NSSF yawatega waajiri, yatoa siku 14 wadaiwa sugu

Babati. Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) Mkoa wa Manyara, unatarajia kuanzisha operesheni maalumu baada ya siku 14 ya ukusanyaji wa madeni kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango ya wafanyakazi wao. Umesema lengo ni kuhakikisha haki za msingi za wanachama zinalindwa. Hayo yamesemwa leo Jumatano, Juni 18, 2025 na Ofisa Matekelezo mkuu wa…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi – 11

Mishi, binti mrembo wa Kitanga, ndio kwanza amefunga ndoa na dereva wa malori, Musa, ambaye amekuwa akimpa zawadi mbalimbali zilizomchanganya hadi akakolea. Ghafla anamuona shosti wake, Amina akiwa na pesa nyingi anazopewa na bwana wake mpya. Mishi anatamani naye angekuwa anapata pesa nyingi kama hizo…

Read More

Mkuu wa IAEA azuru Kinu cha nyuklia cha Kursk nchini Urusi – DW – 27.08.2024

Msemaji wa shirika la nyuklia la Urusi, Rosatom, ameliambia shirika la habari la AFP kuwa Rossi aliwasili katika kinu cha Kursk wakati akiongoza ujumbe wa kutathmini hali ilivyo, ambayo ameonya kuwa ni “mbaya mno”. Grossi, alioneshwa kwenye televisheni ya taifa ya Urusi akizungumza na maafisa wa nyuklia wa Urusi katika kiwanda hicho. “Kwanza kabisa, namshukuru Rais…

Read More

Magari ya shule yenye ‘tinted’ yapigwa marufuku Mwanza

Mwanza. Ofisa Elimu Mkoa wa Mwanza, Martin Nkwabi ametaja changamoto tano zilizoko kwenye magari ya shule yanayowafuata na kuwarudisha wanafunzi nyumbani, huku akipiga marufuku magari hayo kuwa na vioo visivyoonyesha aliyekaa ndani ‘tinted’. Amesema changamoto nyingine ni madereva kukiuka muda wa kuwafuata na kuwarudisha wanafunzi nyumbani na ukosefu wa wahudumu wa kike, wamiliki wa shule…

Read More

Staa Srelio aionya Dar City

BAADA ya Srelio kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kocha msaidizi wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema mkakati waliouweka ni kuhakikisha wanaiondoa Dar City katika hatua hiyo. Srelio imepata nafasi hiyo ni baada ya kuifunga Mgulani JKT kwa pointi 45-35, hali iliyofanya ishike nafasi ya nane…

Read More

BARAZA LA MAWAZIRI EAC LAKUTANA JIJINI ARUSHA

Mkutano Maalum wa 53 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umefanyika leo tarehe 25 Aprili 2024 Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha. Mkutano huo, pamoja na masuala mengine umejadili na kupitisha Makadrio ya Bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano huo umeongozwa…

Read More