Aucho ataja kilichoibeba Yanga msimu huu 2023/2024

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amezungumzia jinsi majeraha yalivyompunguzia kasi ya kupambana msimu huu (2023/24), hata hivyo kilichompa faraja ni timu hiyo kunyakua taji la ubingwa mara tatu mfululizo. Aucho ambaye amechukua ubingwa mara mbili akiwa na Yanga aliyojiunga nayo msimu wa 2021/22 akitokea El Makkasa, alisema kuna kitu kimeongezeka kwenye karia yake, tangu…

Read More

Sanya hatasahaulika kwa mambo haya

Unguja. Aprili 21, mwaka huu Zanzibar ilimpoteza mwanasiasa mkongwe na machachari, Muhammad Ibrahim Sanya, ambaye alifariki dunia wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Lumumba, Unguja. Sanya anatajwa kuwa machachari katika siasa za Zanzibar na alikuwa miongoni mwa wabunge waliopata fursa hiyo mapema mwanzoni mwa siasa za vyama vingi mwaka 1995. Sanya amekuwa mbunge wa…

Read More

Tanzania kumaliza utegemezi wa ngano 2035

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (Copra), imesema hadi ifikikapo mwaka 2035 Tanzania inalenga kuzalisha ngano tani milioni moja kwa mwaka hivyo kupunguza utegemezi wa bidhaa hiyo kutoka nje ya nchi. Kwa sasa asilimia 90 ya ngano inayotumika Tanzania inaagizwa kutoka nje ya nchi huku uzalishaji wa ndani ukiwa ni…

Read More

DC MWANZIVA ASHIRIKI UCHIMBAJI MSINGI UJENZI WA SHULE YA MSINGI NA AWALI NAHUKAHUKA B-MTAMA

Jamii Wilayani Lindi imehamasishwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ikiwemo miradi ya elimu ili kuwezesha miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kuleta manufaa kwa jamii husika. Mkuu wa Wilaya ya hiyo Victoria Mwanziva ametoa hamasa hiyo Disemba 4,2025 aliposhiriki na wananchi wa Kata ya Nahukahuka, Kijiji cha…

Read More

Banda afunguka kuhusu ndoa yake mpya

BAADA ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya  Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa. Staa huyu amethibitisha kuachana na mkewe wa kwanza, Zabibu Kiba ikiwa ni moja ya swali linaloulizwa na mashabiki wengi hususan mitandaoni, baada ya kuona picha za harusi yake…

Read More

Chama Lako limefundishwa na makocha wangapi?

KUNA timu tatu vinara zilizokimbizana kutimua makocha na kuajiri wengine ndani ya msimu huu wa Ligi Kuu Bara, lakini pia zipo tatu zilizokomaa zikionyesha zitamaliza na makocha wanne walewale zilioanza nao. Katika mabadiliko hayo wapo makocha waliolazimika kuondoshwa kufuatia matokeo mabaya ya vikosi vyao, lakini wengine wakiwa na sababu zao binafsi. Wakati Tabora United ikiongoza…

Read More

Rais Samia amteua Katungu bosi mpya wa Magereza

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna wa Magereza, Jeremiah Katungu kuwa Kamishna Jenerali wa Magereza (CGP) na kumteua kuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza. Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatatu, Julai 29, 2024 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka ikieleza kuteuliwa kwa…

Read More

NCAA YAJINOA KUSHIRIKI MICHUANO YA SHIMMUTA 2024 JIJINI TANGA

Na Mwandishi wa NCAA, Tanga. Timu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imewasili mkoani Tanga kushiriki kikamilifu katika Mashindano ya Mashirika ya Umma, Makampuni na Taasisi Binafsi (SHIMMUTA) yanayoanza leo tarehe 10 hadi 24 Novemba 2024, jijini Tanga. Mashindano haya yanajumuisha mashirika mbalimbali nchini yakiwa na lengo la kukuza mshikamano, afya, na ari ya…

Read More