Jamhuri ilivyojibu mapigo pingamizi la Lissu kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, kutupilia mbali pingamizi aliloweka mshtakiwa kuhusu hati ya mashtaka kwa madai kuwa hakuonyesha ni wapi hasa kwenye kasoro. Maombi hayo yamewasilishwa leo, Alhamisi Septemba 18,…

Read More

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

Dar es Salaam. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka Watanzania kudumisha amani, utulivu na mshikamano katika taifa, kwani bila amani hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa. Rais Mwinyi amesema hayo leo Machi mosi, 2026, katika mashindano ya kimataifa ya Quran yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam, yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma, yakikutanisha washiriki 26 kutoka mataifa…

Read More