TFF inavyoingiza fedha kupitia Dube, Mukwala

Agosti 16, 2024, Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kwa msimu wa 2024-2025 ikishirikisha timu 16 kuwania ubingwa unaoshikiliwa na Yanga. Kabla ya kuanza kwa ligi, Kamati ya Utendaji ya Shirikisho Soka Tanzania (TFF) ilikaa kikao Agosti Mosi, mwaka huu kujadili na kufanyia maamuzi maoni ya maboresho ya kanuni za ligi kwa ajili ya toleo…

Read More

Polisi ya Tanzania yazuia maandamano ya CHADEMA – DW – 13.09.2024

CHADEMA aidha, imeipa serikali hadi tarehe 21 mwezi huu kuhakikisha kuwa viongozi na wanachama wake kinaodai wametekwa na kupotezwa wawe wamepatikana au vyenginevyo watachukua hatua.  Zuio hili linatolewa siku chache baada ya CHADEMA kutangaza kuwa kitafanya maandamano nchi nzima Septemba 23 ili kuishinikiza serikali kueleza hatua iliyofikiwa kuhusu matukio ya watu kutekwa na kuuawa. Soma pia:Chadema: Maandamano…

Read More

Uhamiaji, JKU zaahidiwa noti mechi za CAF

Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango na Fedha ZFF,  Awadh Maulid Mwita ameahidi kutoa donge nono kwa timu za Uhamiaji na JKU ambazo ni wawakilishi wa Zanzibar katika mechi za kimataifa. Awadh amesema timu hizo mbili iwapo zitapata ushindi katika mchezo wa kwanza basi kila moja itapewa Sh 1 Milioni na zikitapata sare basi ataipatia Sh…

Read More

SERIKALI YATOA MWEZI MMOJA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE 2024 KUBADILISHA MACHAGUO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi itakayomwandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yao ya baadae. Utaratibu huo umeanza Machi 31 hadi Aprili 30 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa Habari leo tarehe 02.04.2025 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi,…

Read More

Kocha JKT Tanzania awapa shavu wazawa

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema kwa upande wake msimu wa 2024-25 kwa asilimia kubwa ameyaona mabadiliko kwa wachezaji wazawa kitabia na mtazamo, jambo analoamini litakwenda kuwapa manufaa. JKT Tanzania iliyomaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara 2024-2025, kikosi chake kimeundwa na wachezaji wazawa pekee. “Wengi wao wana data kubwa, wamekuwa…

Read More

Majaliwa atembelea banda la Yas Nanenane

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametembelea banda la kampuni ya Yas katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea kwenye viwanja vya Nzuguni jijini hapa. Akiwa katika banda hilo leo Agosti 4, 2025, Majaliwa alipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Mixx by Yas Kanda ya Kati, Charles Gasper kuhusu namna kampuni hiyo inavyowawezesha wakulima kupitia…

Read More