‘Walimu wasiosimamia adhabu ya viboko waondolewe’

Simiyu. Serikali imeshauriwa kuwaondoa katika nafasi zao walimu wakuu na wakuu wa shule za msingi na sekondari ambao watashindwa kusimamia utoaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi kwa kufuata Waraka wa Elimu Namba 24. Ushauri huo umetolewa baada ya ongezeko la matukio ya udhalilishaji na madhara kwa wanafunzi yanayosababishwa na adhabu hizo, hasa baada ya…

Read More

Mikoa 25 kupata mvua kubwa kuanzia leo

Dar es Salaam. Kama unaishi kwenye mikoa hii 25 nchini chukua hatua kwa kuwa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri mvua kubwa itakayonyesha siku tatu kuanzia leo Machi 9, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Machi 8, 2025, TMA imesema hali hiyo itashuhudiwa kwenye baadhi ya maeneo ya mikoa hiyo kati ya leo…

Read More

Pamba Jiji yapata ajali, wachezaji wapo salama

Daktari wa klabu ya Pamba Jiji, Joseph Chacha amesema wachezaji wako sawa kiafya baada ya ajali ya gari iliyotokea leo mkoani Dodoma, ambapo kikosi hicho kimeendelea na safari yao ya kwenda Morogoro kucheza mchezo dhidi ya Kiluvya United. Basi la Pamba Jiji lililokuwa limewabeba wachezaji na benchi la ufundi likiwa linatokea mjini Bukoba mkoa wa…

Read More

Raha, karaha wazazi kuwachagulia watoto wenza

Abby Kwesa, baba wa watoto watatu anayeishi jijini Dar es Salaam, anakumbuka namna mama mzazi wa mchumba wake alivyoharibu ndoto ya maisha yake. Anasema alishajiandaa kuanza maisha ya ndoa na msichana aliyempenda. Akapeleka posa nyumbani kwa wazazi wake, ambapo hata hivyo aligonga mwamba, kisa ni mama wa mchumba wake kutokuwa tayari binti yake aolewe bila…

Read More

Mambo sita anayohitaji kuyasikia mwanao

Kuna mtu aliwahi kunukuliwa akisema, ‘watoto ni watu wazima wenye miili midogo.’ Hakuwa amekosea. Huu ni ukweli ambao wengi wetu tunachelewa kuufanyia kazi. Ingawa hawawezi kusema wazi wazi, watoto wana mahitaji wasiyoweza kuyasema wazi, lakini tusipoyachukulia kwa uzito yanaweza kuleta madhara makubwa na kuharibu kabisa mwelekeo wa maisha yao.  Unaweza, kwa mfano, kumwambia mtoto neno…

Read More

Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 19

Mwanga. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua mradi mkubwa wa maji wa wilaya tatu za Same- Mwanga- Korogwe ambao utanufaisha wananchi zaidi ya 456,931. Mradi huo chanzo chake ni Bwawa la Nyumba ya Mungu, ulianza kutekelezwa mwaka 2014 na sasa awamu ya kwanza imekamilika ukiwa umegharimu zaidi ya Sh300 bilioni. Hatua hii imefikiwa baada…

Read More

Mido Biashara United akiri mambo magumu

KIUNGO mshambuliaji wa Biashara United, Pascas Wagana amesema wana kazi kubwa ya kukipambania kikosi hicho kubakia Ligi ya Championship, baada ya malengo ya awali ya kuirejesha Ligi Kuu Bara kuota mbawa. Akizungumza na Mwanaspoti, Wagana aliyewahi kuichezea pia Mbuni FC ya jijini Arusha, alisema kitendo cha kukatwa pointi 15, huku aliyekuwa rais na mfadhili wa…

Read More