Ufugaji wa kisasa ulivyoleta mageuzi ya maziwa Morogoro

Morogoro. Chama cha Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kinatarajia kuitisha kikao cha dharura kwa wafugaji wa kata 13 katika halmashauri hiyo, kinacholenga kutoa elimu na kuhamasisha ufugaji wa kisasa na wenye tija mkoani hapa. Hatua ya kuitishwa kwa kikao hicho kimekuja baada ya kuzinduliwa kwa jukwaa la wadau wa tasnia ya maziwa kupitia mradi…

Read More

Dk Migiro awatumia ujumbe mawaziri, wabunge

Dodoma/Singida. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro amewataka viongozi wa ngazi za juu wakiwamo wabunge na mawaziri kuhudhuria vikao vinavyoitishwa na mabalozi wa mashina yao kujua changamoto zinazokikabili chama, jamii na Taifa kwa jumla ili kuzitatua. ‎‎Dk Migiro ametoa kauli hiyo leo Jumanne Januari 20, 2026 jijini Dodoma wakati akizungumza na…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIPA KONGOLE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.

 Na. Emmanuel Buhohela, Dodoma Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeipongeza Serikali kwa kutatua kwa kiasi kikubwa changamoto ya upungufu wa Watumishi katika Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii.  Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Thimotheo Mzava Jijini Dodoma wakati kamati hiyo ikipewa mafunzo kuhusu Muundo…

Read More

Mbowe amwelezea Mtei, agusia mchango wake Chadema

Arusha. Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amwelezea marehemu Edwin Mtei kama mwasisi wa chama hicho aliyekisaidia katika masuala ya fedha na sera kutokana na uzoefu wake wa masuala hayo, akisema hakuwa mtu mwenye njaa. Amesema siasa za upinzani za kipindi cha akina Mtei hazikuwa za kulumbana na badala…

Read More

Vijijii 72 kunufaika na mradi wa matumizi ya ardhi

Njombe. Jumla ya vijiji 72 vilivyopo katika mikoa ya Njombe na Iringa vinatarajiwa kunufaika na mradi wa maendeleleo ya matumizi ya ardhi na mnyororo wa thamani ya misitu hapa Tanzania. Taarifa hiyo imetolewa katika tukio la utiaji wa saini wa hati ya makubaliano ya kikanda (MoU) kati ya makatibu tawala wa mikoa ya Njombe na…

Read More

Ongezeko ‘la kutisha’ la matumizi ya hukumu ya kifo mwaka jana, licha ya mwelekeo wa kimataifa kuelekea kukomesha – Masuala ya Ulimwenguni

Umoja wa Mataifa unatetea kukomeshwa kwa adhabu ya kifo kwa wote. The Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasaimeidhinishwa na nchi 175inalinda haki ya kuishi na kubainisha kwamba, kwa nchi ambazo hazijafuta adhabu ya kifo, itolewe kwa ‘makosa makubwa zaidi’ katika kesi za kipekee. OHCHR alisema ongezeko kubwa katika adhabu ya kifo mwaka…

Read More