Wakulima Rombo waomba Serikali kudhibiti pembejeo duni

Rombo. Wakulima wa kahawa katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kudhibiti uuzwaji wa pembejeo duni, wakisema hali hiyo imekuwa kikwazo kwa juhudi zao za kukabiliana na magonjwa ya mimea, hususan kutu ya majani. Wamesema magonjwa hayo yanapunguza uzalishaji kwa kiasi kikubwa na kuwaathiri kiuchumi, kwani kahawa ni zao tegemeo kwa…

Read More

CHACHA NYANDONGO,SAUTI YA WAONGOZA WATALII TANZANIA

Na Pamela Mollel Arusha, Katika sekta ya utalii nchini Tanzania, jina la Chacha Nyandongo si geni tena. Akiwa na zaidi ya miaka 20 ya uzoefu kama mwongoza watalii, Chacha amejipatia umaarufu mkubwa kutokana na weledi, uzalendo na mapenzi yake katika kazi ya kuongoza watalii nchini Tanzania Kwa sasa, Chacha anawakilisha kampuni ya Ndoto Kubwa Tours,…

Read More

Majaliwa: Tuzingatie sheria kwa shughuli tunazofanya, kuabudu

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wanaofanya shughuli mbalimbali ziwe za kikundi, binafsi au za umma kuzingatia sheria, ikiwemo katika kutekeleza uhuru wa kuabudu. “Tunavyokuja kuabudu, lazima tuzingatie sheria ya uhuru wa kuabudu. Katiba ya Tanzania ibara 19(3) imeweka bayana ufafanuzi wa kuabudu ilimradi hakuna uvunjifu wa amani na sheria za nchi….

Read More

TUMEWAFIKIA KISIWA CHA CHOLE UMEME UNAKUJA

TANESCO inaendelea na utekelezaji wa mradi wa usambazaji umeme kwenye kisiwa cha chole kilichopo Wilayani Mafia Mkoani Pwani. Mradi huu unahusisha kuvusha umeme kupitia baharini kwa kutumia waya wa marine cable wenye urefu wa zaidi ya kilomita moja na nusu. Upatikanaji wa umeme wa uhakika ilikuwa ndoto ya siku nyingi kwa wakazi wa kisiwa cha…

Read More