Ulimwengu Mpya Wa Sloti Wafunguliwa Meridianbet
MERIDIANBET imeendelea kuthibitisha kwa nini ni kinara wa burudani za ubashiri nchini, safari hii kwa kufungua ukurasa mpya kabisa kwa mashabiki wa kasino mtandaoni. Kupitia ushirikiano mpya, Meridianbet sasa imeikaribisha Slotopia, jukwaa jipya la sloti linaloleta ladha tofauti ya burudani na ubunifu wa kisasa, unaomfanya mchezaji ajisikie kama yupo ndani ya kasino halisi. Slotopia si…
WAZIRI MAKONDA AKABIDHI BARUA YA RAIS DKT. SAMIA KWA RAIS WA CAF
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pamoja na kukabidhi barua hiyo Mheshimiwa Makonda aliyeongozana na Katibu…
Mitazamo ya Kiuchumi Inazuia Sera za Kiutendaji – Masuala ya Ulimwenguni
Maoni by Jomo Kwame Sundaram (kuala lumpur, Malaysia) Jumatatu, Januari 19, 2026 Inter Press Service KUALA LUMPUR, Malaysia, Januari 19 (IPS) – Baada ya kulaani majibu ya kiutendaji kwa migogoro ya kifedha ya Asia ya 1997-98, nchi za Magharibi zilifuata sera kama hizo katika kukabiliana na msukosuko wa fedha duniani wa 2008 bila kukiri makosa…
Mwasisi wa Chadema afariki dunia
Arusha. Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, na aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amefariki dunia. Mzee Mtei (94) ambaye alikuwa Gavana wa BoT kuanzia 1966 na miaka 12 baadaye akaja kuwa Waziri wa Fedha na Mipango amefariki usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2026. Ameitumikia nafasi…
Mzee Mtei afariki dunia akiwa na miaka 94
Arusha. Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, na aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amefariki dunia. Mzee Mtei (94) ambaye alikuwa Gavana wa BoT kuanzia 1966 na miaka 12 baadaye akaja kuwa Waziri wa Fedha na Mipango amefariki usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2026. Ameitumikia nafasi…
BALOZI OMAR AISHAURI EADB KUCHOCHEA ZAIDI UKUAJI WA MAENDELEO KANDA YA AFRIKA MASHARIKI
Na. Farida Ramadhani na Silya Kombe, WF, DodomaWaziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar ameishauri Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kuongeza ubunifu katika kushirikiana na Serikali pamoja na Sekta binafsi ili kuchangia katika maendeleo ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ametoa ushauri huo jijini Dodoma alipokutana na kuzungumza na uongozi wa…
DIWANI MAPUNG’O AWABANA WASIMAMIZI WA MIRADI JIMBO LA MUSUKUMA
Diwani wa kata ya Butobela Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe Pascal Mapung’o amewataka wasimamizi wa miradi ya maendeleo jimboni Geita kuzingatia maelekezo ya utekelezaji wa miradi yanayotolewa na Halmashauri. Mhe Mapung’o ameyasema hayo katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo iliyofanyika Januari 19,2026 katika jimbo la Geita ambalo Mbunge wake ni Mhe Joseph Musukuma….
Chukua hatua hizi unapokuta mwili wa binadamu barabarani, kichakani
Dar es Salaam. Fikiria unaamka asubuhi kuelekea kwenye shughuli zako, ghafla anakutana na mwili wa mtu aliyelala kando ya barabara au kichakani, hofu, taharuki na maswali huanza je, mtu huyu amekufa, nimsaidie, nimpe taarifa nani? au nikimbie?. Hayo ni miongoni mwa maswali na sitofahamu za baadhi ya wananchi katika hoja ya swali kwamba, utafanya nini,…
Ulaya Yakataa Vitisho vya Ushuru wa Trump Kuhusu Greenland
Ulaya Yakataa Vitisho vya Ushuru wa Trump Kuhusu Greenland – Global Publishers Home Habari Ulaya Yakataa Vitisho vya Ushuru wa Trump Kuhusu Greenland