RC CHALAMILA USO KWA USO NA BI MARTHA ALIYELALAMIKA KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII KUIDAI HOSPITALI YA AMANA
-Aagiza uhakiki wa madai ya Bi Martha ufanyike haraka kwa kuzingatia nyaraka stahiki. -Aguswa na utafutaji wa Bi Martha amchangia milioni 2 ya kwake binafsi kama mtaji -Atoa rai kwa wananchi kuwa na nyaraka stahiki pale wanapofanya kazi na Serikali Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Machi 11,2025 amekutana na…