Sera ya uchumi wa buluu kutekelezwa kisayansi

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kuitekeleza kisayansi sera ya uchumi wa buluu, hivyo itaweka nguvu katika tafiti za rasilimali za bahari. Dk Mwinyi amesema hayo leo Jumapili, Januari 5, 2025 wakati uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la taaluma na utawala la Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS)…

Read More

Betty Mkwasa Aelezea Mchango wa TAMWA Katika Safari Yake ya Uongozi

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv MWANACHAMA mkongwe wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Betty Mkwasa, amepongeza mchango mkubwa wa TAMWA katika kumjengea ujasiri, umahiri na uongozi, ambao ulimwezesha kufanikisha mafanikio makubwa katika uandishi wa habari na katika nafasi za kiuongozi serikalini, ikiwemo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA GUINEA-BISSAU MHE. EMBALÓ, WASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA MUONGOZO WA USHIRIKIANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló, wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Muongozo wa Ushirikiano baina ya Nchi mbili, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…

Read More

Nyota Lille awafuata Ronaldo, Messi wapya Bongo

NILETEENI wachezaji wa maana’. Ndivyo alivyoagiza mchezaji wa zamani wa Lille ya Ufaransa, Souleymane Youla ambaye Juni mwaka huu, atatua nchini akiongoza jopo la maskauti kutoka barani Ulaya kwa kazi moja tu kuhakikisha wanaondoka na Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wapya kutoka Tanzania. Youle ambaye kwa sasa amejikita katika kutafuta vipaji huku akifanya kazi kwa…

Read More

WAPIGAKURA 11,936 KUPIGA KURA KWAHANI

Na Mwandishi wetu, Wapiga kura 11,936 wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 09 Juni, 2024 kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kwahani lililopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele ameyasema hayo leo tarehe 07 Juni, 2024 jijini Dar es…

Read More

Aliyekuwa dada wa kazi apasua kidato cha sita

Dar es Salaam. “Ndoto yangu inaenda kutimia ila nimejifunza kwenye maisha heshimu kila mtu, kwa kwa kuwa inawezekana hatima yako imeshikiliwa na mtu usiyemfahamu kabisa”. Haya ni maneno ya Mariam Mchiwa mhitimu wa kidato cha sita katika sekondari ya wasichana Songea akiwa miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani huo yaliyotangazwa leo na…

Read More

ENVAITA YAJA NA SULUHISHO LA KADI ZA MIALIKO

::::::: Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  JAMII imetakiwa kubadilika na kuacha kutumia njia za kizamani zakualika   watu  katika matukio mbalimbali  badala yake watumie njia zakidigitali ili kuokoa muda na kupunguza usumbufu. Akizungumza jana Meneja wa Mawasiliano wa Envaita Praygod Mushi alisema utumiaji wa mialiko ya kadi kwa njia ya kidigitali unaokoa mambo mengi japokuwa watu …

Read More