Mwanamitandao na Shabiki Maarufu wa Man City Brydon Bent Kuja Tanzania

*#UnforgetableTanzania na *#DestinationTanzania MWANAMITANDAO na shabiki maarufu wa klabu ya Manchester City, Brydon Bent, anatarajiwa kuwasili Tanzania katika kampeni za utalii #UnforgetableTanzania na #DestinationTanzania, hatua inayotarajiwa kuendeleza kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia majukwaa ya kidijitali. Brydon alijipatia umaarufu mkubwa hapa nchini miaka kadhaa iliyopita kutokana na video zake akiongea Kiswahili fasaha na kuonesha mapenzi makubwa kwa…

Read More

SERIKALI YAWEKEZA KIMKAKATI SEKTA YA UZALISHAJI WA DAWA, YAANZISHA VITUO MAALUMU MLOGANZILA NA KIBAHA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa dawa, ikiwemo kuanzishwa kwa vituo maalumu vya uzalishaji na utekelezaji wa sera zitakazohakikisha uwepo wa soko la uhakika kwa wazalishaji wa ndani watakaokidhi viwango vya kimataifa. Akizungumza katika Jukwaa la Uwekezaji wa Uzalishaji wa Dawa Tanzania lililofanyika Dar…

Read More

WAFANYABIASHARA TUFANYE MAKADIRIO NA MALIPO YA KODI KWA WAKATI

 :::::::: Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Mhe. Nyakia Ally Chirukile, amewataka wafanyabiashara kufanya makadirio na malipo ya kodi kwa wakati ili kuchangia maendeleo ya taifa.  Akizungumza leo tarehe 20.01.2026 katika ofisi yake alipokutana na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa lengo la kujitambulisha na kutangaza zoezi la utoaji elimu ya kodi…

Read More

Serikali yaita wafanyabiashara kutatua changamoto za biashara

Arusha. Serikali imewataka wafanyabiashara nchini kuimarisha ushirikiano na taasisi za umma kwa kutumia majukwaa ya mazungumzo kama njia kuu ya kutatua changamoto zinazowakabili ili kuepuka migogoro ya mara kwa mara. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, Januari 19, 2025 jijini Arusha kwenye kikao kati ya Serikali na uongozi wa…

Read More

Makonda aihakikishia FIFA ushirikiano katika michezo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo Jijini Rabat, nchini Morocco. Katika mazungumzo hayo Makonda amemshukuru Infantino kwa ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Tanzania katika maendeleo ya mchezo wa mpira wa miguu na…

Read More

Tanzania mguu sawa uwekezaji sayansi ya bahari

Ufunguzi wa majengo ya taaluma na utawala katika Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Zanzibar ni uthibitisho kwamba sasa Tanzania imejipanga kuwekeza katika mafunzo na utafiti wa rasilimali za pwani na bahari. Uzinduzi huo uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan, katika taasisi hiyo, eneo la Buyu Unguja Zanzibar Januari 8,…

Read More

SHINA LA MAKUNDUCHI MMEDHIHIRISHA KWA VITENDO KUWA MAENDELEO HAYANA CHAMA-.DKT.MIGIRO

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Dkt.Asha Rose Migiro,amezindua Shina la wakereketwa wa CCM Makunduchi lililopo Mtaa wa Uhuru Wilaya ya Dodoma Mjini,na kuwapongeza kwa kutumia shina hilo kama sehemu ya kujiongezea kipato bila ya kujali itikadi zao. Akizungumza na wajumbe hao Januari 20,2026,kabla ya kuzungumza na Mabalozi wa Mashina wa Mkoa wa Dodoma,Dkt.Migiro,amesema hatua…

Read More