KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI YARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA OfISI YA MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe Naghenjwa Kaboyoka (Mb) na wajumbe wa Kamati hiyo wameridhishwa na hatua ya mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi la Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) Makao Makuu linalojengwa Jijini Dodoma ambalo hadi sasa limefikia asilimia 85 ambapo Mhe. Kaboyoka ameipongeza…

Read More

Doyo aitaka ACT kuheshimu Baraza la Vyama vya Siasa

Wakati chama cha ACT Wazalendo, kikisusia kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa, baadhi ya vyama vilivyoshiriki mkutano huo vimesema chama hicho, hakipaswi kudharau chombo hicho chenye dhamana ya kuimarisha mazingira ya siasa. Wameeleza hayo Alhamisi Machi 13, 2025 wakati wakizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha siku cha…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI KWA MABORESHO MAKUBWA YA MIUNDOMBINU BANDARI YA TANGA

Na Oscar Assenga,TANGA KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeipongeza Serikali kwa maboresho makubwa ya miundombinu katika Bandari ya Tanga ambayo yamekuwa chachu ya kuongeza ufanisi katika utendaji wake. Kauli ya Kamati hiyo ilitolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Seleman Moshi Kakoso baada ya kumaliza ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maboresho…

Read More

Siri vijana kubweteka, kubagua kazi

Mwanza. Wakati kukiwa na kundi la vijana linalojihusisha na michezo ya kubashiri, kudekezwa kwenye familia, kufuata mkumbo na kuchagua kazi baada ya kuhitimu masomo ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kuchangia tatizo hilo. Imeelezwa vijana wengi hujikuta wakiishia kucheza ‘Pool table’, michezo ya kubashiri, kukaa vijiweni na kusubiri wenzao wanaojishughulisha ili wawaombe kitu kidogo, maarufu kugongea….

Read More

Championship vita imehamia huku | Mwanaspoti

WAKATI Mtibwa Sugar ikizidi kupepea kileleni, kibarua kipo kwa miamba minne kusaka nafasi mbili za juu kwenye Championship kuitafuta Ligi Kuu msimu ujao. Hii ni baada ya Geita Gold kupoteza mechi yake dhidi ya Polisi Tazania 1-0, huku Mbeya City ikiinyuka mabao 3-0 Songea United na Stand United kutakata ugenini 3-0 dhidi ya Biashara United….

Read More