Rais Samia afanya uteuzi, yumo Balozi Sirro

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akimteua IGP mstaafu Balozi Simon Sirro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Madini la Taifa (Stamico). Balozi Sirro anachukua nafasi ya Meja Jenerali mstaafu, Michael Isamuhyo ambaye amemaliza muda wake. Taarifa iliyotolewa leo Aprili 5, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi Dk Moses…

Read More

MKURUGENZI MKUU EWURA AWATAKA WAFANYAKAZI KUZINGATIA MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dkt. James Andilile,akizungumza  wakati akizindua maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Mteja yaliyofanyika leo Oktoba 7,2024  katika ofisi za EWURA Makao Makuu, jijini Dodoma. SEHEMU ya Watumishi wa EWURA pamoja na  baadhi ya wateja waliofika katika ofisi ya EWURA wakimsikiliza Mkurugenzi  Mkuu…

Read More

Ouma, Coastal saa zinahesabika | Mwanaspoti

COASTAL Union iko katika mazungumzo ya mwisho ya kuachana na kocha mkuu, David Ouma kwa kile kinachoelezwa viongozi hawaridhishwi na mwenendo wa matokeo inayoyapata. Taarifa za ndani zilizonazwa na Mwanaspoti zinaeleza kwamba, Coastal baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola katika mchezo wa awali wa Kombe la Shirikisho Afrika, ilimtaka Ouma…

Read More

Kamati ya maadili TFF yamfungia katibu mkuu DRFA

Dar es Salaam. Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemfungia Ramadhan Missiru, Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kutojihusisha na shughuli zozote za mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka sita. Missiru alipatikana na hatia ya makosa mawili ya ukiukwaji wa maadili yaliyobainishwa…

Read More

Ulega aeleza wizara yake ivyombadilisha Mnyeti

Dodoma. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumpeleka katika wizara hiyo kwa sababu miaka miwili iliyopita ustaarabu ulikuwa ni mdogo kwake. Hayo yamesemwa leo jioni Jumanne, Machi 14, 2024 na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka…

Read More

DAWASA YAANZA KWA KISHINDO WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

-Yaingia mtaani kusikiliza na kutatua changamoto za kihuduma Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imeanza maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja kwa kuwafikia wateja wake katika maeneo mbalimbali ya kihuduma katika Mikoa ya Dar es salaam na Pwani ili wanatatua na kuboresha huduma. Akizungumza na vyombo vya habari ,…

Read More

Dewji awaombea Stars mamilioni | Mwanaspoti

MFADHILI wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewataka wafanyabiashara wakubwa na mashabiki wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kuonyesha uzalendo kuwapongeza wachezaji wa Stars kwa kuwapa maokoto katika mechi watakazoshinda. Stars inashiriki michuano ya CHAN kwa mara ya tatu, huku ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kuteuliwa kufungua  mashindano hayo. Kikosi hicho kilichopo katika…

Read More

Uingereza kuendelea kufadhili miradi ya Ukimwi nchini

Moshi.Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,  David Concar amesema nchi yake itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kupambana na ugonjwa wa Ukimwi, ili kutimiza malengo  ya kimataifa ya muda wa kati na mrefu,  kuona hakuna maambukizi mapya, unyanyapaa na vifo vinavyohusiana  na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU). Balozi Concar amesema hayo…

Read More