Mambo yamnyookea Simbu jeshini, sasa ni Sajinitaji

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amempandisha cheo, Sajini Alphonse Simbu kuwa Sajinitaji (Staff Sergeant) baada ya kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya dunia ya mbio za marathon ya kilomita 42 yaliyofanyika Tokyo, Japan. Simbu amepandishwa cheo leo, Alhamisi Septemba 25, 2025 katika Makao Makuu ya Jeshi Upanga, jijini Dar es…

Read More

Chaumma kuja na viwanda vya nyama, kurasimisha ufugaji

Arusha. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kurasimisha sekta ya ufugaji, kuanzisha viwanda vya kuchakata nyama sambamba na kuwapatia wafugaji na wakulima ardhi mkoani Arusha. Katika hilo, chama hicho kimewatahadharisha wale wote wanaohodhi ardhi kikisema kikiingia madarakani kitawapatia ardhi hiyo wenye uhitaji. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 21, 2025na mgombea mwenza wa urais, Devota…

Read More

Kocha Yanga ana dakika 270 ngumu

YANGA tayari ipo jijini Dar es Salaam na kesho Jumatatu inaanza rasmi mazoezi kwa ajili ya mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji itakayopigwa keshokutwa, Jumatano, huku benchi na ufundi na mastaa wa timu hiyo wakiwa na dakika 270 ngumu ili kufunga hesabu za mwezi huu. Wababe hao wa soka nchini,…

Read More

OMO aahidi kuwashirikisha wananchi kuinua uchumi Zanzibar

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha kila mwananchi wa Pemba anashiriki katika shughuli za kiuchumi ili kukuza maendeleo ya kisiwa hicho. Amesema wakazi wa Pemba hawatakiwi kufundishwa biashara, kwa sababu wana kipaji na uwezo, hivyo, Serikali ya ACT-Wazalendo itakayoundwa baada ya…

Read More

Mateso na Unyanyasaji wa Kimwili kwa Watoto huko Gaza Yalitangaza Uhalifu wa Kivita – Masuala ya Ulimwenguni

Zaidi ya ukiukwaji mkubwa 8,554 dhidi ya watoto umetokea nchini Israel na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu wakati wa mzozo unaoendelea. Credit: UN News na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Alhamisi, Machi 26, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 26 (IPS) – Mgogoro unaoendelea kati ya Israel na Palestina, ambao ulianza Oktoba…

Read More

Uhamiaji yafungua Ligi Kuu Zanzibar kwa rekodi mbili

LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 imeanza leo kwa kufanyika mchezo mmoja huku ikishuhudiwa Uhamiaji ikiweka rekodi mbili. Mechi hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja, Uhamiaji imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi. Rekodi ya kwanza Uhamiaji imeiweka kupitia mchezaji wake, Mohamed Mussa kufunga bao la kwanza la msimu akifanya…

Read More

Fahamu Madhara ya Kuendesha Gari Taa ya Mafuta Ikiwa Inawaka

Madereva wengi wana tabia ya kupuuza taa ya mafuta pale inapowaka kwenye dashboard ya gari, wakiamini bado wanaweza kusafiri umbali mrefu kabla ya tanki kuisha kabisa. Wengine husema, “bado naweza kufika kituo kijacho”, au “nitaweka baadaye.” Hata hivyo, wataalamu wa magari wanaonya kuwa kuendesha gari kwa muda mrefu huku taa ya mafuta ikiwa imewaka kunaweza…

Read More