Kibabage awashtua mastaa Simba | Mwanaspoti
SIMBA imeshamtambulisha beki wa kushoto mpya, Nickson Kibabage akitokea Singida Black Stars, lakini usajili huo umewaibua mastaa wa zamani wa klabu hiyo kuukosoa na kuuona haujaongeza kitu chochote badala yake wanaona ni kufifisha ushindani. Kibabage aliyewahi kuzitumikia KMC na Yanga, alitangazwa rasmi na Singida BS ametolewa bila malipo kwenda Msimbazi, ikielezwa ameenda kuongeza nguvu eneo…