Ufugaji wa kisasa ulivyoleta mageuzi ya maziwa Morogoro
Morogoro. Chama cha Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kinatarajia kuitisha kikao cha dharura kwa wafugaji wa kata 13 katika halmashauri hiyo, kinacholenga kutoa elimu na kuhamasisha ufugaji wa kisasa na wenye tija mkoani hapa. Hatua ya kuitishwa kwa kikao hicho kimekuja baada ya kuzinduliwa kwa jukwaa la wadau wa tasnia ya maziwa kupitia mradi…