Mchongo mpya kujiunga Yanga Soccer School.

NDOTO za vijana wanaopenda soka kutoka mtaani zimepata fursa mpya kufuatia ushirikiano kati ya Yanga na kampuni ya Emwani ambao utawafanya kupata nafasi ya kujiunga na mradi wa Yanga Soccer School. Kupitia mashindano maalum yaliyoandaliwa kutokana na ushirikiano huo ambayo yatafanyika Jumamosi wiki hii Machi 28, 2026 huko Kigamboni kwenye kituo cha TFF, vijana chini…

Read More

Mvua yaua 18 Mbeya, wamo watoto 14

Mbeya. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini imesababisha maafa ya vifo vya watu 18 kati yao 14 ni watoto Kata ya Nkunga, Lupepo, Kawetele na Ikuti wilayani Rungwe. Vifo hivyo vimetokea kati ya saa 6 hadi 9:30 usiku wa kuamkia leo Jumatano, Machi 25, 2026 baada ya mvua iliyokuwa na upepo kusababisha nyumba zaidi…

Read More

Kiswaga, Lema na Mkuchika wafunguka kuhusu Lukuvi

Dar es Salaam. Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka. Kumbukumbu za matendo ya Lukuvi enzi za uhai wake, zimemuibua pia mwanasiasa mkongwe, Kapteni George Mkuchika na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini…

Read More

FANYENI TAFITI, TUMIENI TAKWIMU SAHIHI – WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe kila wakati wanafanya utafiti na kupata takwimu sahihi. “Maofisa Mawasiliano wote jengeni utamaduni wa kufanya tafiti, kupata takwimu sahihi kabla kuzisambaza kwa wananchi na kuhuisha taarifa za kisekta kwenye tovuti,” amesema. Ametoa wito huo leo…

Read More

Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa lugha wanayoielewa. Dkt. Mwigulu amesema bila kutumia njia na lugha rafiki kwa vijana, taarifa muhimu zinaweza zisifikie walengwa au kushindwa kuwavutia. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa maudhui yanapaswa kuwa…

Read More