MV VICTORIA KUSITISHA HUDUMA, TASHICO YATOA UFAFANUZI

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA MELI ya MV Victoria inayomilikiwa na Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO),imepandishwa kwenye chelezo (dry dock) kwa ajili ya kufanya ukaguzi na kubaini changamoto za kiufundi, hasa katika mitambo,sehemu ya juu ya meli na mwili wa chini wa meli ndani ya maji. Msimamizi wa Usalama wa Meli na Uhifadhi wa Mazingira,Capt.Bembele Ng’wita,amesema…

Read More

Karia aula CAF, Motsepe minne tena urais

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia ameibuka mshindi wa kiti cha ujumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) katika uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo unaofanyika leo huko Cairo,Misri. Karia ameshinda kwa kura nyingi za ndio kwa vile alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo kuwakilisha…

Read More

DRC Kuzungumza Na M23 Nchini Angola – Global Publishers

Ofisi ya Rais wa Angola imetangaza kuwa itawasiliana na vuguvugu la M23 ili kundi hilo na serikali ya DRC wafanye mazungumzo ya moja kwa moja. Tina Salama, msemaji wa Rais Félix Tshisekedi, hakuwa na uhakika kuhusu tangazo hilo lakini aliandika kwenye X kwamba Angola “itachukua hatua zinazohusiana na upatanisho”. Aliongeza kuwa serikali ya DRC inasubiri…

Read More

Anasa zamponza Rais mstaafu Georgia, atupwa jela miaka tisa

Thibilisi. Rais wa zamani wa Georgia, Mikhail Saakashvili amehukumiwa kifungo cha miaka tisa jela kwa ubadhirifu wa mali ya Umma. Mamlaka za Georgia zilimkamata Saakashvili Oktoba 2021 alipoingia kwa siri nchini humo akitokea uhamishoni Ukraine wakati wa uchaguzi na kumshutumu rais huyo wa zamani kwa matumizi mabaya ya madaraka, ubadhirifu wa fedha na makosa mengine…

Read More

Ushindi wampa jeuri Kaseja | Mwanaspoti

USHINDI mtamu buana. Baada ya kuiongoza Kagera Sugar katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho na zote kuibuka na ushindi, kocha mkuu wa Kagera, Juma Kaseka ametamba kwamba ameanza kuona mwanga na morali imeongezeka zaidi kwa wachezaji wa timu hiyo. Kaseja alikabidhiwa mikoba iliyoachwa wazi na Melis Medo aliyetimkia Singida Black…

Read More