Lango la Mamire kuchochea utalii Tarangire

Tarangire. Kukamilika kwa ujenzi wa lango la Mamire la kuingilia katika Hifadhi ya Taifa Tarangire unatarajiwa kurahisisha watalii kuingia hifadhini kupitia Wilaya ya Babati, hatua inayolenga kupanua wigo wa ufikiwaji wa hifadhi hiyo na kuchochea utalii. Akizungumza jana Alhamisi Machi 12, 2026 wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo, Mwenyekiti wa Kamati ya…

Read More

Ndege ya Kujaza Mafuta ya Marekani Yaanguka Magharibi mwa Iraq

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Jeshi la Marekani limethibitisha kuwa ndege yake ya kijeshi imeanguka nchini Iraq. Kwa mujibu wa taarifa ya U.S. Central Command, ndege ya kujaza mafuta angani aina ya Boeing KC-135 Stratotanker ilianguka baada ya kutokea tukio lililohusisha ndege mbili angani. Jeshi hilo limesema tukio hilo halihusiani na mashambulizi ya…

Read More

Haji Manara Azungumzia Mchango wa Ssebo Kwenye Tasnia ya Habari ‘Tumepoteza Mtu Muhimu’ – Video

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Diwani wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, amezungumzia kuhusu marehemu Denis Busulwa almaarufu Ssebo, akimwelezea kama mtu aliyekuwa na moyo mkubwa wa kusaidia watu na aliyependa kuwa karibu na jamii enzi za uhai wake. Manara amesema Ssebo alikuwa mtu mwenye upendo na mshikamano mkubwa, ambaye alijenga urafiki na…

Read More

Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja

Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya biashara mpya hufa ndani ya miaka miwili ya kwanza. Swali muhimu ni: Kwa nini watu wengi wanaanguka hata baada ya kuanzisha biashara waliyoamini inaweza kuwapa mafanikio? Makala hii inachambua chanzo cha changamoto hizo—ikiungwa…

Read More

Fahamu Maajabu ya Toyota Prius na Namna Inavyotumia Teknolojia ya Umeme (EV Mode) – Video

Toyota Prius imekuwa mfano wa ubunifu katika sekta ya magari duniani kutokana na mfumo wake wa Hybrid Synergy Drive, unaounganisha injini ya petrol na motor ya umeme. Gari hili limejulikana kwa kutumia mafuta kidogo, utulivu barabarani, na teknolojia rafiki kwa mazingira, jambo ambalo limeifanya kuwa chaguo la kwanza kwa watu wanaotaka usafiri wa kisasa, salama,…

Read More

Pedro afichua mkakati mpya Yanga

PIGO kubwa ililopata Yanga pale kwenye safu ya ulinzi kutokana na beki na nahodha msaidizi, Dickson Job kuumia, limeendelea kuwa gumzo na kuibua wasiwasi, sio ndani ya timu pekee, bali hata kwa mashabiki wakijiuliza sasa itakuwaje bila  uwepo wake. Job ambaye amefanyiwa upasuaji wa goti huku taarifa zikibainisha kwamba hadi kufikia Juni 2026 anaweza kurudi…

Read More