RAIS MWINYI AJUMUIKA NA VIONGOZI,FAMILIA NA WANANCHI KATIKA MAZISHI YA NDUGU HAMZA KHAMIS
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi mbalimbali wa Serikali, wanafamilia pamoja na wananchi katika mazishi ya Ndugu Hamza Khamis Hamza, aliyefariki jana. Marehemu Hamza Khamis Hamza (75) amefariki jana alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Lumumba, Mkoa wa Mjini Magharibi. Mazishi hayo…