Mahakama yamrudisha Mpina INEC | Mwananchi

Dodoma/Dar. Mgombea urais wa Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina ameshinda kesi dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kuhusu shauri la maombi ya Kikatiba akipinga kuenguliwa katika mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mpina alienguliwa katika kinyang’anyiro hicho na INEC Agosti 26, 2025, hivyo…

Read More

Wanafunzi 12 kizimbani wakidaiwa kumuua mwenzao

Arusha. Wanafunzi 12 wa Shule ya Sekondari Qash, wamepandishwa tena kizimbani Mahakama ya Wilaya Babati, wakikabiliwa na shtaka moja la mauaji ya mwanafunzi mwenzao, Yohana Konki. Wanafunzi hao waliofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Septemba mosi 2025, leo wamepandishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kesi dhidi yao kutajwa na imepangwa kutajwa tena Septemba 24. Katika…

Read More

Salum Mwalimu aahidi kufufua kilimo cha pamba

Bunda. Mgombea urais wa Chama cha Chaumma, Salum Mwalimu ameahidi kufufua kilimo cha pamba na kukiunganisha moja kwa moja na viwanda, ili kuongeza thamani ya zao hilo na kuwanufaisha wakulima, endapo atachaguliwa kuongoza dola katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza leo, Septemba 11, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa…

Read More

RC PWANI ATOA ONYO MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA LISHE

Septemba 10, 2025 MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameziagiza wilaya na halmashauri mkoani humo kuhakikisha zinadhibiti  matumizi batili ya fedha za mpango wa lishe na badala yake zitumike kwa matumizi yaliyokusudiwa. Aidha, amezitaka mamlaka hizo kutoa fedha hizo kwa wakati na kwa kiasi kilichopangwa, bila ucheleweshaji wowote. Akifunga kikao cha lishe cha mkoa…

Read More

Lissu adai haki zake zimeminywa, ataka aachiwe huru

‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama Kuu kuwa hatua ya Mahakama ya Kisutu kukataa kuwaorodhesha mashahidi wake imemnyima haki na sasa hana mahali anakoweza kuipata, isipokuwa kwa huruma ya mahakama. ‎Ametoa madai hayo leo Alhamisi, Septemba 11, 2025, wakati akihimitisha majibu yake ya hoja za Jamhuri…

Read More

JKT Queens yatinga nusu fainali kibabe

JKT Queens jioni ya leo Alhamisi imetinga nusu fainali ya michuano ya CECAFA Wanawake ya kuwania Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuitandika Yei Joints ya Sudan mabao 2-0 kwenyw Uwanja wa Kasarani, Nairobi Kenya. JKT inaungana na Rayon Sports ya Rwanda, wenyeji Police Bullets ya Kenya na Kampala Queens ya Uganda zilizofuzu mapema, huku…

Read More

TIRDO WATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WA WILAYA YA KINONDONI

Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limeendelea kutoa elimu juu ya njia bora za kuzalisha na kuhifadhi mazao ya baharini, hususan samaki na mwani. Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyotolewa kwa wajasiriamali wanaojihusisha na uzalishaji na uhifadhi wa samaki kutoka Kata ya Kunduchi katika Manispaa ya Kinondoni yamelenga kuwajengea uwezo ili waweze…

Read More