DKT.NCHIMBI ALIVYOHITIMISHA KAMPENI ZAKE MKOA WA NJOMBE

Matukio mbalimbali katika picha za mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika mjini Makambako, mkoani Njombe alipokuwa akihitimisha mikutano yake kampeni mkoani humo leo Septemba 24, 2025. Mara baada ya kuwahutubia Wanachi katika mkutano huo,Dkt.Nchimbi pia alitumia nafasi…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Wala rushwa katika sura ya hisani

Mtu wa Pwani anaweza kuuliza swali linalofanana na jibu: “Hapo pajani pajani?” Kama anayeulizwa ni wa kutoka bara anaweza kujibu: “Sasa kumbe ulifikiria pajani ni gotini?” Lakini kumbe anakuwa hajaelewa kabisa mwenzake anaulizia nini. Swali ni: “Hapo kwenye paja panakuja nini? Ni kama mtu aliyeona dalili ya kitu kisicho cha kawaida (labda kipele hivi) kwenye…

Read More

KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu

Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…

Read More