Azim amvaa MO, Salim | Mwanaspoti

MFADHILI wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewatuliza mashabiki huku akiwasisitiza Mohammed Dewji na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Mhene ‘Try Again’ kujitokeza hadharani kusema jambo. Dewji ambaye alikuwepo Simba ikicheza fainali pekee ya CAF kwa klabu hiyo amesema kwa hali ilivyo sasa MO na Try again mmoja wao anatakiwa kutoka hadharani na kutuliza upepo…

Read More

Lipumba akumbuka alivyopewa mbuzi, kura sifuri alia na rafu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema rafu zilizojitokeza katika chaguzi za serikali za mitaa tangu wa mwaka 2019 na huu wa 2024, pamoja na Uchaguzi Mkuu 2020 zinamkumbusha mambo mengi. Profesa Lipumba ameyasema hayo leo Jumatano, Desemba 18, 2024 wakati akitoa tathmini ya chaguzi hizo zilizofanyika ndani ya…

Read More

Mwisho wa enzi Profesa Lipumba kuisaka Ikulu

Wakati mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu ukikamilika ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Mwananchi imethibitishiwa kwamba mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba hatogombea tena urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu kuanza kwa chaguzi katika mfumo wa vyama vingi, Profesa Lipumba amegombea urais mara tano kuanzia mwaka 1995, 2000, 2005, 2010…

Read More

Ngorongoro yazindukia Mikumi | Mwanaspoti

VIPIGO viwili vya michezo ya awali ilivyopata timu ya Ngorongoro imeizindua kwa kupata ushindi wa mikimbio 22  dhidi ya Mikumi katika mchezo  uliopigwa jijini wikiendi iliyopita. Mchezo huu ambao ni maalum kwa  wachezaji wa timu ya taifa ya kriketi, ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya michuano ya kufuzu fainali za kombe…

Read More

Simba yamganda Pogba wa Zenji

WATANI wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga wameendelea ushindani wao nje ya uwanjani kwa kuamua kuvamia visiwani Zanzibar na hususani katika klabu ya Mlandege kwa ajili ya kubeba viungo wanaojua kutembeza boli kwa ajili ya kusuka vikosi vyao kwa msimu ujao wa mashindano. Ilianza Yanga kwa kuvamia Mlandege na kukamilisha dili la kumnasa…

Read More

BAJANA: Ishu ya Simba  ilikuwa siriazi

DIRISHA kubwa la uhamisho linaendelea kushika kasi kwa klabu mbalimbali zikiwamo za Ligi Kuu Bara hasa Simba, Yanga na Azam FC ambazo zimekuwa gumzo zaidi kutokana na sajili za kibabe ambazo zimekuwa zikifanya tangu dirisha hili limefunguliwa. Kati ya mijadala mikubwa kwa mashabiki kila kona kuanzia kwenye mitandao ya kijamii hadi vijiwe vya kahawa, ni…

Read More

ITEL TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE KWA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI KIWANDU ZANZIBAR

itel Tanzania Yaunga Mkono Elimu Zanzibar Kupitia Mpango wa CSR itel, chapa ya kimataifa, imethibitisha tena kujitolea kwake kwa elimu na maendeleo ya jamii kupitia tukio la kurudisha kwa Jamii (CSR) lililofanyika tarehe 4 Desemba 2024, katika Shule ya Msingi Kiwandui, Zanzibar. Mpango huu, kwa kushirikiana na Amity Foundation na Dream Public Welfare (DBSA), unalenga…

Read More

Kiini ndoa kuvunjika mapema hiki hapa 

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya saikolojia, wanasheria, wanazuoni na wanajamii wamebainisha sababu kadhaa zinazochangia ndoa kuvunjika mapema baada ya kufungwa, hususan mijini. Wameeleza hayo walipochangia mjadala wa Mwananchi X Space leo Jumatano Septemba 18, 2024 ulioongozwa na mada isemayo: ‘Nini kinachochea ndoa zinazofungwa mijini kuvunjika mapema?’ Mada katika mjadala huo ulioandaliwa na Kampuni…

Read More