Mkandarasi mzawa achechemea mradi wa HEET

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omar Kipanga ameuagiza uongozi wa Kampuni ya ukandarasi ya Comfix kufika ofisini kwake Dodoma Oktoba 2, 2024 kufuatia kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa kampuni hiyo kwenye utekelezaji wa mradi wa ujenzi katika Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT). Kampuni hiyo imepewa kazi…

Read More

Dabo apata shavu Libya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema ni heshima kubwa kupata nafasi ya kuifundisha timu ya taifa ya Libya, akiwa kocha msaidizi wa Aliou Cisse, aliyeipa Senegal ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), mwaka 2022. Dabo alijiunga na AS Vita Club baada ya kuachana na Azam, Septemba 3, 2024, kutokana na…

Read More

Mambo sita yaisubiri Kamati Kuu Chadema

Kakola. Mambo sita likiwemo la makada na viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) kujivua uanachama mfululizo zinatarajia kutawala katika kikao cha kamati kuu ya chama hicho Mei 21, 2025 jijini Dar es Salaam. Kikao hicho, ambacho kitakuwa cha kwanza kufanyika bila kuwepo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu ambaye yupo mahabusu, kitaongozwa na Makamu…

Read More

Tujitazame upya wapi tulijikwaa | Mwananchi

Vurugu zilizotokea nchini siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito katika historia ya Tanzania. Maisha ya watu yamepotea, wengine wamejeruhiwa, mali za umma na za binafsi zimeteketea kwa moto, huku miundombinu muhimu kama barabara, vituo vya mwendokasi, ofisi za Serikali na magari, mali za watu binafsi yakiwamo magari, vituo vya mafuta na…

Read More

Mafanikio katika Ushirikiano wa Kikanda, Licha ya Changamoto Zinazojitokeza – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Kingsley Ighobor (umoja wa mataifa) Jumanne, Agosti 06, 2024 Inter Press Service Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) ilianzishwa mwaka 1975 ili kukuza ushirikiano wa kiuchumi katika kanda. Miaka 49 baadaye, jumuiya ya kikanda inajivunia mafanikio makubwa katika utangamano, amani na usalama na utawala bora, lakini pia inakabiliwa na baadhi…

Read More