Kiswaga, Lema na Mkuchika wafunguka kuhusu Lukuvi

Dar es Salaam. Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka. Kumbukumbu za matendo ya Lukuvi enzi za uhai wake, zimemuibua pia mwanasiasa mkongwe, Kapteni George Mkuchika na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini…

Read More

FANYENI TAFITI, TUMIENI TAKWIMU SAHIHI – WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe kila wakati wanafanya utafiti na kupata takwimu sahihi. “Maofisa Mawasiliano wote jengeni utamaduni wa kufanya tafiti, kupata takwimu sahihi kabla kuzisambaza kwa wananchi na kuhuisha taarifa za kisekta kwenye tovuti,” amesema. Ametoa wito huo leo…

Read More

Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa lugha wanayoielewa. Dkt. Mwigulu amesema bila kutumia njia na lugha rafiki kwa vijana, taarifa muhimu zinaweza zisifikie walengwa au kushindwa kuwavutia. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa maudhui yanapaswa kuwa…

Read More

SERIKALI YAPONGEZA UBUNIFU USHIRIKI MASOKO YA MITAJI

 WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameagiza wadau wote katika masoko ya mitaji na dhamana wazingatie sheria na kanuni za masoko ya fedha huku wakiimarisha utoaji wa huduma kwa njia ya kidigitali. Akizungumza Jumanne wakati wa sherehe ya 5 ya kuhitimisha kozi ya Cheti cha Sekta ya Dhamana na Shindano la Vyuo Vikuu na…

Read More

Mafunzo yaiwekea mkakati KVZ | Mwanaspoti

TIMU ya Mafunzo, imeanza kujinoa kwa ajili ya kumaliza vizuri msimu huu wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) katika mechi kumi zilizobaki ambapo itaanza na KVZ. Akizungumza na Mwanaspoti kuelekea mchezo wao dhidi ya KVZ utakaopigwa Machi 28, 2026 kwenye Uwanja wa Mao A, uliopo Mjini Unguja, Kocha Mkuu wa Mafunzo, Salum Ali Haji, ameweka wazi…

Read More