Hizi ndio sababu Kisena wa ‘Udart’ na wenzake kuachiwa huru
Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani Tanzania, imebatilisha hukumu na kufuta adhabu waliyopewa, aliyekuwa mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), Robert Kisena na wenzake wawili na kisha kuwaachia huru. Kisena na wenzake, Charles Newe aliyekuwa pia mkurugenzi wa Udart na Tumaini Kulwa aliyekuwa Mtunza Fedha (Cashier), Udart, walipatikana na hatia ya makosa ya Uhujumu…