Changamoto sita za kimazingira Zanzibar, wadau wapendekeza hatua za kuchukua
Zanzibar. Zanzibar inakabiliwa na changamoto za kimazingira, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa kina cha bahari, uvamizi wa maji ya chumvi, mmomonyoko wa fukwe, na hali mbaya ya hewa. Ofisa Uratibu wa Wizara ya Uchumi wa Buluu, Omar Mohamed, ameeleza changamoto hizo leo Jumatatu, Machi 10, 2025 wakati wa warsha kuhusu uchumi rejelezi (Circular Economy)…