Tchakei aibeba Singida kwa Prisons Ligi Kuu

Bao la kichwa la dakika ya 50 lililofungwa na kiungo mshambuliaji Marouf Tchakei limetosha kuihakikishia Ihefu SC ushindi muhimu ugenini dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Tchakei amefunga bao hilo akitumia krosi ndefu ya kiungo mwenzake, Duke Abuya  likiwa bao lake la kwanza tangu arejee akitokea katika majeruhi. Matokeo hayo ya…

Read More

Ni Devotha Minja Kanda ya Kati, Welwel Kaskazini Chadema

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekamilisha chaguzi za Kanda za Kaskazini na Kati na kupata viongozi wapya watakaoongoza kanda hizo kwa miaka mitano ijayo. Katika uchaguzi uliofanyika Sanawari, Arusha, Desemba 19, 2024, Samwel Welwel alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, akipata kura 51 dhidi ya Michael Kilawila aliyepata kura 48….

Read More

Ibenge akataa unyonge kwa Wydad, ataja mambo mawili

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema wakati wanakutana na Wydad Athletic kesho Ijuma Novemba 28, 2025, matokeo pekee wanayoyataka ni kushinda au sare, lakini sio kupoteza. Kauli hiyo inaonyesha namna ambavyo Ibenge hataki kuingia kinyonge kukabiliana na Wamorocco hao walioanza hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu kwa ushindi wa mabao…

Read More

Simulizi mgombea ubunge alivyouawa Siha

Siha. Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi, ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa kumjeruhi kwa kisu mwenzake, Abdul Mohamed, wakati akiamua ugomvi wa kudaiana fedha. Kufuatia tukio hilo, familia ya marehemu imesema imepokea kwa masikitiko taarifa za kuuawa kwa ndugu yao na imeiomba Serikali kuingilia kati…

Read More