Tariq: Haikuwa rahisi kutoboa Biashara hadi Yanga

NYAKATI ngumu wakati mwingine zinaweza zikabadili tatizo na kugeuka fursa, ndivyo anavyosimulia mshambuliaji wa Kagera Sugar, Tariq Seif anayeshuhudia kupitia kudharauka alipata nafasi ya kucheza Yanga msimu wa 2019/20. Unataka kujua ilikuaje? Anasimulia msimu wa 2018/19 akiwa Biashara United, hakuwa chaguo la kwanza, hivyo kuna wakati mwingine alikuwa akipewa nafasi ya kucheza, alisindikizwa na neno…

Read More

Ndoa ya โ€˜majuu ilivyomtesa Aziz

Aziz ni kijana wa miaka 24 wa Kipalestina aliyekimbia udhalilishaji kwao akaishia kudhalilika majuu. Kisa hiki kinafikirisha, kusikitisha na kufundisha. Wapo wengi kama Aziz walioharibikiwa baada ya kuolewa wakidhani wameoa majuu. Aziz, akiwa hajui hata Kiingereza, alijikuta akijiingiza kwenye ndoa ya mateso. Nkwazi alimjua Aziz. Alikuwa rafiki wa kaka yake aliyemlalamikia kuwa mdogo wake alikuwa…

Read More

Wanawake wa Afghanistan Wageukia Kazi Hatari Mtandaoni Huku Kukiwa na Marufuku ya Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Wanawake wengi wa Afghanistan wamegeukia biashara ya mtandaoni licha ya hatari zake, kwani aina zote za kazi ni marufuku kwa wanawake. Credit: Learning Together. Jumanne, Julai 30, 2024 Inter Press Service Mwandishi ni mwandishi wa habari wa kike anayeishi Afghanistan, aliyefunzwa kwa usaidizi wa Kifini kabla ya Taliban kuchukua mamlaka. Utambulisho wake umefichwa kwa sababu…

Read More