MV VICTORIA KUSITISHA HUDUMA, TASHICO YATOA UFAFANUZI
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA MELI ya MV Victoria inayomilikiwa na Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO),imepandishwa kwenye chelezo (dry dock) kwa ajili ya kufanya ukaguzi na kubaini changamoto za kiufundi, hasa katika mitambo,sehemu ya juu ya meli na mwili wa chini wa meli ndani ya maji. Msimamizi wa Usalama wa Meli na Uhifadhi wa Mazingira,Capt.Bembele Ng’wita,amesema…