Ndoa ya ‘majuu ilivyomtesa Aziz

Aziz ni kijana wa miaka 24 wa Kipalestina aliyekimbia udhalilishaji kwao akaishia kudhalilika majuu. Kisa hiki kinafikirisha, kusikitisha na kufundisha. Wapo wengi kama Aziz walioharibikiwa baada ya kuolewa wakidhani wameoa majuu. Aziz, akiwa hajui hata Kiingereza, alijikuta akijiingiza kwenye ndoa ya mateso. Nkwazi alimjua Aziz. Alikuwa rafiki wa kaka yake aliyemlalamikia kuwa mdogo wake alikuwa…

Read More

Wikendi ya Kutusua Kijanja Imefika

HATIMAYE leo hii ni siku ya wewe kuondoka na kitita cha mkwanja ndani ya Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zipo uwanjani kukupatia maokoto. Ingia Meridianbet na ubashiri sasa. Tukianza na ligi kuuu pendwa Duniani pale Uingereza yaani EPL leo hii mapema kabisa Manchester City watakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Nottingham Forest ambapo mechi ya…

Read More

Matano agusia mambo mawili Ligi Kuu Bara

BAADA ya kukusanya pointi sita kwenye mechi mbili mfululizo nyumbani na ugenini, kocha mkuu wa Fountain Gate, Robert Matano amesema nafasi ya kushuka au kupanda katika nafasi kwa timu zote ni kubwa na bado inatishia mwelekeo wa Ligi Kuu Bara. Matano ameiongoza Fountain Gate kwenye mechi saba baada ya kukabidhiwa mikoba ya Mohamed Muya ambaye…

Read More

Bashiri na Meridian bet Leo – Global Publishers

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1 kama kawaida kitawaka leo ambapo Brest ataumana dhidi ya Angers huku tofauti yao ni pointi 6 pekee. Kila…

Read More

Ujumbe kwa wanawake wafanyakazi, watafutaji

Ninaposema mfanyakazi si lazima aliyeajiriwa na kusubiri mshahara wa mwisho wa mwezi, kuna wale ambao wamejiajiri wakifanya shughuli za hapa na pale zinazowasaidia kuendesha maisha yao na familia zao kwa ujumla. Awali kundi hili halikuwa kubwa, zamani jukumu kubwa lilikuwa kuhudumia familia, baba akienda kutafuta mama anabaki nyumbani kuangalia watoto na kuhakikisha kila kitu kinakwenda….

Read More

Azam FC morali juu, Kocha atamba

USHINDI wa mabao 4-0 walioupata Azam dhidi ya Tanzania Prisons umeleta ahueni kubwa kwa kikosi cha matajiri hao wa Chamazi, baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutoa sare tatu mfululizo katika Ligi.Matokeo hayo yamezidi kuwaweka katika mbio za kusaka nafasi mbili za juu. Presha ndani ya Azam ilianza kupanda baada ya kikosi kushindwa kupata ushindi…

Read More

Kada CCM aliyemwagiwa tindikali aandika barua THBUB, ajibiwa

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Idrisa Moses maarufu Makishe, ameiandikia barua Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), akiiomba kuanza uchunguzi huru kuhusu tukio la kumwagiwa tindikali. Septemba 20, 2024 saa 2:00 usiku, watu wasiojulikana walimmwagia Makishe ambaye ni mkazi wa mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro kimiminika kinachodhaniwa ni tindikali na…

Read More

WAFANYAKAZI WANAWAKE BARRICK WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUSAIDIA JAMII

Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Barrick nchini na wakandarasi wake wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kujikita kutoa msaada kwenye jamii sambamba na kujitolea muda wao kusaidia shughuli za kijamii ambapo baadhi yao wameshiriki maadhimisho ya kitaifa yaliyofanyika katika jiji la Arusha. Wanawake kutoka mgodi wa Barrick Bulyanhulu wametembelea hospitali ya rufaa ya…

Read More

Ushindani Azam, Tabora wamshtua kocha Singida

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amezitaja Azam na Tabora United kuwa ndizo timu zinazompa presha kwa sasa kutokana na ushindani uliopo wakiwania nafasi ya tatu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa. Ouma amesema hayo baada ya kuifunga Namungo bao 1-0 ugenini na kuifanya timu yake iendelee kusalia nafasi ya nne…

Read More