Mzee Mtei kuzikwa Jumamosi nyumbani  kwake

Arusha. Mwili wa mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei anatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya Januari 24, 2026 nyumbani kwake Tengeru nje kidogo ya Jiji la Arusha. Mzee Mtei ambaye pia alikuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), alifariki dunia usiku wa Jumatatu, Januari 19, 2026 jijini Arusha, akiwa na…

Read More

Utafiti wa Kimataifa Unapata Wananchi wanarudisha Bunge la Dunia kama Imani katika Mfumo wa Kimataifa wa Kumomonyoka – Masuala ya Ulimwenguni

Utafiti wa kimataifa katika nchi 101 umepata uungwaji mkono wa walio wengi duniani kwa bunge la dunia lililochaguliwa na raia kushughulikia masuala ya kimataifa, ikionyesha wasiwasi ulioenea juu ya utaratibu wa kimataifa uliopitwa na wakati na usio wa kidemokrasia. Credit: Demokrasia Bila Mipaka Maoni na Demokrasia Bila Mipaka (berlin, Ujerumani) Jumanne, Januari 20, 2026 Inter…

Read More

Toure atua Msimbazi, Chama ni suala la muda

Wakati Simba leo Januari 20, 2026 ikimtambulisha beki kiraka Ismail Toure, timu hiyo iko mbioni kumtambulisha kiungo wake za zamani Clatous Chama kutokea Singida Black Stars ambaye inaripotiwa kwamba imeshafikia makubaliano naye. Habari kutoka chanzo cha uhakika ndani ya Simba, imethibitisha kuwa tayari imeshafikia makubaliano na kiungo huyo na tayari ameshasaini mkataba wa mwaka mmoja….

Read More

Tanzania yapanda nafasi mbili viwango vya ubora FIFA

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’imepanda kwa nafasi mbili katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kwa mujibu wa chati ya mwezi Januari 2026 iliyotolewa juzi. Kutinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zilizofikia tamati huko Morocco juzi Jumapili, kumeonekana kuibeba…

Read More

Wanafunzi 14 wafariki ajalini, Rais Ramaphosa atuma rambirambi

Afrika Kusini. Wanafunzi 13 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi dogo la lori nje kidogo ya Jiji la Johannesburg na mwingine mmoja amepoteza maisha wakati akipatiwa matibabu hospitali. Kutokana na ajali hiyo, Rais Cyril Ramaphosa ametuma salamu za rambirambi na ametoa wito polisi kusimamia utekelezaji wa sheria za usalama barabarani na kuboreshwa kwa usimamizi wa…

Read More

Wazee wajitosa kuliponya Taifa, Butiku asema…

Dar es Salaam. Baada ya hatua zilizochukuliwa na makundi mbalimbali za kuliponya Taifa kutokana na maandamano na vurugu za Oktoba 29 mwaka jana, hatimaye wazee nao wamejitosa kuusaka mwafaka huo wa kitaifa. Wazee wanakuja na uamuzi huo, wakati ambao tayari Rais Samia Suluhu Hassan ameshaunda tume kuchunguza matukio hayo, ikipewa miezi mitatu kuifanya kazi hiyo,…

Read More