Picha za utupu WhatsApp zilivyosababisha mauaji

Moshi. Mahakama ya Rufani Tanzania, imemfutia adhabu ya kifo, Frank Ezbon, aliyemuua mpenzi wake, Jesca Lucas baada ya kukuta picha za utupu kwenye WhatsApp akiwa na mwanamume mwingine, badala yake imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela. Tukio la mauaji ya Jesca, lilitokea Julai 2020 katika nyumba ya kulala wageni ya Paradise Lodge iliyopo Mji wa…

Read More

Baleke, Boka washusha presha… Sasa mambo freshi

SIKU moja kabla ya kufanyika kwa Kilele cha Wiki ya Mwananchi, nyota wawili wapya wa timu hiyo, beki Chadrack Boka na straika Jean Baleke wameshusha presha ya mabosi na mashabiki baada ya sasa kuwa na uhakika wa kutumika ndani ya kikosi hicho cha Jangwani. Awali ilikuwa ikielezwa huenda Yanga isingewatumia wachezaji hao katika mechi za…

Read More

Wakulima wa miwa Kilombero wang’atwa sikio

Morogoro. Vyama vya Wakulima wa Miwa (Amcos) katika Bonde la Kilombero vimetakiwa kuongeza uzalishaji wa miwa kutoka tani 20 kwa heka hadi tani 60 kwa heka ili kufanikisha upanuzi wa kiwanda cha sukari cha Kilombero. Wito huu umetolewa na Mrajisi Msaidizi wa Mkoa wa Morogoro, Kenneth Shemdoe, katika warsha iliyofanyika leo Alhamaisi Juni 13, 2024….

Read More

Takukuru yazuia malipo ya makaburi hewa 123 Musoma

Musoma. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara imefanikiwa kudhibiti malipo hewa ya zaidi ya Sh70.2 milioni zikiwemo Sh49.2 milioni zilizotakiwa kulipa fidia ya makaburi hewa katika Kata ya Nyatwali wilayani Bunda. Makaburi hayo ni sehemu ya malipo ya fidia ya zaidi ya Sh59 bilioni zilizotolewa na Serikali kwa wakazi wa Nyatwali…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA SIKUKUU YA PASAKA

……………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wazazi hususani wakinamama kuwaongoza watoto wao hasa vijana kuacha tabia ya kushabikia vurugu wakati wa kampeni na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Makamu wa Rais ametoa rai hiyo mara baada ya kushiriki Ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika…

Read More

Huyu anamkaba Gomez Wydad AC

WIKI iliyopita Singida Black Stars iliripoti kuwa imemuuza mshambuliaji wake Mtanzania Selemani Mwalimu ‘Gomez’ kwenda Wydad AC ya Morocco. Kwenye eneo la ushambuliaji, Gomez atakutana na upinzani kutoka kwa Mohamed Rayhi, raia wa Uholanzi ambaye ni chaguo la kwanza la kocha Rulani Mokwena. Rayhi ndiye kinara wa ufungaji kwenye ligi hiyo maarufu kama Botola Pro…

Read More

Baada ya Simba, Mussa ataka heshima Mashujaa

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Mohamed Mussa anayekipiga kwa sasa Mashujaa, amesema akili yake ni kusaka heshima katika Ligi Kuu Bara na kwamba anaona msimu huu anarudi na moto. Akiwa Simba iliyomsajili Januari 2023 kutoka Malindi ya Zanzibar, mchezaji huyo alikiwasha mechi moja tu ya FA dhidi ya Coastal Union aliyoshangilia hadi kuvua tisheti, ambapo…

Read More

BALOZI NCHIMBI AFUNGA KONGAMANO LA WAFUGAJI

Matukio mbalimbali katika picha, yakionesha kongamano la wafugaji lililofanyika mkoani Simiyu, Wilaya ya Bariadi, katika viwanja vya Nyakabindi, ambapo mgeni rasmi, aliyelifunga leo Jumapili, tarehe 15 June 2025, alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi.

Read More