Rais Samia akutana na Kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. John Dramani Mahama, Ikulu Ndogo ya Arusha, Mkoani Arusha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. John Dramani Mahama mara baada ya kuwasili katika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 02 Machi, 2025. Rais wa Ghana Mhe. Mahama amewasili Mkoani Arusha kwa ajili ya Ziara ya Kikazi, ambapo anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi…

Read More

Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More

MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…

Read More

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 – Usanifu wa Jinsia wa Usaliti: Acha Kutokujali Wasomi – Masuala ya Ulimwenguni

Ulimwengu utakusanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York kwa ajili ya Kamisheni ya Hali ya Wanawake (CSW70)– jukwaa kubwa la kila mwaka la Umoja wa Mataifa linalohusu usawa wa kijinsia na haki za wanawake. Kinachotokea hapa huathiri sheria, sera, ufadhili na uwajibikaji katika nchi na vizazi. Lengo la mwaka huu liko…

Read More

Bajana aipa ujanja Azam FC

KIUNGO wa zamani Azam FC, Sospeter Bajana ameipa ujanja timu hiyo akisema kwa kikosi ilichonacho kama itazingatia mambo makubwa mawili kutoka kwa kocha Florent Ibenge, basi itafanya maajabu msimu huu. Bajana aliyeitumikia timu hiyo mfululizo kwa miaka 15, alisitishiwa mkataba wa mwaka mmoja uliosalia Azam wiki chache zilizopita na msimu unaoanza 2025/26 ataichezea JKT Tanzania….

Read More