Othman: Haijalishi tumeumizwa kiasi gani, tutaingia kwenye uchaguzi
Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud amesema haijalishi wamepitia magumu kwa kiasi gani kipindi kilichopita, lakini kamwe hawatasusia uchaguzi licha ya kuwapo dalili za kutaka kuwakatisha tamaa. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema kwa namna yoyote itakavyokuwa watahakikisha wanapigania mifumo kabla ya uchaguzi lakini wasitarajie…