Dk Mwinyi aahidi kuondoa utitiri wa kodi, kupanua wigo wa mikopo

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amewahakikishia wafanyabiashara ambao hawajapata mkopo unaotolewa Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA), watapata endapo akipata ridhaa ya kuiongoza tena Zanzibar. Pia, amesema watapunguza utitiri wa kodi ili waweze kufanya biashara zao kwa tija. Kauli hiyo ameitoa leo Septemba 24, 2025…

Read More

Takukuru kushirikiana na FIU, kuchunguza utakatishaji fedha

Dodoma. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Kitengo cha Kudhibiti fedha haramu (FIU) wametiliana saini mkataba wa kubadilishana taarifa nyeti. Tukio hilo limefanyika ofisi za Takukuru makao makuu Dodoma leo Jumatano Septemba 24, 2025 mkataba ukitajwa kuwa unakwenda kumaliza mapungufu ya kiuchunguzi na muda unaotumika hasa kwenye uchunguzi na utakatishaji fedha. Mkurugenzi…

Read More

Watatu walioshtakiwa kumuua bodaboda, wahukumiwa kunyongwa

Arusha. Watuhumiwa watatu kati ya wanne walioshtakiwa kwa mauaji ya dereva bodaboda, Shaban Mwalile, wamehukumiwa adhabu ya  kunyongwa hadi kufa. Mwenzao mmoja aliyekuwa ameshtakiwa nao, alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kukiri kosa la kusaidia kuficha taarifa za mauaji hayo, chini ya kifungu cha 213 cha kanuni ya adhabu. Washtakiwa waliohukumiwa kunyongwa ni…

Read More

Maelfu Wajaa Ruangwa: Dk. Samia Apokelewa Kwa Shangwe

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa NI upendo mkubwa kwa mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan !Ndivyo unavyoweza kuelezea namna ambavyo maelfu wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi leo Septemba 24,2025 wamejitokeza kwa wingi katika mkutano wa kampeni wa mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan. Katika Uwanja wa Madini uliopo Ruangwa Mjini wilayani Ruangwa…

Read More

Njia ya COP30 – maswala ya ulimwengu

Mkutano huo, ambao hufanyika mnamo tarehe 24 Septemba katika makao makuu ya UN, umeundwa kama uzinduzi wa COP30 lakini, tofauti na mazungumzo ya mkutano wa hali ya hewa wa UN, hii ni tukio la kiwango cha juu ambapo wakuu wa serikali, viongozi wa serikali, biashara, na asasi za kiraia zinatarajiwa kuwasilisha ahadi za zege na…

Read More

Yule kocha wa Yanga mambo yamemchachia

LICHA ya rekodi tamu aliyoiandika akiwa na Yanga kwa kuipa mataji matatu kwa mpigo, ikiwamo kuifumua Simba kwa mabao 2-0 katika pambano la Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25 na kuwafanya vijana wa Jangwani kutetea taji kwa msimu wa nne mfululizo, hali si shwari kwa kocha Miloud Hamdi. Hamdi aliyeipa Yanga Kombe la Muungano 2025,…

Read More

DKT.NCHIMBI ALIVYOHITIMISHA KAMPENI ZAKE MKOA WA NJOMBE

Matukio mbalimbali katika picha za mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika mjini Makambako, mkoani Njombe alipokuwa akihitimisha mikutano yake kampeni mkoani humo leo Septemba 24, 2025. Mara baada ya kuwahutubia Wanachi katika mkutano huo,Dkt.Nchimbi pia alitumia nafasi…

Read More