Mkuu wa Majeshi Uganda ampa Bobi Wine saa 48 kujisalimisha Polisi
Dar es Salaam. Katika hatua iliyoibua taswira ya wasiwasi kisiasa nchini Uganda, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini humo (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, ametangaza kupitia mtandao wa X kumsaka kiongozi wa upinzani, Bobi Wine. Katika taarifa hiyo iliyosambaa na kuzua mjadala mitandaoni leo Jumanne Januari 20, 2026,…