
Matarajio ya Watanzania bajeti ya afya ikisomwa leo
Dar es Salaam. Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2025/26 inawaslishwa leo Jumatatu, Juni 2, 2025 bungeni, huku macho ya Watanzania yakisubiri kuona Serikali inakuja na mikakati gani kuhakikisha inapambana na kuondoka kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) nchini ambayo imefadhili sekta hiyo kwa miaka mingi. Ufadhili wa USAID ulisaidia maeneo…