Kichocheo ukuaji uchumi Tanzania chatajwa
Arusha. Uwajibikaji na uwazi katika rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia Tanzania, unatajwa kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza imani ya wananchi kwa Serikali kuhusu namna rasilimali zinavyowanufaisha. Pia, Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji ili rasilimali hizo ziweze kuinua uchumi kuanzia wa mtu binafsi hadi Taifa kwa ujumla. Waziri wa Mambo…