Kibabage awashtua mastaa Simba | Mwanaspoti

SIMBA imeshamtambulisha beki wa kushoto mpya, Nickson Kibabage akitokea Singida Black Stars, lakini usajili huo umewaibua mastaa wa zamani wa klabu hiyo kuukosoa na kuuona haujaongeza kitu chochote badala yake wanaona ni kufifisha ushindani. Kibabage aliyewahi kuzitumikia KMC na Yanga, alitangazwa rasmi na Singida BS ametolewa bila malipo kwenda Msimbazi, ikielezwa ameenda kuongeza nguvu eneo…

Read More

JKT yawaita vijana kwenye mafunzo

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kuanza kwa mafunzo ya kijeshi ya kujitolea kwa mwaka 2026 kwa vijana wa Tanzania Bara na Visiwani wenye umri wa miaka 16 hadi 18. Mkuu wa tawi la Utawala JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena amezungumza hayo leo Jumanne Januari 20, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye…

Read More

Usajili wa Kibabage Simba wawaibua mastaa

SIMBA imeshamtambulisha beki wa kushoto mpya, Nickson Kibabage akitokea Singida Black Stars, lakini usajili huo umewaibua mastaa wa zamani wa klabu hiyo kuukosoa na kuuona haujaongeza kitu chochote badala yake wanaona ni kufifisha ushindani. Kibabage aliyewahi kuzitumikia KMC na Yanga, alitangazwa rasmi na Singida BS ametolewa bila malipo kwenda Msimbazi, ikielezwa ameenda kuongeza nguvu eneo…

Read More