Msukuma afichua kilichomuondoa Bulaya CCM
Bunda. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku, maarufu Msukuma amesema majungu ndani ya chama hicho ndiyo yaliyosababisha mgombea ubunge Bunda Mjini, Ester Bulaya kuhamia upinzani. Msukuma ameyasema hayo mjini Bunda leo Jumamosi Septemba 13, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi za chama hicho jimboni humo, huku akiwataka wakazi wa jimbo hilo kukipigia…