Winifrida Charles arejea Fountain Gate baada ya kupona

BAADA ya kukaa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha ya goti, hatimaye kiungo mshambuliaji wa Fountain Gate Princess, Winifrida Charles, amerejea akicheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Boni Consilli Girls ya Uganda. Kiungo huyo alipata majeraha ya goti yaliyomuweka nje ya uwanja kwa takribani msimu mmoja na nusu. Winifrida alionyesha kiwango bora kwenye mashindano…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Tujifunze ya uchaguzi mkuu kwa Botswana

Hivi karibuni Botswana, inayosifika kwa ufanisi kiuchumi na ubora na ugwiji katika demokrasia na utawala bora, kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru mwaka 1966, imekibwaga chama kilicholeta uhuru na kuchagua upingaji baada ya kukichoka kilicholewa maulaji hadi kikajisahau kisijue kinaweza kusahaulika kama wenzake kule Kenya, Malawi na Zambia. Kwanza, nikiri. Nilitamani nasi tujifunze kitu…

Read More

Wasanii watakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Wasanii wametakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza yakiwemo ya moyo katika jamii inayowazunguka. Rai hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika…

Read More

Robo ya nne yaikosesha ushindi UDSM

UZEMBE wa wachezaji wa UDSM Outsiders kwa kufanya madhambi katika robo ya nne ulichangia timu hiyo kupoteza mchezo dhidi ya Savio kwa pointi 69-65. Mchezo huo wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam, uliofanyika katika Uwanja wa Donbosco, Upanga, wachezaji Mwalimu Heri na Tryone Edward walifanya madhambi mara nne, jambo lililowafanya wacheze kwa woga wakihofia…

Read More

Mwabukusi kupinga kortini kuenguliwa uchaguzi TLS

Dar es Salaam. Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani. Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua. Hata hivyo, Katibu wa Kamati ya…

Read More

Ngorongoro ina dakika 90 za uamuzi AFCON-U20

BAADA ya timu ya taifa ya vijana, Ngorongoro Heroes kupoteza mechi mbili za awali za Kundi A katika vita ya kuwania ubingwa wa Afrika (AFCON-U20), kwa sasa timu hiuo ina dakika 90 za kufufua tumaini la kuvuka hatua hiyo kwenda hatua inayofuata kusaka tiketi ya fainali za Kombe la Dunia 2025. Ngorongoro imesaliwa na mechi…

Read More