Upelelezi kuporomoka jengo Kariakoo wakamamilika

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, umekamilika. Kwa sasa upande wa Jamhuri upo katika hatua ya kuchapa nyaraka muhimu zilizopo katika jalada hilo ili washtakiwa hao wasomewa Maelezo ya mashahidi na vielelezo, kisha kesi hiyo…

Read More

Uagizaji plastiki wapaa, wadau wataja njia mbadala

Dar es Salaam. Wakati uingizaji wa bidhaa za plastiki kutoka nje ya nchi ukiongezeka kwa asilimia 25.9, wadau wamependekeza matumizi ya vifungashio vya kioo au udongo katika bidhaa zinazotumia plastiki. Hiyo ni kwa sababu wanunuzi watalazimika kurudisha chupa ya zamani ili kupata bidhaa mpya tofauti na sasa wanapotupa hovyo chupa za plastiki baada ya kumaliza…

Read More

Kilombero Sugar Yaadhimisha Miaka 23 ya Kutoa Mafunzo Kwa Viongozi kupitia Mkutano wa Programu ya MIT 2025

KAMPUNI ya Sukari Kilombero imefanya Mkutano wa programu ya Managers in Training (MIT) 2025, kusherehekea miaka 23 tangu kuanzishwa kwa Programu hii ambao ni mahususi kwa ajili ya kulea na kutoa mafunzo kwa viongozi na wataalamu mbalimbali kwenye sekta ya sukari pamoja na Sekta nyingine nchini Tanzania. Kwenye mkutano huo ambao ulihudhuriwa na viongozi wa…

Read More

Mpina aibwaga INEC, arejeshwa kwenye mchakato wa urais

Dodoma. Mahakama Kuu Masijala Kuu-Dodoma, imemrejesha kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mgombea wa chama cha ACT-Wazalendo Luhaga Mpina. Kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa na jopo la majaji watatu, Abdi Kagomba, Evaristo Longopa na John Kahyoza.Katika hukumu yao, majaji wamesema Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ni huru na haikupaswa kusikiliza…

Read More

Wakazi vijiji vya Mto Mara kupewa mafunzo

Musoma. Wakazi wa vijiji 136 vinavyozunguka bonde la Mto Mara katika wilaya sita mkoani humo,  wanatarajiwa kupata mafunzo kuhusu uhifadhi endelevu wa bonde hilo hatua ambayo inalenga kupunguza shughuli za binadamu zinazofanywa katika bonde la mto huo zinazohatarisha uhai wake. Mbali na elimu pia zaidi ya miti 8,000 inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbalimbali yanayozunguka bonde hilo…

Read More

Wasichana wataka kushiriki utekelezaji wa dira 2050

Dar es Salaam. Licha ya hatua mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kunakuwa na usawa kwa watoto wa jinsia zote, bado kuna ombwe la ujuzi wa ujasiriamali na stadi za maisha kwa wasichana , jambo linalozuia kundi hilo kufikia uhuru wa kiuchumi. Hayo yameelezwa na wasichana wakati wa uzinduzi wa jukwaa la Ajenda ya Msichana 2025 linalolenga…

Read More