Mafunzo yaiwekea mkakati KVZ | Mwanaspoti
TIMU ya Mafunzo, imeanza kujinoa kwa ajili ya kumaliza vizuri msimu huu wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) katika mechi kumi zilizobaki ambapo itaanza na KVZ. Akizungumza na Mwanaspoti kuelekea mchezo wao dhidi ya KVZ utakaopigwa Machi 28, 2026 kwenye Uwanja wa Mao A, uliopo Mjini Unguja, Kocha Mkuu wa Mafunzo, Salum Ali Haji, ameweka wazi…