TANZANIA YAIBUKA KIDEDEA AFRIKA UZALISHAJI BORA WA KAHAWA AINA YA ROBUSTA.
NA WILLIUM PAUL, MOSHI. TANZANIA imeibuka kidedea Afrika katika uzalishaji wa kahawa bora aina ya Robusta kupitia kampuni ya Ubumwe Co.Ltd kilichopo wilayani Ngara mkoani Kagera na kuzishinda nchi za Ethiopia, Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda, Zambia, Malawi na Ivoricost. Akizungumzia ushindi huo jana, Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa nchini, Primus Kimario alisema kuwa, Tanzania ilikuwa…