Hawa, Tamasha la Yanga Day liliwabeba

Leo Septemba 12 ndiyo kilele cha tamasha la saba la Yanga lijulikanalo kama ‘Wiki ya Mwananchi’ litakalofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika kila kilele cha Wiki ya Mwananchi, Yanga hucheza mechi ya kimataifa ya kirafiki na timu kutoka nje ya Tanzania na safari hii itakabiliana na Bandari FC ya Kenya. Yanga…

Read More

Miaka 90 Yanga si mchezo

TANGU mwaka 2019, ambapo Mwenyekiti wa Yanga wakati huo Dkt. Mshindo Msolla alitekeleza Wiki ya Mwananchi kwa mara ya kwanza na kuwa na kilele chake kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa kwa burudani na mechi ya kirafiki, tayari imepita miaka sita na miezi minane. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa tamasha la kwanza la Yanga lilianza kwa sare ya…

Read More

Vizuizi vipya kwa Wanawake Wanawake wanaofanya kazi kwa UN, weka juhudi za misaada katika hatari – maswala ya ulimwengu

Hatua hizi zinaweka msaada wa kuokoa maisha ya kibinadamu na huduma zingine muhimu kwa mamia ya maelfu ya watu walioathiriwa na tetemeko la ardhi la hivi karibuni lililo hatarini, Ujumbe wa Msaada wa UN nchini Afghanistan (Unama) alionya ndani taarifa. Jumapili, de facto Vikosi vya usalama vilizuia wafanyikazi wa wanawake wa Afghanistan na wakandarasi kuingia…

Read More

MGOMBEA URAIS UDP KUIPATIA CHATO MKOA MPYA

Mgombea urais kupitia chama cha UDP, Saum Rashid, akiomba kura kwa wananchi wa wilaya ya Chato. Wananchi wakiendelea kusikiliza sera za mgombea urais kupitia chama cha UDP …………… MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha United Democratic party (UDP), Saum Rashid, ameahidi kuipandisha hadhi wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya…

Read More

MAKATIBU WAKUU WA MALIASILI NA UTALII EAC WAKUTANA ARUSHA.

…………………….. Na Sixmund Begashe, Arusha  Makatibu wakuu wanaoshughulikia Maliasili na Utalii Afrika Mashariki wamekutana Jijini Arusha kwa lengo la kukamilisha maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Mawaziri wa sekta hiyo kutoka nchini zinazo unda Jumuhia ya Afrika Mashariki (EAC) unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 12  Septemba 2025 Jijini Arusha Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara…

Read More

MALIASILI, MAHAKAMA KUIMARISHA USHIRIKIANO KULINDA HIFADHI

……………. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara anayeshughulikia Uhifadhi, Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba ametoa kauli hiyo jijini Arusha alipokuwa akifunga mafunzo ya kikazi kwa majaji, wadau wa haki jinai na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) yaliyolenga kuimarisha uhifadhi endelevu wa maliasili. “Miongoni mwa hatua tunazochukua ni kutoa elimu ya uhifadhi, kuimarisha uwajibikaji wa…

Read More

ZEC yateua 11 kugombea urais, wakabidhiwa magari

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewateua wagombea wote 11 waliorejesha fomu kuwania kiti cha urais Zanzibar. Pamoja na kuwapa vyeti vya uteuzi, ili kuweka mazingira ya usawa, haki na usalama kwa wagombea wote, wamewapa magari mapya aina ya Toyota Land Cruiser (VXR), mlinzi na dereva. Akizungumza wakati wa kutangaza uteuzi wao, leo Septemba 11,…

Read More