Mauaji ya mwanaharakati wa Trump kuzua mpasuko mpya wa kisiasa Marekani

Washington. Rais Donald Trump ameagiza bendera ya taifa kupeperushwa nusu mlingoti, huku akitoa ujumbe mzito wa maombolezo kufuatia mauaji ya mwanaharakati na mshirika wake wa karibu, Charlie Kirk, yaliyotokea katika chuo kikuu huko Utah. Trump kupitia video fupi ya dakika nne aliyoichapisha kwenye akaunti yake ya Truth Social amelaani kitendo hicho kwa kusema; “kuwafanya wapinzani…

Read More

Samia aahidi neema kwa wakulima wa tumbaku

Uyui. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa tumbaku mkoani Tabora kulipwa madai yao ya fedha na kwamba Serikali iko kwenye mazungumzo na kampuni mbili zinazodaiwa. Samia amebainisha hayo leo Septemba 11, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Wilaya ya Uyui,…

Read More

Upelelezi kuporomoka jengo Kariakoo wakamamilika

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, umekamilika. Kwa sasa upande wa Jamhuri upo katika hatua ya kuchapa nyaraka muhimu zilizopo katika jalada hilo ili washtakiwa hao wasomewa Maelezo ya mashahidi na vielelezo, kisha kesi hiyo…

Read More

Uagizaji plastiki wapaa, wadau wataja njia mbadala

Dar es Salaam. Wakati uingizaji wa bidhaa za plastiki kutoka nje ya nchi ukiongezeka kwa asilimia 25.9, wadau wamependekeza matumizi ya vifungashio vya kioo au udongo katika bidhaa zinazotumia plastiki. Hiyo ni kwa sababu wanunuzi watalazimika kurudisha chupa ya zamani ili kupata bidhaa mpya tofauti na sasa wanapotupa hovyo chupa za plastiki baada ya kumaliza…

Read More

Kilombero Sugar Yaadhimisha Miaka 23 ya Kutoa Mafunzo Kwa Viongozi kupitia Mkutano wa Programu ya MIT 2025

KAMPUNI ya Sukari Kilombero imefanya Mkutano wa programu ya Managers in Training (MIT) 2025, kusherehekea miaka 23 tangu kuanzishwa kwa Programu hii ambao ni mahususi kwa ajili ya kulea na kutoa mafunzo kwa viongozi na wataalamu mbalimbali kwenye sekta ya sukari pamoja na Sekta nyingine nchini Tanzania. Kwenye mkutano huo ambao ulihudhuriwa na viongozi wa…

Read More

Mpina aibwaga INEC, arejeshwa kwenye mchakato wa urais

Dodoma. Mahakama Kuu Masijala Kuu-Dodoma, imemrejesha kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mgombea wa chama cha ACT-Wazalendo Luhaga Mpina. Kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Abdi Kagomba, Evaristo Longopa na John Kahyoza.Katika hukumu yao, majaji wamesema Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ni huru na haikupaswa kusikiliza…

Read More