TANZANIA YAIBUKA KIDEDEA AFRIKA UZALISHAJI BORA WA KAHAWA AINA YA ROBUSTA.

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. TANZANIA imeibuka kidedea Afrika katika uzalishaji wa kahawa bora aina ya Robusta kupitia kampuni ya Ubumwe Co.Ltd kilichopo wilayani Ngara mkoani Kagera na kuzishinda nchi za Ethiopia, Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda, Zambia, Malawi na Ivoricost. Akizungumzia ushindi huo jana, Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa nchini, Primus Kimario alisema kuwa, Tanzania ilikuwa…

Read More

Sababu abiria kupenda zaidi kusafiri usiku

Dar es Salaam. Kunani usiku? Ni swali linaloweza kuulizwa na wengi kutokana na mabadiliko ya mwenendo wa ushindani katika biashara ya usafirishaji abiria kwa njia ya mabasi, wengi wakihamia safari za usiku na kupunguza za mchana. Hiyo inathibitishwa na uchunguzi uliofanywa na gazeti dada la Mwananchi, The Citizen, uliobaini baada ya ruhusa ya Serikali kwa…

Read More

Omar Kaya, Msita waula Singida BS

KATIBU wa zamani wa Yanga na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Namungo, Omar Kaya sambamba na Yohana Msita wameula baada ya kuteuliwa katika nafasi mbili tofauti ndani ya klabu ya Singida Black Stars. Msita ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Utawala wakati Kaya ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Fedha wa klabu hiyo iliyopo Ligi Kuu Bara na…

Read More

“Kuokolewa kwa Haiti iko hatarini,” anasema mtaalam wa UN, onyo la shida mbaya – maswala ya ulimwengu

Baada ya ziara yake ya nne kutathmini hali juu ya ardhi, Bwana O'Neill aliwaambia waandishi wa habari katika makao makuu ya UN huko New York, akielezea taifa lililozidiwa na maumivu na kukata tamaa. “Nachukia sauti kama rekodi iliyovunjika,” alisema, “lakini Hali ni mbaya zaidi kila wakati ninapoenda“. Licha ya juhudi za Polisi wa Kitaifa wa…

Read More

Mashujaa ina listi ya makocha watano mezani

MASHUJAA bado inapambana na hali yake ikiumiza kichwa juu ya kocha gani impe jukumu la kuisimamia timu hiyo katika mechi saba zilizosalia za Ligi Kuu Bara. Taarifa mpya ni kuna makocha watano wamesalia kwenda kufanya uamuzi wa mwisho na mmoja wao atakabidhiwa mikoba hiyo iliyoachwa na Mohammed Abdallah ‘Bares’ aliyesitishiwa mkataba wake Februari 26, 2025….

Read More

Coastal yaachiwa msala wa Simba

Baada ya Yanga kujifua kwa wiki nzima kujiandaa na mchezo w Ligi Kuu dhidi ya mtani wake Simba kisha mechi hiyo kuahirishwa, shughuli sasa imehamia kwa Coastal Union itakayomenyana na mabingwa hao wa Tanzania Bara kwenye Kombe la Shirikisho kesho Machi 12, uwanjani KMC Complex. Katika rekodi za Yanga kwenye kombe hilo, inaongoza kwa kutwaa…

Read More

Ripoti ya Fadlu yamvuta Fei Toto Msimbazi

ACHANA na kile kinachoendelea Msimbazi kwa sasa juu ya Simba kugomea mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga uliotakiwa kupigwa Jumamosi, Machi 8, mwaka huu, kando ya hilo kuna mambo mengi yanayoendelea, lakini za ndaani ni kwamba mabosi Msimbazi wanaendelea kujipanga na msimu ujao.   Unaambiwa kwamba katika kipindi hiki ambacho ulimwengu wa wapenzi wa…

Read More