Moto kuwaka Ramadhani Star League

NYOTA wa timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuchuana katika mashindano ya kugombea Kombe la Ramadhani ‘Ramadhan Star League’. Mashindano hayo yameandaliwa na Taasisi ya michezo ya Mchenga Academy kwa kushirikiana na Twiga Sport Promotion na yamepangwa kuanza Februari 20 mwaka huu kwenye Uwanja wa DonBosco Oysterbay, Dar es…

Read More

Mzee Edwin Mtei Kuzikwa Januari 24 Arumeru Arusha

Last updated Jan 20, 2026 Mashinda Mtei, mtoto wa tatu wa aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Waziri wa zamani wa Fedha na mwanzilishi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), marehemu Mzee Edwin Mtei, ametangaza kuwa baba yake atazikwa Jumamosi, Januari 24, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari, Mashinda…

Read More

Chagua Mabingwa Wako Leo, Ubeti na Meridianbet

Last updated Jan 20, 2026 Ligi ya mabingwa barani Ulaya inaendelea leo hii ndani ya Meridianbet huku ikiwa ni bado mechi zipo kwenye mfumo wa ligi. Timu zingine zipo kwenye hali nzuri huku zingine zikiwa bado zinajitafuta sasa. Na wewe jitafute uanze kupiga mkwanja leo. Real Madrid watakuwa Santiago Bernabeu kupepetana dhidi ya AS…

Read More

GHANA, TANZANIA STRENGTHEN LOCAL CONTENT COLLABORATION IN MINING

Tanzania is set to deepen domestic participation, industrial growth and value retention in its mining sector following the strengthening of institutional collaboration with Ghana on Local Content implementation. The two countries are enhancing cooperation on policies and best practices aimed at increasing the participation of local citizens and firms across the mining value chain, strengthening…

Read More

Kilichoikwamisha Savio 2025 hiki hapa

WAKATI timu zikiwa bado zinajitathmini na kujipanga upya namna zikavyoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa Savio, Oscar Anthony ametaja sababu mbili zilizowakwamisha msimu uliopita. Anthony anayecheza nafasi ya namba 2 (Shooting Guard) aliliambia Mwanaspoti kutokuwa na maandalizi mazuri kulichangia kupoteza michezo yao ya mwanzo. “Kwa kweli sababu hiyo…

Read More

Mwanamitandao na Shabiki Maarufu wa Man City Brydon Bent Kuja Tanzania

*#UnforgetableTanzania na *#DestinationTanzania MWANAMITANDAO na shabiki maarufu wa klabu ya Manchester City, Brydon Bent, anatarajiwa kuwasili Tanzania katika kampeni za utalii #UnforgetableTanzania na #DestinationTanzania, hatua inayotarajiwa kuendeleza kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia majukwaa ya kidijitali. Brydon alijipatia umaarufu mkubwa hapa nchini miaka kadhaa iliyopita kutokana na video zake akiongea Kiswahili fasaha na kuonesha mapenzi makubwa kwa…

Read More