KAPINGA AWASHUKURU WANANCHI KATA YA MKAKO NA KIHANGIMAHUKI, AHAHIDI USHIRIKIANO WA KARIBU KUTATUA CHANGAMOTO ZAO.
Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Salvio Kapinga, ametembelea Kata za Mkako na Kihangimahuka katika mwendelezo wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa ushindi mkubwa waliompatia yeye na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha…