Wanafunzi 100 wanolewa programu ya uongozi

Dar es Salaam. Wanafunzi 100 kutoka shule za sekondari nchini, wameanza kunolewa kupitia programu ya uongozi kwa vijana (Beginit), iliyotajwa kuwa chachu ya mabadiliko katika uongozi wa kijamii hapo mbeleni. Wadau wa maendeleo wanaoendesha mradi huo, wamebainisha kuwa wataendelea kushirikiana na Serikali kutoa mafunzo ya uongozi kwa vijana lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wa kutambua…

Read More

Mbunge ahoji kukamatwa kwa Lissu

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest amehoji sababu za kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakati anataka mabadiliko. Anatropia ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumanne Aprili 22, 2025 wakati akichangia kwenye Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi iliyowasilishwa Aprili 16, 2025. Katika mchango…

Read More

Mwananchi yaeleza manufaa kongamano la ‘Energy Connect’

Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Victor Mushi amesema lengo la kuandaliwa kwa kongamano la ‘Energy Connect’ ni kuwezesha mazungumzo kuhusu matumizi ya nishati safi nchini Tanzania. Kupitia kampeni isemayo, “ushirikiano wa kibunifu katika nishati safi ya kupikia, endelevu na mustakabali wa kijani,” watu watajifunza jambo kwa undani. Kongamano hilo…

Read More

WANANCHI WAHIMIZWA KUTUMIA MSIMU WA SIKUKUU NA LIKIZO KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII

SERIKALI imewahimiza wananchi kutumia msimu wa sikukuu na likizo kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini ili kujifunza, kuburudika na kuchangia ukuaji wa uchumi wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, Mkurugenzi wa Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Ernest Mwamwaja alisema Tanzania imejaliwa kuwa na vivutio vya kipekee ambavyo vinapaswa kuthaminiwa…

Read More

Dalili za Mambo Yanayokuja Wakati Urais wa COP29 Ukitoa Nakala Mpya ya Rasimu — Masuala ya Ulimwenguni

Nakala ya rasimu ya Urais wa COP29 inakubali kwamba nchi zinazoendelea zinateseka kwa kiasi kikubwa kutokana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Credit: UN Climate Change/Kamran Guliyev na Joyce Chimbi (baku) Alhamisi, Novemba 21, 2024 Inter Press Service Leo Urais wa COP29 umetoa rasimu mpya iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mwisho mwisho unakaribia….

Read More

Kizungumkuti cha majina kutopangwa kunavyowapa ugumu wapigakura

Mbeya. Pamoja na mchakato wa uchaguzi kuendelea kwa amani jijini hapa, baadhi ya wapiga kura wameeleza changamoto ya majina kutopangwa kwa mtiririko wa herufi (alfabeti), hali iliyosababisha ugumu kwa wazee na watu wenye uoni hafifu. Mwananchi Digital imefika kwenyebaadhi ya vituo vya kupigia kura jijini hapa leo Jumatano Novemba 27, 2024 na kushuhudia wananchi wakihakiki…

Read More

Ngaiza anakimbiza kimya kimya ‘rebound’

NYOTA chipukizi wa Vijana ‘City Bulls’, Fotius Ngaiza anaendelea kuwakimbiza wakongwe wa mchezo huo katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwenye udakaji wa mipira maarufu rebound. Rebound ni mipira inayokosa kuingia katika golini na kudundia ndani ya uwanjani, ambapo mchezaji anayeiwahi mipira hiyo inapogusa ardhi kabla ya mtu mwingine kuichukua ndiye anayehesabiwa…

Read More

Tasaf yapeleka neema Upenja | Mwananchi

Dar es Salaam. Wananchi wa Upenja na Shehia za jirani, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Ungujja, sasa wataondokana na adha ya kufuata huduma za afya mbali baada ya kuzinduliwa kwa kituo cha afya. Kituo hicho kitakachokuwa kikitoa huduma mbalimbali, ikiwemo za kibingwa kimezinduliwa ikiwa ni utangulizi kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi…

Read More

Zimbabwe Inahitaji Ufahamu, Teknolojia ya Kina ili Kushinda Saratani – Masuala ya Ulimwenguni

Wanawake wakisubiri kuchunguzwa saratani ya shingo ya kizazi katika hospitali katika mji mkuu wa Zimbabwe Harare. Zimbabwe ina visa vya saratani vinavyoongezeka na vifo utambuzi wa ugonjwa huo mara nyingi huja kwa kuchelewa. Credit: Jeffrey Moyo/IPS by Jeffrey Moyo (harare) Jumatatu, Julai 29, 2024 Inter Press Service HARARE, Julai 29 (IPS) – Mapema mwaka huu,…

Read More