Matarajio ya Watanzania bajeti ya afya ikisomwa leo

Dar es Salaam. Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2025/26 inawaslishwa leo Jumatatu, Juni 2, 2025 bungeni, huku macho ya Watanzania yakisubiri kuona Serikali inakuja na mikakati gani kuhakikisha inapambana na kuondoka kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) nchini ambayo imefadhili sekta hiyo kwa miaka mingi. Ufadhili wa USAID ulisaidia maeneo…

Read More

Ondoka na mkwanja leo kwa kupiga penalti

  Siku nyingine leo ya kuhakikisha unafurahia wikiendi yako pale ambapo utaamua kucheza mchezo wa Kasino wa Beach Penalties, Ambapo kwa kupiga penalty tu unaondoka na kitita. Piga penalty zako tano leo uweze kuondoka na kitita kwani kupitia mchezo huu kabambe wa Beach Penalty ni ufundi wako wa kuweza kufunga mikwaju ya penalty ndio utaamua…

Read More

DKT. SAMIA AFUNGUA KIWANDA MEATU

::::::: MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha Kuchakata Pamba cha Biosustain Tanzania Limited, kilichoko Kata ya Mwamishali, Wilaya ya Meatu, leo Jumanne tarehe 17 Juni 2025, akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu. 

Read More

Kukuza Utamaduni wa Amani – Masuala ya Ulimwenguni

Majibu yanayotegemea eneo huweka jumuiya za wenyeji katikati ya mchakato wa kujenga amani. Credit: UNDP Syria Maoni na Naysan Adlparvar – Giacomo Negrotto – Adela Pozder-Cengic (umoja wa mataifa) Alhamisi, Septemba 26, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Sep 26 (IPS) – Wakati amani duniani ikifikia kiwango cha chini kabisa tangu Vita vya Pili…

Read More

VITONGOJI 82 TARIME VIJIJINI KUPELEKEWA UMEME NA MRADI WA HEP IIB-KAPINGA

………………………… 📌Taasisi 3000 zaunganishiwa umeme na fedha za Covid 19 Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili B  (HEP IIB) ambapo tayari zabuni ya kuwapata wakandarasi wa mradi huo imeshatangazwa na inatarajiwa kufunguliwa hivi karibuni. Hayo yameelezwa na…

Read More

CCM Mbeya yatoa siku 30 ujenzi mifereji makaburi ya Isanga

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa kimetoa mwezi mmoja kwa Halmashauri ya jiji la Mbeya kujenga miundombinu ya mfereji katika makaburi ya Isanga yaliyopo Mtaa wa Mkuyuni. Hatua hiyo imetokana na malalamiko ya wananchi kutokana na miili ya watu waliozikwa kwenye makaburi hayo kufukuliwa na kuelea kwenye maji au kusombwa hadi katika makazi ya…

Read More

MBOWE AMTAKA RAIS SAMIA KUUNDA TUME YA UCHUNGUZI WA TUHUMA ZA UTEKAJI NA UKAMATAJI HOLELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ametoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutumia mamlaka yake kuunda Tume ya Mahakama ya Majaji ili kuchunguza tuhuma zinazohusu utekaji, upotezaji, na ukamataji holela wa raia nchini. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Mbowe alieleza…

Read More