Mwanamitandao na Shabiki Maarufu wa Man City Brydon Bent Kuja Tanzania
*#UnforgetableTanzania na *#DestinationTanzania MWANAMITANDAO na shabiki maarufu wa klabu ya Manchester City, Brydon Bent, anatarajiwa kuwasili Tanzania katika kampeni za utalii #UnforgetableTanzania na #DestinationTanzania, hatua inayotarajiwa kuendeleza kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia majukwaa ya kidijitali. Brydon alijipatia umaarufu mkubwa hapa nchini miaka kadhaa iliyopita kutokana na video zake akiongea Kiswahili fasaha na kuonesha mapenzi makubwa kwa…