Msukuma afichua kilichomuondoa Bulaya CCM

Bunda. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku, maarufu Msukuma amesema majungu ndani ya chama hicho ndiyo yaliyosababisha mgombea ubunge Bunda Mjini, Ester Bulaya kuhamia upinzani. Msukuma ameyasema hayo mjini Bunda leo Jumamosi Septemba 13, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi za chama hicho jimboni humo, huku akiwataka wakazi wa jimbo hilo kukipigia…

Read More

Tanzania na Algeria kushirikiana katika upatikanaji wa dawa salama, bora na fanisi.

Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi  katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria  alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya Tanzania uluoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dkr. Adam Fimbo pamoja na Balozi wa Tanzania…

Read More

Serikali yatoa kauli  mradi wa Liganga, Mchuchuma

Dar es Salaam. Baada ya changamoto zilizodumu kwa muda mrefu, Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo kuhusu mradi wa chuma wa Liganga na makaa ya mawe wa Mchuchuma yamefikia hatua ya uamuzi, huku hoja zilizokuwa zikisababisha ucheleweshaji kama mgawanyo usio sawa wa hisa na masharti ya mikataba yaliyowapendelea zaidi wawekezaji wa kigeni zikishughulikiwa. Akizungumza leo Jumatano,…

Read More

Mgombea urais UDP aahidi majisafi, elimu bure hadi chuo kikuu

Geita. Mgombea urais wa Chama cha United Democratic Party (UDP),  Saumu Rashid amesema chama chake kimejipanga kutatua changamoto kubwa zinazowakabili Watanzania kwa kuhakikisha upatikanaji wa majisafi na salama, elimu bure hadi chuo kikuu, huduma za afya nafuu na uwekezaji wenye tija katika rasilimali za Taifa. Akizungumza leo Septemba 10, 2025 kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika…

Read More

‘Mfumo wa Kisiasa Husogea Pekee Unapotishiwa Moja kwa Moja’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatatu, Machi 23, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili uchaguzi ujao wa Nepal na mwanaharakati wa vijana Anusha Khanal wa Gen Z Movement Alliance, muungano wa mashirika ya kiraia unaoongozwa na vijana unaohamasisha uwajibikaji wa kidemokrasia na mageuzi ya utawala nchini Nepal. Anusha Khanal Kufuatia kujiuzulu kwa Waziri Mkuu KP Sharma Oli kutokana…

Read More