Ushindi Unakusubiri Meridianbet na Mechi za UEFA Leo

LEO hii ligi ya mabingwa bado inaendelea huku nafasi ya wewe kuondoka na mshindo ikiwa kubwa pale Meridianbet. Tandika jamvi lako na Meridianbet leo ujiweke kwenye nafasi ya washindi sasa. Mapema kabisa Club Brugge atakuwa ugenini kukipiga dhidi ya Kairaty Almaty ambao mpaka sasa wana pointi 1 pekee huku wageni wao wakiwa na pointi 4….

Read More

Wafanyabiashara Kibaha wapatiwa maeneo salama ya biashara

Kibaha. Zaidi ya wafanyabiashara ndogondogo 150 wa Mtaa wa Mailimoja A, Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani, wamepangiwa maeneo mapya ya kufanyia shughuli zao, hatua inayolenga kuwaondoa katika hatari waliyokuwa wakikabiliana nayo walipokuwa wakifanya biashara pembezoni mwa barabara ya zamani ya Morogoro. Maeneo walikopangiwa wajasirimali hao ni jirani na stendi ya zamani ya Mailimoja Mjini Kibaha…

Read More

WFP yaonya njaa kuhatarisha masoko, utulivu duniani

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa dunia wakikutana katika Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) huko Davos, Uswisi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa kushindwa kukabiliana na njaa kunahatarisha maisha ya watu, masoko na utulivu duniani. Onyo hilo la WFP limetolewa leo Jumatatu Januari 20, 2026 katika mkutano huo…

Read More

Miti 8,000 kupandwa Skimu ya Umwagiliaji Mapama

Arumeru. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwa kushirikiana na wadau wa mazingira na maji, imezindua rasmi shughuli endelevu ya upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Mapama. Lengo la jitihada hizo za pamoja ni kulinda vyanzo vya maji, kuzuia mmomonyoko wa udongo na kuhakikisha upatikanaji wa maji ya uhakika kwa shughuli za kilimo. Uzinduzi huo, umefanywa…

Read More

Ufugaji wa kisasa ulivyoleta mageuzi ya maziwa Morogoro

Morogoro. Chama cha Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kinatarajia kuitisha kikao cha dharura kwa wafugaji wa kata 13 katika halmashauri hiyo, kinacholenga kutoa elimu na kuhamasisha ufugaji wa kisasa na wenye tija mkoani hapa. Hatua ya kuitishwa kwa kikao hicho kimekuja baada ya kuzinduliwa kwa jukwaa la wadau wa tasnia ya maziwa kupitia mradi…

Read More

Dk Migiro awatumia ujumbe mawaziri, wabunge

Dodoma/Singida. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro amewataka viongozi wa ngazi za juu wakiwamo wabunge na mawaziri kuhudhuria vikao vinavyoitishwa na mabalozi wa mashina yao kujua changamoto zinazokikabili chama, jamii na Taifa kwa jumla ili kuzitatua. ‎‎Dk Migiro ametoa kauli hiyo leo Jumanne Januari 20, 2026 jijini Dodoma wakati akizungumza na…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIPA KONGOLE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.

 Na. Emmanuel Buhohela, Dodoma Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeipongeza Serikali kwa kutatua kwa kiasi kikubwa changamoto ya upungufu wa Watumishi katika Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii.  Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Thimotheo Mzava Jijini Dodoma wakati kamati hiyo ikipewa mafunzo kuhusu Muundo…

Read More