Mzee Mtei kuzikwa Jumamosi nyumbani kwake
Arusha. Mwili wa mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei anatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya Januari 24, 2026 nyumbani kwake Tengeru nje kidogo ya Jiji la Arusha. Mzee Mtei ambaye pia alikuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), alifariki dunia usiku wa Jumatatu, Januari 19, 2026 jijini Arusha, akiwa na…