KAPINGA AWASHUKURU WANANCHI KATA YA MKAKO NA KIHANGIMAHUKI, AHAHIDI USHIRIKIANO WA KARIBU KUTATUA CHANGAMOTO ZAO.

Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Salvio Kapinga, ametembelea Kata za Mkako na Kihangimahuka katika mwendelezo wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa ushindi mkubwa waliompatia yeye na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha…

Read More

Msikie Pedro na mastaa wapya Yanga

WAKATI kikosi cha Yanga kikiondoka leo Jumatano jijini Dar es Salaam kuifuata Al Ahly, Misri kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Pedro Goncalves amesema hana presha yoyote kuhusu pambano hilo na kilichompa faraja kubwa ni ubora ulioongezwa na wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo msimu huu. …

Read More

Chawata mtaa kwa mtaa kuwasaka wenye ulemavu, ikilia ukata

Mbeya. Wakati idadi ya watu wenye ulemavu wa viungo wakifikia 1,370 mkoani Mbeya, Chama cha wenye ulemavu huo mkoani humo (Chawata), kimesema kinatarajia kufanya ziara ya mtaa kwa mtaa kuwabaini wenye ulemavu wakiwamo watoto, kuhakikisha wanapata haki zao za msingi. Hata hivyo, kimeeleza kuwa changamoto kubwa inayowakabili ni nguvu ya kifedha kuwawezesha kutekeleza majukumu yao…

Read More

Rai wa China kortin akidaiwa kutakatisha Sh86 milioni

Dar es Salaam. Raia wa China, Zhang Min (31) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kutakatisha fedha kiasi cha Sh86 milioni. Min amefikishwa amesomewa mashtaka yake, leo Jumanne Januari 20, 2026 na wakili wa Serikali Roida Mwakamele, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Gwantwa Mwankuga. Kabla ya kusomewa mashtaka…

Read More

Mkutano wa Kihongosi wapokea kero 61, aagiza wahusika walindwe

Singida. Jumla ya kero 61 zimewasilishwa kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi nyingi zikihusu migogoro ya ardhi na maji. Miongoni mwa waliowasilisha kero hizo, yumo Francisca Juma (93) ambaye amedai kufukuzwa katika nyumba aliyojenga na marehemu mumewe mwaka 1968 lakini anaambiwa ni mvamizi.Kero hizo ziliibuliwa jana jioni…

Read More