Upendo aliyeachwa na mtoto wa siku tisa, sasa anamiliki nyumba za kupangisha
Iringa. Katika Kijiji cha Ibangamoyo, Kata ya Ulanda, Tarafa ya Kalenga mkoani Iringa, anaishi Upendo Nyanginywa, mama wa watoto watatu. Hadithi ya Upendo inaanza katika kipindi kigumu cha maisha yake, baada ya kuingia katika ndoa. Upendo anasema mambo yalibadilika ghafla, akajikuta akiachwa na mwenza wake wakati tayari alikuwa na mtoto mchanga wa siku tisa tu….