Mabadiliko ya kikokotoo yawakuna wabunge

Dar/Dodoma. Baada ya kilio kuhusu kikokotoo cha mafao ya wastaafu kusikika baadhi wa wabunge, wamepongeza hatua hiyo wakisema ni nzuri japokuwa walitarajia zaidi. Kauli hizo za wabunge zinafuatia hatua ya Serikali kuongeza fao la mkupuo watakalolipwa wastaafu kwa asilimia mbili kwa baadhi yao na wengine asilimia saba. Ongezeko la fao hilo la mkupuo linajibu vilio…

Read More

Aprili inavyoibeba Simba Kariakoo Dabi

MASHABIKI wa Simba na Yanga tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii ya Aprili 20, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Hili litakuwa pambano la 112 kwa timu hizo kukutana katika Ligi Kuu Bara tangu mwaka 1965,…

Read More

Ruto aahidi nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi Kenya – DW – 01.05.2024

Rais William Ruto alipanda jukwaani na kutangaza nyongeza isiyopungua asilimia ya kima cha chini cha mshahara. Kwenye hotuba yake, rais William Ruto alibainisha kuwa nyongeza hiyo inanuwia kuwapiga jeki wafanyakazi na kumtaka waziri wa Leba Florence Bore kufanikisha agizo hilo. Itakumbukwa kuwa kwenye kongamano la tatu la taifa la masuala ya mshahara, Rais William Ruto alisisitiza…

Read More

Oryx Gas na TCRF waunga mkono jitihada za Rais Samia kwa kufunga jiko la nishati mashuleni

KATIKA kuunga juhudi za Serikali kupitia kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Oryx Gas Tanzania imeshirikiana na Taasisi ya Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) kuhakikisha shule ambazo zinawanafunzi zaidi 100 kuunganisha jiko linalotumia mfumo wa nishati safi ili kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni. Akizungumza leo Septemba 19,2025 katika hafla ya uzinduzi wa…

Read More

MTU WA MPIRA: Kuna Bocco mmoja tu, halafu eti anaondoka!

KILA mwanadamu huzaliwa mara moja, huishi mara moja na kufariki mara moja. Iko hivyo. Ila katika kila eneo kuna mwanadamu wa kipekee. Leo nimzungumzie John Bocco ‘Adebayor’. Straika halisi wa mpira. Straika Bora wa muda wote wa Ligi yetu. Nyakati zimekwenda wapi? Majuzi Simba imetangaza kuwa Bocco hatakuwa sehemu ya kikosi chao kwa msimu ujao….

Read More

Majaliwa: Sera ya Taifa ya Ufuatiliaji na Tathmini ikamilishwe haraka

Mwanza. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mkakati wa kuhakikisha shughuli zote za ufuatiliaji na tathmini zinaimarishwa, huku akizitaka taasisi husika kukamilisha maandalizi ya Sera ya Taifa ya Ufuatiliaji na Tathmini ili kuwezesha kutungwa kwa sheria itakayosimamia utekelezaji wake. Akifungua Kongamano la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza (MEL) leo Alhamisi Septemba 11, 2025…

Read More