Kina Magoma wakwaa kisiki dhidi ya Yanga 

MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali rufaa ya Juma Ally Magoma na mwenzake Geofrey Mwaipopo waliyokuwa wameikata dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports, maarufu kama Yanga. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Septemba 9, 2024 na Naibu wa Mahakama hiyo, Livini Lyakinana kwa niaba ya…

Read More

Mwalimu aahidi mageuzi miundombinu ya masoko Dar

Dar es Salaam. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kufanya mageuzi makubwa ya miundombinu na masoko jijini Dar es Salaam endapo atachaguliwa kuwa Rais, Oktoba 29, 2025. Amesema hali ya sasa ya masoko ya bidhaa za vyakula na magulio jijini humo ni ya kusikitisha, akiahidi kuyageuza kuwa…

Read More

Kiingereza pasua kichwa kidato cha pili

Dar es Salaam. Kiingereza ambayo ndiyo lugha ya kujifunzia kwa wanafunzi wa sekondari imeendelea kuwa mwiba, baada ya robo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa majaribio wa kidato cha pili mwaka 2024 kupata alama F. Jambo hilo linatajwa kuwa moja ya sababu ya wanafunzi wengi kupata F katika masomo mengine kutokana na kushindwa kuelewa lugha inayotumika…

Read More

KenGold mambo ni moto kambini

WIKI tatu ambazo KenGold imekaa katika mji wa Tukuyu ikijifua kwa ajili ya Ligi Kuu, zimewafanya vijana wa timu hiyo kuwa tayari kuingia uwanjani japokuwa kwa sasa kocha mkuu wa KenGold, Fikiri Elias amesema anatafuta kikosi cha kuanza (First Eleven). Msimu ujao unaoanza Agosti 16 ndio wa kwanza kushiriki Ligi Kuu kwa timu hiyo iliyopanda…

Read More

Uzimaji Intaneti ni ukiukwaji wa haki za binadamu

WANAHARAKATI vijana nchini Tanzania wamesema kitendo cha Serikali kuzima intaneti wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, kimekiuka mikataba ya kimataifa pamoja na Katiba ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar ea Salaam, Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki Binadamu na Utawala wa…

Read More