Ujenzi miundombinu ya BRT Awamu ya Tatu Gongo la Mboto wafikia 99%
Na. Mwandishi Wetu. Awamu ya Tatu ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu kama Mwendokasi katika Barabara ya Nyerere kuelekea Gongolamboto na maeneo yaJirani sasa umefikia asilimia 99 kwa ujenzi wa Vituo vya Mabasi Pamoja na Barabara za zege. Akizungumza kuhusu maendeleo ya awamu hiyo Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafirishaji wa Wakala wa Mabasi…