Pata ODDS Zote za Simba Ndani ya Meridianbet

Meridianbet inakwambia kuwa unaweza ukabashiri mechi zote za Simba ambapo ODDS zao ni kubwa lakini pia mechi hiyo inakuwa na machaguo unayoyapenda. Jisajili na ubashiri sasa. Kwenye ligi kuu ya Tanzania yaani (NBC Premier League), Simba imekuwa ikikumbwa na mwenendo usio thabiti wa matokeo. Kumekuwa na vipindi vya ushindi vinavyofuatwa na matokeo yasiyoridhisha, hali iliyosababisha…

Read More

Wanandoa wauawa kikatili, miili yachomwa moto

Mbeya. Wanandoa wanaodaiwa kuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameuawa katika Kijiji cha Chafuma, wilayani Momba. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi Agosti 23, 2025 tukio la mauaji lilitokea Kata ya Kapele iliyo Tarafa ya Ndalambo, juzi Agosti 22, saa nane mchana. Taarifa hiyo iliyotolewa na Kamanda…

Read More

Suala la ulezi wa pamoja baada ya talaka

Katika dunia ya sasa talaka haimaanishi tena mgawanyiko usiokwepeka hasa linapokuja suala la malezi. Kimsingi, mbali ya talaka,  wazazi waliotalakiana wanapaswa kukumbatia mtazamo wa kisasa wa kushirikiana katika kulea watoto wao, hata  kama wanaishi tofauti. Kwa miaka mingi, talaka ilihusishwa na ratiba ngumu za ulezi, mapambano ya kisheria, na mawasiliano ya migogoro. Lakini sasa, familia…

Read More

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi sana. Licha ya ute wake, mlenda una faida kubwa kiafya na unashauriwa kuingizwa mara kwa mara kwenye mlo. Hizi hapa ni baadhi ya faida zake muhimu: 1. Huboresha…

Read More

Serikali yaimarisha huduma kwa wenye ulemavu: watendaji wajengewa uwezo matumizi ya mfumo wa PD-MIS Ruvuma

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma  Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili wa hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi nchini, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetoa onyo kwa watakaoshindwa kutimiza takwa hilo kwa wakati. Kupitia mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Machi 26, 2026, Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More

Wauza video za tamthilia, filamu walia na tozo, Serikali yaingilia kati

Mbeya. Wasambazaji na wauzaji wa movies, Muziki na Filamu jijini Mbeya wamelalamikia baadhi ya mawakala wanaopita kukusanya fedha kinyume na utaratibu, wakiomba serikali kuingilia kati ili kunusuru vibarua na usalama wao katika shughuli zao. Imeleezwa kuwa mawakala hao hujitambulisha kutoka Umoja wa wasambazaji Movies ‘Films Distributers’, ambapo hupita kila kibanda kukusanya Sh10,000 kwa kila wiki,…

Read More