BI. NGASONGWA AONGOZA ZIARA YA FCC KUIMARISHA USHIRIKIANO NA ZFCC
Na Mwandishi wetu. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amefanya ziara ya kikazi katika Tume ya Ushindani Halali wa Biashara Zanzibar (ZFCC) ikiwa ni hatua ya kuimarisha mashirikiano kati ya taasisi hizo mbili katika masuala ya ushindani, ulinzi wa mlaji na udhibiti wa bidhaa bandia. Bi. Ngasongwa alipokelewa na…