Mzee wa Hawaiian wa asili anasema juu ya mifumo ya usimamizi wa bahari asilia – maswala ya ulimwengu

Solomon Pili Kaaho’ohalahala anashiriki mitazamo na IPS. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Busan, Korea) Jumatano, Aprili 30, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Busan, Korea, Aprili 30 (IPS) – Watu asilia huchukua jukumu muhimu katika ulinzi wa bahari kwa sababu ya uhusiano wao wa kina kwa mazingira ya baharini na ufahamu wao wa jadi…

Read More

Upanga, Pak Stars tishio Kombe la TCA

MAMBO ni mazuri kwa timu za Upanga, Pak Stars na Caravans baada ya kuibuka wababe mechi za kriketi kuwania Kombe la TCA jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Zilikuwa ni mechi za mizunguko 50 ambazo zilichezwa kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na Leaders Club na hivyo kuwapa burudani wapenzi wa mchezo wa kriketi. Mechi…

Read More

Sababu wanafunzi kusahau wanayofunza darasani

Ajabu ya kumbukumbuku ni kuwa tunasahau tunayotaka kukumbuka na tunakumbuka tunayotaka kusahau. Kusahau ni sehemu ya maumbile ya binadamu; inabidi mtu asahau ili taarifa zingine zihifadhike.  Usahaulifu ninaozungumzia ni ule wa mtu kutaka kukumbuka halafu anasahau na hasa wanafunzi wanapokuwa wanajiandaa na mitihani au wakiwa ndani ya chumba cha mitihani. Sababu zinazowafanya wanafunzi wasahau ni…

Read More

Makatta ajitwisha zigo la Polisi Tanzania

MABOSI wa Polisi Tanzania wamempa mkataba wa miaka miwili, Mbwana Makatta, baada ya kocha huyo kutokuwa na timu tangu mara ya mwisho alipoachana na Tanzania Prisons Desemba 28, 2024, kutokana na mwenendo mbaya katika Ligi Kuu Bara. Makatta aliyewahi kuinoa Polisi Tanzania, alitambulishwa Julai 9, 2025, Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa klabu hiyo,  Kamishna wa…

Read More

Hekaya za Mlevi: Barabara zifuate kasi ya magari

Dar es Salaam. Maendeleo ni kutoka kwenye sehemu moja kwenda nyingine iliyo bora zaidi. Ili utoke kwenye sehemu ya mwanzo, ni lazima upate msukumo au haja ya kufanya hivyo. Kwa mfano ulikuwa ukilala kwenye kachumba kamoja peke yako. Ukaona haja ya kuwa na mwenza, ukampata na mkajaaliwa watoto. Kale kachumba hakatakutosha tena, hivyo itakubidi uongeze…

Read More

Wanafunzi Serengeti walilia mabweni | Mwananchi

Serengeti. Baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari wilayani Serengeti wameiomba Serikali na jamii kuwaondolea vikwazo vinavyosababisha washindwe kutimiza malengo yao hasa ya kielimu, ikiwemo ukosefu wa mabweni katika shule za Serikali. Wanafunzi hao wamesema licha ya Serikali kujitahidi kuboresha mazingira ya elimu bado wamekuwa wakikumbana na changamoto mbalimbali ikiwepo kutembea umbali mrefu…

Read More

Samia akutana na mabalozi, azungumzia mafanikio 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema mwaka 2025 Tanzania itaendelea kuimarisha ushirikiano na uhusiano wa kimataifa, ikiwa ni pamoja na kutengeneza mazingira yatakayohamasisha biashara na uwekezaji. Amesema hayo leo Januari 14, 2025 Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kusherehekea Mwaka Mpya iliyowakutanisha mabalozi wa mataifa mbalimbali waliopo nchini. Akitoa tathmini…

Read More