Njia ya Guinea kwa Uhuru wa Uchaguzi – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Luc Gnago/Reuters kupitia Gallo Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumanne, Januari 20, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Januari 20 (IPS) – Mwezi Desemba, kivumbi kilitanda katika uchaguzi wa kwanza wa ŕais wa Guinea tangu jeshi lilipochukua udhibiti katika mapinduzi ya mwaka 2021. Jenerali Mamady Doumbouya alibaki madarakani baada ya kupata…

Read More

VIJANA WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA AKILI UNDE

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Dkt Nkundwe Mwasaga akizungumza na wanahabari katika siku ya pili ya kongamano la Tisa la TEHAMA (TAIC 2026) ambalo limeanza Jan 19 hadi 23 mwaka huu linalojadili mwelekeo wa maendeleo ya kidigitali Dira 2050 ……… Vijana nchini wametakiwa kutumia fursa ya kufanya bunifu mbalimbali hasa maeneo yanayohusiana na Akili…

Read More

Makundi ya tembo yawatisha wananchi Lushoto, Serikali yaanza tatua za dharura

Lushoto. Wananchi wa kata ya Lunguza katika Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga wamelalamikia uwepo wa makundi makubwa ya tembo ambayo yamekuwa yakiharibu mazao mashambani, kuharibu miundombinu ya maji na wakati mwingine kusababisha vifo vya watu, hali inayowafanya kuishi kwa hofu. Wakizungumza na Mwananchi Januari 20, 2026, wananchi hao waliiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kwa…

Read More

Vijiji 72 kunufaika na mradi wa matumizi ya ardhi

Njombe. Jumla ya vijiji 72 vilivyopo katika mikoa ya Njombe na Iringa vinatarajiwa kunufaika na mradi wa maendeleleo ya matumizi ya ardhi na mnyororo wa thamani ya misitu hapa Tanzania. Taarifa hiyo imetolewa katika tukio la utiaji wa saini wa hati ya makubaliano ya kikanda (MoU) kati ya makatibu tawala wa mikoa ya Njombe na…

Read More

Ombwe la utawala wa sheria mjadala

Dar es Salaam. Hoja ya ombwe la utawala wa sheria imeibua mjadala, baadhi ya wadau wamesema hali hiyo imesababishwa na baadhi ya mihimili kutotimiza wajibu kama inavyopaswa. Wapo wanaosema hakuna ombwe la utawala wa sheria nchini, kwa hoja kuwa kila muhimili unatimiza wajibu wake wa kutunga sheria, kusimamia na kutekeleza, kadhalika kutafsiri. Wanaosema kuna ombwe…

Read More

Kesi ya Dk Manguruwe: Mwalimu mstaafu aeleza jinsi alivyotapeliwa Sh48 milioni kupitia kilimo

Dar es Salaam. Shahidi wa kwanza wa upande wa Jamhuri katika kesi ya kuendesha biashara ya upatu inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya(40), maarufu Dk Manguruwe na mwenzake, ameieleza jinsi alivyotapeliwa Sh48 milioni na mshtakiwa huyo kupitia kilimo cha vitunguu saumu na Parachichi. Shahidi huyo, Monica Ndambala (64) ambaye ni mwalimu…

Read More

Msigwa: Uwekezaji bandari waimarisha ufanisi, mapato

Dar es Salaam. Serikali imesema uwekezaji uliofanywa katika Bandari ya Dar es Salaam umeleta mafanikio makubwa kiuchumi, ikiwemo kuongezeka kwa mapato na kuboreshwa kwa ufanisi wa bandari. Hatua hiyo imeifanya bandari kuendelea kuwa lango kuu la uchumi wa Tanzania na ukanda wa Afrika. Hayo yamesemwa leo Jumanne Januari 20, 2026 na Msemaji Mkuu wa Serikali,…

Read More