MAJALIWA: TUTAYAENZI MEMA YOTE YALIYOFANYWA NA NZUNDA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali na Watanzania wataendelea kumkumbuka na kuyaenzi mema yote yaliyoyafanywa na aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon Nzunda. Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Ijumaa, Juni 21, 2024) alipokwenda kuhani msiba wa marehemu Nzunda, nyumbani kwa marehemu Goba, Dar es Salaam. Marehemu Nzunda alifariki Juni 18, mwaka huu…

Read More

Watoto wanogesha ‘KCB East Afrika Golf Tour’

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Nyota walioshiriki mashindano hayo ni kutoka katika klabu zote za Tanzania na wengine nchi za Uganda, Rwanda, Kenya na Burundi. Katika mashindano hayo mshindi wa kwanza kwa watoto ambao wamecheza viwanja 18 Hafidhi Twalibu aliyeshinda kwa pointi 46, wa pili ni Stanley Emilias amepata pointi 45 huku Sabrina Juma akiwa…

Read More

Sabaya yupo huru,DPP aondoa rufaa

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, leo May 05,2024 amewasilisha katika Mahakama Kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa rufaa No.155 ya Mwaka 2022 aliyokuwa ameikata dhidi ya Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake saba ya kudaiwa kujipatia Tsh. milioni 90 kwa Mfanyabiashara Francis Mroso. Rufaa hiyo…

Read More

Jukumu la kutunza mazingira wajibu wa kila mtu

Dar es Salaam. “Safari kuelekea mustakabali wenye urafiki na mazingira,” hii ni mada itakayojadiliwa kesho kwenye Jukwaa la Fikra lililoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL). Mada hii imekuja kipindi ambacho dunia inakabiliwa na changamoto mbalimbali za mazingira, hasa mabadiliko ya tabianchi. Lengo ni kuleta suluhu ya pamoja na endelevu kwa mustakabali wa nchi….

Read More

Mamilioni ya kasino yanaendelea kutoka

  Baada ya kukaa takribani wiki 2, Lile shindano kubwa la Mamilioni limerudi tena mjini kwa kishindo, Michezo ya kasino ya mtandaoni na sloti kutoka Expanse Studio iliyochaguliwa ni tiketi ya kupata Bonasi za kasino na Mkwanja mrefu. Jisajili Meridianbet. Shindano la Expanse Kasino, linatoa Tsh 1,100,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi…

Read More

Lisu asema hana ubavu kuwania ubunge, Kingu atia neno

Singida. Wakati harakati za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zikiendelea maeneo mbalimbali nchini, mmoja wa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lisu wa Wilaya ha Ikungi mkoani Singida amesema hana nia tena ya kuwania ubunge wa Singida Magharibi. Lisu ambaye mwaka 2020 alikuwa miongoni mwa makada wa chama hicho waliojitosa kwenye kura za maoni,…

Read More