New Stone na mtego wa kuepuka kushuka daraja ZPL

LICHA ya timu ya New Stone Town kuvuna alama tatu kwenye michezo 20 iliyocheza, bado ina matumaini ya kubaki salama katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), huku hesabu zao ni kushinda mechi 10 zilizobaki. Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mussa Bajaka alisema endapo watashinda mechi hizo, watakuwa na alama 33 katika msimamo, ambao utawapandisha nafasi za…

Read More

Maandalizi ya sikukuu yapamba moto, bei za bidhaa zachangamka

Dar/Mikoani. Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla za sikukuu ya Eid al-Fitr na Pasaka, hekaheka za maandalizi zimeanza kuonekana wazi katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo soko maarufu la Kariakoo jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya watu wameanza kumiminika madukani kununua mahitaji ya sikukuu, hususan nguo na viatu kwa ajili ya watoto na familia zao. Wazazi…

Read More

Migogoro ya ardhi yatikisa ziara ya Kihongosi

Mwanza. Migogoro ya ardhi imekuwa fupa gumu kwenye Jiji la Mwanza huku wilaya za Ilemela na Nyamagana zikidaiwa Sh14 bilioni za fidia na wananchi. Hayo yamebainika kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi katika ziara yake ya kichama mkoani humo. Katika mkutano huo uliofanyika…

Read More

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAIPONGEZA TANESCO UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME JUA KISHAPU

:::::::: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa Mradi wa Uzalishaji Umeme kwa nguvu ya Jua wa Kishapu wenye uwezo wa Megawati 50 unaotekelezwa katika Mkoa wa Shinyanga. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Subira Mgallu, mara baada…

Read More

VITONGOJI UKANDA WA NYASA VYAFIKIWA NA MIRADI YA REA

       ****** Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umeendelea kutekeleza miradi ya kupeleka huduma ya umeme katika maeneo ya vitongoji ili kuwawezesha wananchi waliopo maeneo hayo kupata huduma bora ya nishati ya umeme kwa ajili ya Maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.  Hayo yamebainishwa na Msimamizi wa Miradi ya REA, Kanda ya Nyanda za…

Read More