Ulimwengu Mpya Wa Sloti Wafunguliwa Meridianbet

MERIDIANBET imeendelea kuthibitisha kwa nini ni kinara wa burudani za ubashiri nchini, safari hii kwa kufungua ukurasa mpya kabisa kwa mashabiki wa kasino mtandaoni. Kupitia ushirikiano mpya, Meridianbet sasa imeikaribisha Slotopia, jukwaa jipya la sloti linaloleta ladha tofauti ya burudani na ubunifu wa kisasa, unaomfanya mchezaji ajisikie kama yupo ndani ya kasino halisi. Slotopia si…

Read More

Mwasisi wa Chadema afariki dunia

Arusha. Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, na aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amefariki dunia. Mzee Mtei (94) ambaye alikuwa Gavana wa BoT kuanzia 1966 na miaka 12 baadaye akaja kuwa Waziri wa Fedha na Mipango amefariki usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2026. Ameitumikia nafasi…

Read More

Mzee Mtei afariki dunia akiwa na miaka 94

Arusha. Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, na aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amefariki dunia. Mzee Mtei (94) ambaye alikuwa Gavana wa BoT kuanzia 1966 na miaka 12 baadaye akaja kuwa Waziri wa Fedha na Mipango amefariki usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2026. Ameitumikia nafasi…

Read More

BALOZI OMAR AISHAURI EADB KUCHOCHEA ZAIDI UKUAJI WA MAENDELEO KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

Na. Farida Ramadhani na Silya Kombe, WF, DodomaWaziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar ameishauri Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kuongeza ubunifu katika kushirikiana na Serikali pamoja na Sekta binafsi ili kuchangia katika maendeleo ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ametoa ushauri huo jijini Dodoma alipokutana na kuzungumza na uongozi wa…

Read More

DIWANI MAPUNG’O AWABANA WASIMAMIZI WA MIRADI JIMBO LA MUSUKUMA

Diwani wa kata ya Butobela Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe Pascal Mapung’o amewataka wasimamizi wa miradi ya maendeleo jimboni Geita kuzingatia maelekezo ya utekelezaji wa miradi yanayotolewa na Halmashauri. Mhe Mapung’o ameyasema hayo katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo iliyofanyika Januari 19,2026 katika jimbo la Geita ambalo Mbunge wake ni Mhe Joseph Musukuma….

Read More