Unafiki wa hali ya hewa ya Magharibi uliofunuliwa na sera ya nishati ya NATO – maswala ya ulimwengu

Maoni na Jomo Kwame Sundaram (Kuala Lumpur, Malaysia) Jumanne, Machi 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KUALA LUMPUR, Malaysia, Mar 11 (IPS) – Mkakati wa jiografia wa NATO sasa umejiunga na 'umoja' wa vikosi vya jiografia ya magharibi kuharakisha joto la sayari, sasa likiongozwa na Rais wa Amerika aliyechaguliwa tena Donald Trump. Jomo Kwame…

Read More

Sakata la Simba linavyoweza kuipa Yanga ubingwa

NDO hivyo bwana! Kitendo cha Simba ‘kugomea’ mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga kabla ya Bodi ya Ligi kubariki kwa kuahirisha bila kuzingatia kanuni za Ligi Kuu, kinaifanya timu hiyo ya Msimbazi kujiweka pabaya dhidi ya jinamizi la kutotwaa ubingwa. Mashabiki wa soka kwa sasa wanasikilizia kujua nini itakuwa hatima ya sakata hilo…

Read More

Wagombea viti maalumu CCM kupigiwa kura na wajumbe hawa

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza wajumbe watakaoshiriki mchakato wa kuwapigia kura watia nia wa ubunge na udiwani wa viti maalumu kupitia jumuiya zake za vijana (UVCCM), wanawake (UWT) na Wazazi. Hatua hiyo ni baada ya chama hicho, kufanya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya dola, uliohusisha upanuzi…

Read More