Wazee wajitosa kuliponya Taifa, Butiku asema…

Dar es Salaam. Baada ya hatua zilizochukuliwa na makundi mbalimbali za kuliponya Taifa kutokana na maandamano na vurugu za Oktoba 29 mwaka jana, hatimaye wazee nao wamejitosa kuusaka mwafaka huo wa kitaifa. Wazee wanakuja na uamuzi huo, wakati ambao tayari Rais Samia Suluhu Hassan ameshaunda tume kuchunguza matukio hayo, ikipewa miezi mitatu kuifanya kazi hiyo,…

Read More

Rais Samia aomboleza kifo cha mwasisi wa Chadema

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi baada ya kifo cha mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei (94). Mtei aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2026 jijini Arusha, akiwa na umri wa miaka…

Read More

Pamba Jiji yang’oa kitasa Mbeya City

UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Mbeya City, Gabriel Mwaipola ambaye anaenda kuziba pengo la Abdallah Kheri ‘Sebo’ aliyetimkia Singida Black Stars. Pamba Jiji imekamilisha usajili wa beki huyo akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu hiyo ya jijini Mbeya iliyorejea Ligi Kuu Bara msimu huu, ikizipiku Dodoma…

Read More

Edwin Mtei: Nguzo ya uchumi wa Taifa

Edwin Isaac Mbiliewi Mtei, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94 katika shamba lake jijini Arusha, alikuwa miongoni mwa watumishi wa umma waliotukuka zaidi katika historia ya Tanzania, na mmoja wa wabunifu wakuu wa misingi ya mfumo wa kifedha wa Taifa letu. Amefariki usiku wa kuamkia leo Jumanne, Januari 20, 2026. Safari yake ya…

Read More

Edo wa Simba kuibukia Stand United

NYOTA wa zamani wa Simba, Edward ‘Edo’ Christopher yupo hatua ya mwisho kabla ya kurejea tena uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akihusishwa na Stand United maarufu ‘Chama la Wana’, inayoshiriki Ligi ya Championship. Nyota huyo aliyewahi kuzichezea pia timu za Kagera Sugar, Ruvu Shooting na Coastal Union, alikuwa anazicheza timu za mtaani…

Read More

Pale nyuma Yanga kuna jambo zito

KIKOSI cha Yanga jana jioni kilikuwa uwanjani kumalizana na Mashujaa kabla ya kuanza safari ya kwenda Misri kuvaana na Al Ahly ya Misri katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayopigwa Ijumaa wiki hii, jijini Alexandrea kabla ya kurudiana nao Januari 30, 2026 visiwani Zanzibar. …

Read More

Mambo magumu Simba, kocha agusia mawili

KOCHA wa Simba, Steve Barker amekiri wazi kuwa na kibarua kigumu cha kufanya kutokana na kiwango cha timu hiyo, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam, huku akigusia mambo mawili ambayo ni kuboresha…

Read More

Tepsi atua JKT Tanzania | Mwanaspoti

WINGA wa Azam FC, Tepsi Evance ametua JKT Tanzania kwa mkopo wa miezi sita akiungana na aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Sospeter Bajana ambaye alitua kikosini hapo mwanzoni mwa msimu huu. Tepsi ambaye alirudi Azam FC mwanzoni mwa msimu huu akitokea KMC ambayo alikuwa anaichezea kwa mkopo, amehudumu Azam FC kwa miezi sita na kutolewa…

Read More

Odds Moto za Mpira wa Miguu Zinakungoja Leo

MERIDIANBET inakwambia kuwa Odds za moto zinakungoja leo hii kwani mechi kali zinatarajiwa kupigwa siku ya leo. Unachotakiwa kufanya ni kusuka jamvi lako la ushindi na ujiweke kwenye nafasi nzuri. EPL kuna mechi moja kali ambapo Brighton atamenyana dhidi ya AFC Bournemouth ambapo wapo nafasi ya 15 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 11. Mara…

Read More