Serikali yajitosa matibabu aliyekosa Sh200,000 za upasuaji

Mbeya. Siku moja baada ya Mwananchi kuchapisha habari kuhusu Pascolina Mgala (20), mwenye uvimbe mguuni aliyeteseka kwa miaka tisa akiwa ndani, Serikali kupitia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe, imejitokeza kusaidia matibabu yake. Pia wadau mbalimbali kupitia makundi ya WhatsApp ndani ya Mkoa wa Songwe, wameguswa na hali ya Pascolina na kuanzisha…

Read More

Kocha Azam aanza kupiga hesabu za msimu ujao

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema katika mipango yake msimu ujao, kuhusu usajili anataka wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuipambania timu hiyo. Zikiwa zimesalia mechi saba tu kwa timu hiyo kuhitimisha msimu huu, kocha huyo tayari ameshapiga hesabu za msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Taoussi alisema Azam tayari ina wachezaji wazuri vijana lakini wanahitajika…

Read More

Mario asapraizi mashabiki kwa pikipiki

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Ally Mwanga ‘Marioo’ amewafanyia sapraizi mashabiki wa Yanga kutokana na aina  ya uingiaji wake Uwanja wa Benjamin Mkapa kutumbuiza sherehe za kilele cha Wiki ya Mwananchi. Kabla ya msanii huyo kuingia yalianza kupigwa mafakati juu, walifuatilia waendesha bodaboda waliozunguka uwanja akiwamo naye akiendesha yake, jambo ambalo lilifanya mashabiki kupata vaibu…

Read More

Sudan, 'machafuko yanayoharibu zaidi ya kibinadamu na uhamishaji ulimwenguni' – maswala ya ulimwengu

1) Vita: 2023 Khartoum Mapigano ya Herald Mwisho wa Mchakato wa Amani Mwisho wa 2022, kulikuwa na matumaini kwamba mchakato wa amani ambao haujarudishwa hatimaye utasababisha utawala wa raia huko Sudani, baada ya kipindi kigumu ambacho kiliona kuanguka kwa dikteta wa muda mrefu Omar al-Bashir katika mapinduzi ya kijeshi, ikifuatiwa na Kukandamiza kwa ukali kwa…

Read More

RC Mbeya atoa neno wafanyabiashara waliogoma Soko la Mwanjelwa

Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amewataka wafanyabiashara mkoani humo, kuachana na migomo kabla ya kufanya mazungumzo na viongozi wa mamlaka. Amesema kufanya hivyo ni kutaka kuichafua  Serikali. Kauli hiyo ya Homera inakuja ikiwa ni siku moja  tangu wafanyabiashara wa maduka katika soko la Mwanjelwa kugoma kufungua maduka yao, wakidai kunyanyaswa na Mamlaka…

Read More

Phiri aipeleka Simba nusu fainali

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba anayekipiha kwa sasa Power Dynamos ya Zambia amekiangalia kikosi cha sasa wa Wekundu hao chini ya kocha Fadlu Davids na kusema anaiona kabisa ikifika mbali katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, iwapo itaamua kukaza buti. Raia huyo wa Zambia aliyeichezea Simba kwa misimu miwili kabla ya kuondoka dirisha dogo…

Read More