Wazee wajitosa kuliponya Taifa, Butiku asema…
Dar es Salaam. Baada ya hatua zilizochukuliwa na makundi mbalimbali za kuliponya Taifa kutokana na maandamano na vurugu za Oktoba 29 mwaka jana, hatimaye wazee nao wamejitosa kuusaka mwafaka huo wa kitaifa. Wazee wanakuja na uamuzi huo, wakati ambao tayari Rais Samia Suluhu Hassan ameshaunda tume kuchunguza matukio hayo, ikipewa miezi mitatu kuifanya kazi hiyo,…