Othman: Haijalishi tumeumizwa kiasi gani, tutaingia kwenye uchaguzi

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud amesema haijalishi wamepitia magumu kwa kiasi gani kipindi kilichopita, lakini kamwe hawatasusia uchaguzi licha ya kuwapo dalili za kutaka kuwakatisha tamaa. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema kwa namna yoyote itakavyokuwa watahakikisha wanapigania mifumo kabla ya uchaguzi lakini wasitarajie…

Read More

Utata taarifa za watuhumiwa ‘waliotumwa na afande’

Dar es Salaam. Licha ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuthibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa wa tukio la ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya, Mkoa wa Dar es Salaam, bado kuna utata wa taarifa kuhusu mwenendo wa hatua zinazochukuliwa katika tukio hilo. Bila kuelekeza idadi ya waliokamatwa au ni…

Read More

Manji: Tatizo la Simba ni mtu huyu

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Jumamosi iliyopita alishuhudia mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba na kusema: “Tatizo la Simba ni mtu huyu.” Yanga ikiwa mwenyeji kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni, ilifanikiwa kuichapa Simba mabao…

Read More

'Wengi katika Harakati ya Haki ya Hali ya Hewa Wanatafuta Njia za Ubunifu na za Kufikirika za Kuandamana' — Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Alhamisi, Agosti 22, 2024 Inter Press Service Agosti 22 (IPS) – CIVICUS inazungumza na Chris Garrard, mwanzilishi mwenza na mkurugenzi mwenza wa Culture Unstained, kuhusu kampeni ya kukomesha ufadhili wa nishati ya mafuta katika taasisi za kitamaduni, ambazo makampuni ya mafuta yanatumia kujaribu kutoa taswira nzuri kwa umma. Kampeni hii imepata mafanikio makubwa,…

Read More

Mashirika yatoa ahadi kufadhili nishati Afrika

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likielekea katika utekelezaji wa Agenda 300 Africa inayolenga kuwafikia Waafrika milioni 300 kwa umeme, baadhi ya mashirika ya fedha na nishati yameahidi kutoa fedha kufadhili miradi ya ajenda hiyo. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 600 Afrika hawana uhakika wa kupata nishati ya umeme, hali inayodidimiza maendeleo ya…

Read More

MWENYEKITI WA TUME YA MADINI ATEMBELEA BANDA LA TUME KWENYE MAONESHO YA NANENANE

Dodoma, Agosti 7, 2025 Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janet R. Lekashingo, ameongoza ujumbe wa Tume kutembelea Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima (Nane Nane) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.Dkt. Lekashingo ameambatana na Makamishna wa Tume, Mhandisi Theonestina Mwasha na Dkt. Theresia Numbi, pamoja na Katibu Mtendaji…

Read More

COP29 Inaangazia Uhamaji wa Hali ya Hewa huku Sayari ya Moto Zaidi Inaposukuma Mamilioni Kutoka Makazini – Masuala ya Ulimwenguni

Ugochi Daniels, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Operesheni katika Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM), anazungumza na Mwanahabari Mwandamizi wa IPS Joyce Chimbi. Credit: IOM na Joyce Chimbi (baku) Jumatano, Novemba 20, 2024 Inter Press Service BAKU, Nov 20 (IPS) – Uhamiaji unaongezeka wakati sayari inazidi kuwa na joto zaidi. Mabadiliko ya hali ya hewa yanachochea…

Read More

Wawakilishi: Vikosi vya SMZ visitumike vibaya

Unguja. Wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameonya matumizi mabaya ya vikosi vya SMZ katika uchaguzi huo. Hayo yamejiri leo Jumanne Mei 13, 2025 wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara…

Read More