Mbowe, Dk Slaa waibua shangwe Bawacha

Dar es Salaam. Wanawake wa Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema), wamejumuika kusherehekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake. Wanawake hao waliovalia sare za vitenge wametoka mikoa ya Tanzania Bara na Zanzibar na  wamekusanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Shughuli hiyo imehudhuriwa na mwenyekiti wa…

Read More

Askofu Amani awaasa wanawake kujiheshimu, kuyaishi maadili

Arusha. Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isack Amani amewataka wanawake na wasichana nchini kujiheshimu, kujiamini na kusimama imara katika maadili wakijiepusha na vitendo vya kujidhalilisha kwa namna yoyote ile. Ametaka maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake (IWD) leo Machi 8, 2025 itumike kuzalisha mawazo chanya kuhusu wanawake na wasichana. Askofu huyo ameyasema hayo…

Read More

Syria ya baada ya Assad inakabiliwa na mtihani muhimu juu ya kuondoa silaha za kemikali-maswala ya ulimwengu

Mabalozi wa muhtasari, Izumi Nakamitsu, mwakilishi wa juu wa UN kwa maswala ya silaha, alikaribisha hatua zilizochukuliwa na mamlaka mpya ya nchi hiyo kuhusika na Shirika la kukataza silaha za kemikali ((OPCW) na fanya kazi kwa kufuata kabisa sheria za kimataifa. “Syria imeanza kuchukua hatua zake Kuelekea kusudi hili, “alisema, akisisitiza umuhimu wa kuchukua wakati…

Read More

Kariakoo Dabi yaahirishwa, kupangiwa tarehe nyingine

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Bara (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga na Simba uliopangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025, saa 1:15 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kabla ya kuahirishwa kwa mchezo huo, Simba ilitoa tamko usiku wa kuamkia leo Jumamosi ikisema haitapeleka…

Read More

MKURUGENZI MKUU WA NSSF: DHAMIRA YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA NI KUHAKIKISHA WANANCHI WALIOJIAJIRI WANANUFAIKA NA HIFADHI YA JAMII

*Awapongeza wananchi kwa muitikio wa kujiunga na kuchangia ili kujiwekea akiba kwa maisha bora ya sasa na ya baadaye kupitia kampeni ya NSSF Star Mchezo Na MWANDISHI WETU, Arusha. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema katika Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais…

Read More

Kariakoo Dabi yaahirishwa, kupangwa tarehe nyingine

Mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa imeahirishwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Uamuzi huu umetokana na sintofahamu iliyotokea baada ya klabu ya Simba kuzuiwa kuingia uwanjani kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo huo,…

Read More