Nassoro Hamdani afariki dunia | Mwananchi
Tabora. Mjumbe mstaafu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Tabora, Nassoro Hamdani, amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mbali na nafasi yake ya kisiasa, Hamdani alikuwa ni mkurugenzi wa kampuni ya usafirishaji ya NBS Classic. Akizungumza na Mwananchi, Salum Hamdani…