Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu CCM

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo Machi 10, 2025 jijini Dodoma. Kikao hicho kitafuatiwa na kile cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC). Hata hivyo, taarifa ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla haikuweka wazi…

Read More

Mramba: Kununua umeme ethiopia kuna faida kuliko hasara

Dar es Salaam. Kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu mchakato wa kununua umeme kutoka Ethiopia, imeendelea kuwaibua maofisa wa Serikali kuifafanua kwamba kuna manufaa kwa nchi na sio hasara kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu. Miongoni mwa wengine, waliotoa ufafanuzi huo ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba na Gerson…

Read More

Mchungaji Mono amrithi Sendoro Dayosisi ya Mwanga

Mwanga. Msaidizi wa askofu wa Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria (DKMZV), Mchungaji Daniel Mono amechaguliwa kuwa mkuu mteule wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Dk Mono amechaguliwa leo Machi 10, 2025 katika mkutano mkuu maalumu uliofanyika katika Kanisa Kuu la Dayosisi ya Mwanga, bila mwenyewe kuwepo. Katika…

Read More

Aucho, Mukwala kusaka fainali Kombe la Dunia 2026

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala wameitwa katika kikosi cha Uganda kinachojiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 zinazotarajiwa kupigwa hivi karibuni. Kocha wa Uganda, Paul Put ameita kikosi hicho chenye mchanganyiko wa wachezaji wanaocheza katika klabu za Uganda na wale wa timu za nje ya…

Read More

Msongo wa mawazo unavyoweza kukunenepesha

Dar es Salaam. Wanasaikolojia wanasema moja kati ya sababu zinazoweza kumfanya mtu kuwa mnene kupindukia,  ni kukabiliwa na msongo wa mawazo. Mwanasaikolojia Charles Kalungu amesema msongo unaweza kumfanya mtu anenepe kwa sababu ya kuvurugwa kwa mfumo mzima wa mwili na akili,  ambapo mtu hujaribu kujitafutia furaha kupitia kula vyakula bila kujali kama vina  faida au…

Read More

Mrithi wa Askofu Sendoro kujulikana leo

Mwanga. Mkutano Mkuu maalumu wa kumpata Mkuu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) umeanza, huku macho na masikio ya waumini yakisubiri kuona na kusikia ni nani atakayemrithi Askofu Dk Chediel Sendoro, aliyekuwa mkuu wa dayosisi hiyo. Mkutano huo, unaofanyika katika Kanisa Kuu Mwanga, unatarajiwa kuwa na wajumbe 135 na…

Read More

TMA yatangaza uwepo wa kimbunga Jude

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza uwepo wa kimbunga Jude katika Bahari ya Hindi, eneo la Rasi ya Msumbiji. TMA kupitia taarifa yake iliyoitoa leo Jumatatu Machi 10, 2025, ikieleza kupitia uchambuzi wa mifumo ya hali ya hewa unaonyesha kuwa kimbunga hicho kitaingia nchi kavu katika eneo la Msumbiji mchana…

Read More