Mabadiliko ya kikokotoo yawakuna wabunge
Dar/Dodoma. Baada ya kilio kuhusu kikokotoo cha mafao ya wastaafu kusikika baadhi wa wabunge, wamepongeza hatua hiyo wakisema ni nzuri japokuwa walitarajia zaidi. Kauli hizo za wabunge zinafuatia hatua ya Serikali kuongeza fao la mkupuo watakalolipwa wastaafu kwa asilimia mbili kwa baadhi yao na wengine asilimia saba. Ongezeko la fao hilo la mkupuo linajibu vilio…