GSM Yashinda Tenda ya Kujenga Uwanja wa Yanga

Klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga) imepiga hatua kubwa katika safari yake ya kuwa na uwanja wa kisasa, baada ya kampuni ya GSM Tanzania Limited kutangazwa rasmi kushinda zabuni ya ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo. Hatua hiyo inaashiria mwanzo wa utekelezaji wa ndoto ya muda mrefu ya Wananchi ya kumiliki…

Read More

Misingi ya ununuzi yasisitizwa katika utekelezaji wa miradi

Dar es Salaam. Benki ya Dunia imesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo hauwezi kufanikiwa bila mifumo madhubuti ya ununuzi inayozingatia ufanisi, uwazi na utekelezaji kwa wakati, ikisisitiza kuwa kuchelewa kwa maendeleo ni sawa na kuwanyima wananchi haki yao ya kunufaika na rasilimali za umma. Kutokana na hilo, Benki ya Dunia imeingia mkataba na Chuo Kikuu…

Read More

Nassoro Hamdani afariki dunia | Mwananchi

Tabora. Mjumbe mstaafu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Tabora, Nassoro Hamdani, amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mbali na nafasi yake ya kisiasa, Hamdani alikuwa ni mkurugenzi wa kampuni ya usafirishaji ya NBS Classic. Akizungumza na Mwananchi, Salum Hamdani…

Read More