Wanawake wa TCAA Watoa Msaada Gereza la Segerea Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wametembelea Gereza la Wanawake Segerea jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vifaa na mahitaji mbalimbali kwa ajili ya kuwafariji wafungwa wanawake na watoto wanaoishi gerezani hapo. Katika ziara hiyo, wanawake hao walikabidhi mahitaji muhimu kwa uongozi…

Read More

Ecobank Group Yaweka Rekodi ya Ongezeko la Mikopo kwa Biashara za Wanawake Afrika

Ecobank Group imetangaza ukuaji mkubwa wa mikopo, likilenga kuimarisha ujasiriamali wa wanawake barani Afrika. Ecobank imerekodi ongezeko kubwa la asilimia 194 katika utoaji wa mikopo kwa biashara zinazoongozwa na wanawake, likifikia dola za Marekani milioni 780 mwaka 2025 kutoka dola milioni 265 mwaka 2024. Hatua hii inaashiria mafanikio ya juhudi za benki hiyo katika kukuza usawa…

Read More

WANAWAKE MKOANI IRINGA WAASWA KUACHANA NA MIKOPO YA SHIKILIA DERA

Na Rose Ngunangwa, Iringa Wanawake Mkoani Iringa wameaswa kuachana na mikopo almarufu kama Shikilia Dera au Ndala mkononi kwani mikopo hiyo imekuwa ikisababisha mali za familia kuuzwa au kutaifishwa ili kufidia na kuiacha familia ikiingia kwenye lindi la umaskini. Mikopo hiyo imepewa jina la shikilia dera au kandamili mkononi kutokana na wanawake wanaochukua kulazimika kushikilia…

Read More

Mwenzi Wako Akikuonyesha Haya, Jua Hakutaki!

KWA kawaida mtu anapompenda mtu huwa ni vigumu sana kumuacha aende. Hatamani hata siku moja kumpoteza mtu ampendaye. Atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kwamba mhusika anakuwa mpenzi wake. Mapenzi humfanya mtu awe kipofu. Anashindwa kufikiri sawasawa na kufanya maamuzi sahihi. Hisia kali za mapenzi zinampeleka ndivyo sivyo yeye anaamini yupo sahihi. Mtu wa namna hii, mara…

Read More

Kocha Azam FC aishtukia Yanga

KOCHA wa zamani wa Azam FC, Bruno Ferry ameula huko Angola baada ya kupewa mkataba wa miaka miwili kuinoa Wiliete Benguela itakayovaana na Yanga katika mechi za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akisema anajua kibarua alichonacho mbele ya wababe hao wa Bara. Bruno, ambaye pia ni kocha wa makipa aliwahi kuinoa…

Read More

Kilichomshinda Shingo si Kiingereza | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya kupata kigugumizi wakati wa kujinadi kwa lugha ya Kiingereza, mbunge wa Ukonga (ACT Wazalendo), Bakari Shingo, amesema si lugha hiyo iliyomkwamisha kujieleza, bali kuna mengine yaliyosababisha kile kilichoshuhudiwa. Shingo alipata kigugumizi hicho Februari 5, 2026, alipokuwa akijinadi bungeni jijini Dodoma kuomba nafasi ya Uwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mabunge…

Read More

Shincheonji Yaadhimisha Miaka 42: “Kutoka Kwenye Handaki Hadi Kuwa Dhehebu Linaloongezeka kwa Makumi ya Maelfu Kila Mwaka”

*Ibada ya Ukumbusho Iliyofanyika katika Kanisa la Cheongju, Shincheonji Kanisa la Yesu tarehe 15 *Siri ya Ukuaji wa Haraka wa Vizazi Vingi: Mafundisho ya Kipekee  Mwenyekiti Lee Man-hee akitoa ujumbe katika Ibada ya Kuadhimisha Miaka 42 ya Kuanzishwa kwa Shincheonji Kanisa la Yesu, iliyofanyika katika Kanisa la Cheongju, Shincheonji Kanisa la Yesu tarehe 15. Kujitolea…

Read More

Wanafunzi 12 kizimbani wakidaiwa kumuua mwenzao

Arusha. Wanafunzi 12 wa Shule ya Sekondari Qash, wamepandishwa tena kizimbani Mahakama ya Wilaya Babati, wakikabiliwa na shtaka moja la mauaji ya mwanafunzi mwenzao, Yohana Konki. Wanafunzi hao waliofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Septemba mosi 2025, leo wamepandishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kesi dhidi yao kutajwa na imepangwa kutajwa tena Septemba 24. Katika…

Read More