Hizi ndio sababu Kisena wa ‘Udart’ na wenzake kuachiwa huru

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani Tanzania, imebatilisha hukumu na kufuta adhabu waliyopewa, aliyekuwa mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), Robert Kisena na wenzake wawili na kisha kuwaachia huru. Kisena na wenzake, Charles Newe aliyekuwa pia mkurugenzi wa Udart na Tumaini Kulwa aliyekuwa Mtunza Fedha (Cashier), Udart, walipatikana na hatia ya makosa ya Uhujumu…

Read More

Gueye, Oura wamuibua Barker | Mwanaspoti

VIWANGO vya nyota wapya wa Simba, Libasse Guaye na Anicet Alain Oura, ambao wamesajiliwa katika dirisha dogo la Januari 2026, vimeanza kuvutia katika safu ya ushambuliaji ya wekundu wa Msimbazi huku kocha Steve Barker akitaka kuona muendelezo kutoka kwa wachezaji hao. Guaye amefunga…

Read More

Guterres inataka kuimarisha multilateralism katika anwani kwa Shirika la Ushirikiano wa Shanghai – Maswala ya Ulimwenguni

Bloc ya Eurasian, inayojumuisha nchi wanachama 10, ndio shirika kubwa zaidi ulimwenguni na idadi ya watu na jiografia. Bwana Guterres aliwaambia viongozi kwamba “tunaelekea kwenye ulimwengu wa anuwai”, ambayo ni ukweli na fursa. Alisema uchumi unaoibuka ni biashara ya kufanya kazi tena, diplomasia na maendeleo lakini wakati huo huo, ukosefu wa haki na mgawanyiko unaongezeka….

Read More

Nafasi ya watoto katika kukuza uchumi wa familia

Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…

Read More

CHATANDA ATIMIZA AHADI YA NG’OMBE WAWILI KWA MAGEREZA

……….. Na: Mwandishi Wetu, KOROGWE Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (MCC) na Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mary Chatanda, ametimiza ahadi yake ya kutoa ng’ombe wawili wa maziwa kwa Magereza mawili ya wilayani…

Read More

ghasia zinaongezeka huku ujumbe wa Umoja wa Mataifa ukiahidi kuendelea kuungwa mkono – Masuala ya Ulimwenguni

Licha ya hali tete, ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, MONUSCOinasalia kujitolea kutekeleza majukumu yake, huku juhudi za kikanda za kurejesha amani zikiendelea. Vivian van de Perre, Naibu Mwakilishi Maalum wa Ulinzi na Operesheni katika misheni hiyo, alisema kuwa ‘helmeti za bluu’ zingeendeleza shughuli zao zote huko Ituri, kuunga mkono usitishaji mapigano na…

Read More

Nani msuluhishi wa ndoa yako?

Ndoa ni taasisi muhimu katika jamii, na inahitaji juhudi za pande zote mbili ili iendelee kudumu. Ingawa ndoa inaweza kuwa chanzo cha furaha na utulivu, pia inaweza kuwa na changamoto ambazo, ikiwa hazitashughulikiwa kwa uangalifu, zinaweza kusababisha migogoro, machafuko na hata talaka. Katika hali ya migogoro ya ndoa, usuluhishi unakuwa chombo muhimu cha kutatua matatizo…

Read More

WATAALAMU WALIOSOMA JAPAN WACHOCHEA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI

 :::::::: Wataalamu wa Kitanzania waliopata mafunzo nchini Japan wameelezwa kuwa rasilimali muhimu katika kuharakisha maendeleo ya sekta mbalimbali kwa kutumia ujuzi na teknolojia walizojifunza nje ya nchi. Akizungumza katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Rais – Utumishi, Fadhili Mitimingi, amesema ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Japan International…

Read More