Video: Ajali Ya Lori La Mafuta Na Mbao Yaua Watu Watatu Morogoro
Bakari Mahundu February 25, 2026 0 Comments Watu watatu ambao majina yao bado hayajatambuliwa wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha magari mawili ya mizigo yaliyogongana uso kwa uso na kuteketea kwa moto katika barabara kuu ya Morogoro–Dar es Salaam. Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia Februari 25, 2026, katika eneo la Maseyu, Kata…