
Ujumbe wa Syria wazuru Saudia, waandamanaji Douma wadai haki โ DW โ 02.01.2025
Ujumbe huo, ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Assaad al-Shibani, Waziri wa Ulinzi Murhaf Abu Qasra, na Mkuu wa Huduma za Kijeshi za Ujasusi Anas Khattab, ulipokelewa Riyadh na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, Waleed bin Abdulkarim El-Khereiji. Shibani alieleza matumaini ya kufufua mahusiano na Saudi Arabia, akisema, “Kupitia ziara…