
HOMA YA NYANI (MPOX) MJADALA WA DHARURA KWA MAWAZIRI WA AFYA AFRIKA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Mawaziri wa Afya wa nchi za Afrika wanatarajiwa kukutana kwa dharura kabla ya mwisho wa mwezi Agosti kujadiliana, kupitisha mikakati pamoja na kuchukua hatua za haraka za kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox) barani Afrika. Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya…