Hali Ya Hofu Dubai, Watalii Waondoka Baada ya Mashambulizi
Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Jiji la Dubai limeanza kuonekana kama mji uliotelekezwa baada ya maelfu ya wakazi na wageni kuondoka kufuatia mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani yanayodaiwa kutoka Iran. Ripoti zinaeleza kuwa maeneo maarufu ya mapumziko kama Jumeirah Beach na hoteli za kifahari kwenye Palm Jumeirah yamebaki tupu, huku…