TANZANIA KUBORESHA KITUO CHAKE CHA WALINZI WA AMANI

 Na Karama Kenyunko Michuzi Tv  SERIKALI  imetangaza mpango wa kuimarisha mchango wake katika juhudi za kulinda amani duniani kwa kukiboresha Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) ili kiweze kutoa mafunzo kwa ngazi ya kitaifa, kikanda na kimataifa. Mkuu wa Jeshi la Anga Meja Jenerali Shabani Mani amesema hayo Juni 13, 2025…

Read More

Fanya haya kumsaidia mtoto kuwa mbunifu

Ubunifu ni uwezo wa kufikiri, kutafuta majibu, au kutatua changamoto kwa namna isiyotarajiwa. Unamsaidia mtu kupambana na changamoto zake kwa namna nyepesi, bila ubunifu ni vigumu kwa mtu kuendana na mabadilikotunayokabiliana nayo kila siku yanayohitaji majibu mapya. Maandiko mbalimbali kuhusu masuala ya malezi yanaeleza kuwa ubunifu ni uwezo unaotegemea mazingira ya kimakuzi anayokutana nayo mtoto….

Read More

MRADI WA LTIP KUMALIZA CHANGAMOTO ZA MAKAZI HOLELA KONDOA

Meneja Urasimishaji Mjini Bw. Leons Mwenda akitoa taarifa fupi ya mradi katika kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Mji wa Kondoa tarehe 24 Juni 2024 Mkoani Dodoma. Wadau wa Sekta ya Ardhi katika Halmashauri ya Mji wa Kondoa waliohudhuria Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi tarehe…

Read More

MWAKYAMBILE AJITOSA UBUNGE KYELA

:::::::: Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Babyilon Mwakyambile ameingia kwenye mbio za ubunge kwa kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Jimbo la Kyela. Mwakyambile ambaye kitaaluma ni mthaminiwa ardhi akiwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar Es Salaam, amesema ameamua kujitokeza kuwania nafasi hiyo ili kutimiza azma yake ya kuwatumikia wananchi kupitia jimbo hilo.  

Read More

Amapiano yapiga hodi Guru Rally

HOMA ya Guru Nanak Rally, ambayo ni raundi ya mwisho ya mbio za magari ubingwa wa taifa, inazidi kupanda huku washiriki wakizidi kujitokeza kabla ya mbio hizo kutimua vumbi Novemba 16 na 17 mwaka huu. Kutoka jijini Dar es Salaam, timu ya Amapiano inasema imepania kuweka rekodi tatu katika mbio hizi za funga msimu ambazo…

Read More

“Tumefanikiwa kuwarudisha tembo 61 Hifadhini” Waziri Kairuki

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kutatua changamoto ya migongano baina ya binadamu na wanyamapori huku ikisisitiza kuwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imeweka kipaumbele katika kutatua changamoto hiyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) wakati wa zoezi la kuwarudisha tembo hifadhini lililofanyika Wilaya ya…

Read More