
Manara: Maji, umeme, heshima ya wafanyabiashara Kariakoo niachieni mimi
Dar es Salaam. Mgombea udiwani Kata ya Kariakoo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Haji Manara ameahidi kutatua kero ya maji taka, kukatika kwa umeme inayolikabili eneo maarufu la biashara la Kariakoo, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. Sambamba na hilo ameahidi kuilinda heshima ya wafanyabiashara wa Kariakoo ambapo amesema wanalipa kodi kubwa hapa nchini,…