TUMEWAFIKIA KISIWA CHA CHOLE UMEME UNAKUJA

TANESCO inaendelea na utekelezaji wa mradi wa usambazaji umeme kwenye kisiwa cha chole kilichopo Wilayani Mafia Mkoani Pwani. Mradi huu unahusisha kuvusha umeme kupitia baharini kwa kutumia waya wa marine cable wenye urefu wa zaidi ya kilomita moja na nusu. Upatikanaji wa umeme wa uhakika ilikuwa ndoto ya siku nyingi kwa wakazi wa kisiwa cha…

Read More

Mpango wa kuwahamisha wafugaji Ngorongoro umeshindwa mapema

  MAELFU ya wafugaji kutoka jamii ya Wamaasai kutoka vijiji 25, vilivyosajiliwa kisheria, ndani ya tarafa ya Ngorongoro, mkoani Arusha, wameandamana wiki hii, kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu. Anaandika Navaya ole Ndaskoi…(endelea). Wazee, vijana, wanawake – baadhi yao wakibeba vichanga migongoni mwao – walidamka mapema tarehe 18 Agosti 2024, wakiwa na mabango yenye jumbe…

Read More

Kesi za mauaji kuendelea kuunguruma Geita leo

Geita. Wakati Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita ikiendelea na kikao cha pili cha kesi za mauji hapa Mjini Geita leo, tayari kesi mbalimbali zimesikilizwa na kutolewa hukumu ikiwemo ya Anold Shemasi aliyedaiwa kumuua mtoto wake mchanga kwa kutofanana nae.  Mahakama hiyo ilimehukumu kunyongwa hadi kufa Shemas, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua…

Read More

RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI DARAJA LA J.P. MAGUFULI

::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelifungua rasmi Daraja la J.P. Magufuli lenye urefu wa kilomita 3 na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 linalounganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema Mkoani mwanza. Amesema kukamilika kwa Daraja hilo ni utekelezaji wa ndoto ya Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli. “Miongoni…

Read More

Maonesho ya ajira kati ya Ujerumani na Kenya yafunguliwa – DW – 27.09.2024

Kwenye kongamano la Uhamiaji na maonesho lililoandaliwaa jijini Nairobi, ilibainika kuwa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo serikali inatarajiwa kupokea maombi 500 ya Wakenya wanaopanga kuajiriwa Ujerumani. Waziri wa Ajira nchini Kenya Alfred Mutua amesema kuwa serikali itaweka mikakati ya kufidia mawakala ambao watawasaidia wakenya kupata ajira Ujerumani. Mutua amesema, “Tutafutilia mbali mawakala walaghai. Wazazi…

Read More

Balozi wa Pamba nchini alia na uzalishaji hafifu

Na Samwel Mwanga, Maswa BALOZI wa Pamba nchini, Agrey Mwanri, amesema kuwa uzalishaji mdogo wa zao la pamba kwa ekari unasababishwa na baadhi ya viongozi ambao hawatimizi wajibu wao katika kusimamia wakulima wa zao hilo kulima kwa kufuata sheria na kanuni zinazoongoza kilimo cha zao hilo. Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Wilaya…

Read More