Tigalyoma amerejea kwenye nafasi hiyo tena baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi huo uliofanyikwa leo Jumamosi kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia saa 4:00 hadi 4:50 asubuhi kwa…

Read More

WAZIRI MKUU AJIANDIKISHA KIJIJINI KWAKE NANDAGALA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijiandikisha kwenye Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Vijiji utakaofanyika Novemba 27, 2024. Waziri Mkuu alijiandikisha kwenye kituo cha shule ya msingi Nandagala iliyopo kitongoji cha Nanguruwe, Kata ya Nandagala, Ruangwa Mkoani Lindi. Oktoba 19, 2024 Kushoto ni Afisa Uandikishaji Bw….

Read More

‘Walimu wasiosimamia adhabu ya viboko waondolewe’

Simiyu. Serikali imeshauriwa kuwaondoa katika nafasi zao walimu wakuu na wakuu wa shule za msingi na sekondari ambao watashindwa kusimamia utoaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi kwa kufuata Waraka wa Elimu Namba 24. Ushauri huo umetolewa baada ya ongezeko la matukio ya udhalilishaji na madhara kwa wanafunzi yanayosababishwa na adhabu hizo, hasa baada ya…

Read More

MBEGU ZA MITI YA ASILI KUONGEZA UHIFADHI ENDELEVU

  Wataalamu na taasisi zinazohusika na utoaji wa taaluma na utafiti wa Misitu wametakiwa kutumia taaluma zao kufanya tafiti zitakazo saidia kuishawishi Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzisha ‘stoo’ ya mbegu ya muda mrefu (Genebank) ya miti ya asili ili kuepuka na kukabiliana na hatari za kupoteza vizazi vya miti ya asili na…

Read More

Ukata waitoa Mbeya Taifa Cup

WAKATI Ligi ya mchezo wa kikapu Taifa ‘Taifa Cup’ ikitarajia kuanza Juni 19, timu ya Wanaume mkoani Mbeya imejitoa kushiriki michuano hiyo ikidai kukabiliwa na ukata. Akizungumza na Mwanasspoti Makamu wa Chama cha mchezo humo Mkoa wa Mbeya (MBA), Joseph Fyondi alikiri timu hiyo kujitoa kwenye mashindano hayo akieleza kuwa ukata ndio sababu. Alisema licha…

Read More

Misaada ya kuokoa maisha ya UN inaruhusiwa kuteleza ndani ya Gaza kama inavyohitaji kuongezeka-maswala ya ulimwengu

Alisisitiza kwamba msaada lazima uwasilishwe haraka na moja kwa moja kwa wale wanaohitaji sana. Aliwaambia waandishi wa habari huko New York kuwa watu wa UN wa kibinadamu walikuwa wakipeleka unga, dawa, vifaa vya lishe na vitu vingine vya msingi kupitia upande wa Palestina wa kuvuka kwa Kerem Shalom – siku moja baada ya kufanikiwa kuleta…

Read More

RC Andengenye: Jamii Iliyostaarabika huishi kwa kuheshimiana

Kigoma. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye ametoa rai kwa jamii kuachana na mila na desturi zinazochochea ubaguzi na unyanyapaa dhidi ya watu wenye ulemavu na wasiojiweza. Kwa mujibu wa Andengenye vitendo hivyo vinakiuka misingi ya utu na vinadhoofisha ustaarabu wa jamii. Amesisitiza kuwa jamii iliyostaarabika hujengwa kwa misingi ya heshima, usawa na mshikamano,…

Read More