Mchongo mpya kujiunga Yanga Soccer School.
NDOTO za vijana wanaopenda soka kutoka mtaani zimepata fursa mpya kufuatia ushirikiano kati ya Yanga na kampuni ya Emwani ambao utawafanya kupata nafasi ya kujiunga na mradi wa Yanga Soccer School. Kupitia mashindano maalum yaliyoandaliwa kutokana na ushirikiano huo ambayo yatafanyika Jumamosi wiki hii Machi 28, 2026 huko Kigamboni kwenye kituo cha TFF, vijana chini…