Madhara ya tumbaku kwa wanaoishi na kisukari

Dar es Salaam. Kwa mtu anayeishi na kisukari, kila uamuzi kuhusu mtindo wa maisha una uzito wa kiafya. Mojawapo ya maeneo ya uamuzi  ni matumizi ya tumbaku. Huenda wengine wakadhani kuwa tumbaku inaathiri mapafu tu, lakini ukweli ni kwamba kwa mtu mwenye kisukari, tumbaku huathiri kila kona ya mwili, kutoka kwenye mishipa ya damu, hadi…

Read More

Azimio la Universal la Haki za Binadamu kati ya viingilio vipya vya Kumbukumbu ya UNESCO ya Usajili wa Ulimwenguni – Maswala ya Ulimwenguni

Shirika la elimu, kisayansi na kitamaduni la UN (UNESCO) alitangaza maandishi ya hivi karibuni Kumbukumbu ya Usajili wa Ulimwengu Alhamisi. Iliyowasilishwa na nchi 72 na mashirika manne ya kimataifa, yanashughulikia mada kama vile Mapinduzi ya Sayansi, Mchango wa Wanawake kwa Historia na Milango kuu ya Multilateralism kama vile kuandaa kwa Azimio la Universal la Haki…

Read More

SMZ yatoa angalizo mawakala feki elimu ya juu

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema kumekuwapo na wimbi la mawakala feki wanaowaliza wazazi na wanafunzi wakidai kuwapeleka kusoma vyuo vya elimu ya juu nje ya nchi kumbe hawana sifa, hivyo kuwataka wajihadhari na utapeli huo. Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali (Wema), Abdugulam Hussein amesema hayo leo Julai 21, 2024 alipofunga…

Read More

Kongamano kubwa zaidi la maendeleo ya miji duniani linahitimishwa na Wito wa Kuchukua Hatua wa Cairo – Masuala ya Ulimwenguni

Kabla ya kufunga sherehe, UN-Habitat Mkurugenzi Mtendaji, Anaclaudia Rossbach, alisisitiza Jukwaamsisitizo wa wakati unaofaa juu ya hatua ya ndani. “Zaidi ya nusu ya idadi ya watu duniani sasa wanaishi mijini,” yeye alisemaalipoangazia jukumu muhimu la serikali za mitaa katika kuunda miji na makazi ya watu. WUF12 ilikuwa “hatua ya mabadiliko katika safari ya Jukwaa la…

Read More

Inapokanzwa Ulimwenguni Katika Mahali baridi zaidi Duniani – Maswala ya Ulimwenguni

Mfano wa multilateralism, Antarctica inafungwa na makubaliano ya Antarctic yenye mataifa 57 yaliyowekwa kwa amani na sayansi. Pia ni hifadhi kubwa ya maji safi kwenye sayari yetu. Antarctica haina mji mkuu kwa sababu ni bara, sio nchi. Mikopo: UNDP/Raja Venkatapathy Maoni na Raja Venkatapathy Mani (Antarctica) Jumatatu, Februari 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Kocha Azam amzuia Feisal | Mwanaspoti

AZAM FC jana jioni ilikuwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kumenyana na Tabora United katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku nyuma kocha wa kikosi hicho, Rachid Taoussi ametoa msimamo wake kwa kiungo mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Fei Toto anayeichezea Azam kwa msimu wa pili mfululizo sasa baada ya…

Read More

KONA YA MAUKI: Je, una kiu na ndoa yenye mafanikio?

Somo hili ni kwa ajili ya watu wenye ndoto ya kuwa na ndoa zenye mafanikio. Kama huna mpango wa kufunga ndoa hili somo si kwa ajili yako. Watu wengi wamekuwa wakifundishwa na kuelewa kwamba tunachotakiwa kuwa nacho ili tuishi kwenye ndoa ni upendo peke yake, upendo ukiwepo basi hakuna haja ya kingine chochote, mengine yatakuja…

Read More

Yanga yaruka mtego wa Waalgeria

HII inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja…

Read More

KOKA APANIA KULETA MAPINDUZI SEKTA YA ELIMU TANGINI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe.Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya elimu ameahidi kutumia fedha za mfuko wa jimbo kwa asilimia 85 kwa ajili ya kuboresha elimu. Koka ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi kwa ajili ya kuweza kutembelea na…

Read More