Yanga mabingwa Kombe la Muungano 2025

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Mei Mosi, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba Maxi Nzengeli ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa Yanga ushindi huo dakika ya 45 akimalizia pasi ya Farid Mussa. Kwa kutwaa ubingwa…

Read More

Bomu mkononi – Sehemu ya 18

“Tuna utaratibu wa kubadilishwa mara kwa mara lakini itakapokuwa hivyo nitakujulisha,” mlinzi huyo akaniambia. “Hakuna tatizo,” nikamjibu. Kutoka siku ile nyumba yetu ikawa na mlinzi. Alikuwa anakuja saa kumi na mbnili jioni na kuondoka saa moja asubuhi. Anapokuja ananijulisha na anapoondoka asubuhi pia ananipa taarifa. TWENDE PAMOJA… BAADA ya mlinzi huyo kuanza kazi, siku mbili…

Read More

FUNGASHADA NA HATARI YA USALAMA WA ZAO LA NDIZI

Farida Mangube, Morogoro Wakati serikali ikiendeleza mapambano dhidi ya magonjwa hatarishi kwa afya ya binadamu, sekta ya kilimo nayo inakumbwa na changamoto ya ugonjwa wa Fungashada unaoathiri migomba na kutishia uwepo wa zao la ndizi nchini. Ugonjwa wa Fungashada kitaalamu ukijulikana kama Banana Bunchy Top Disease (BBTD) unaosababishwa na virusi vya Banana Bunchy Top Virus…

Read More

RC Mtanda awakana polisi kukamatwa makada Chadema

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hakutoa amri ya kukamatwa makada 20 wa Chadema waliokwenda kuonana naye kupata mrejesho wa uchunguzi wa kupotea kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa chama hicho (Bavicha), Amani Manengelo. Makada hao wa Chadema wamekamatwa kwa muda leo Jumatano, Februari 26, 2025 saa tatu asubuhi wakati wakielekea…

Read More

NGO YAWAWEZESHA WAKULIMA KUPITIA UJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Blog WAKULIMA katika wilaya za Kondoa na Chemba wanaendelea kupewa mafunzo ya stadi na ujuzi wa ujasiriamali kwa lengo la kuwawezesha kuwa na vyanzo mbalimbali vya kipato badala ya kutegemea kilimo pekee. Hatua hiyo inalenga pia kuhakikisha kuwa wakulima wanaongeza thamani kwenye mazao yao ya kilimo kama vile alizeti, karanga na…

Read More

Tanzania Yaharakisha Malengo ya Nishati Safi ya Kupikia ya 2034 kwa Kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Matumizi ya Nishati ya Kupikia ya Umeme

Wizara ya Nishati, kwa ushirikiano na Modern Energy Cooking Services (MECS) na UK International Development, wamezindua rasmi Kampeni ya Kwanza ya Kitaifa ya Uhamasishaji wa Nishati ya Umem ya Kupikia (eCooking) nchini Tanzania. Mpango huu wa kihistoria ni sehemu muhimu ya Mpango wa MECS wa kukuza na kusaidia nishati ya umeme unaofadhiliwa na UKAid, ambao…

Read More

Madereva walia na maegesho ya magari Kendwa

Unguja. Madereva wa magari ya utalii Kijiji cha Kendwa, Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba Serikali kuwapatia eneo la maegesho ya magari ili kuondokana na usumbufu unajitokeza. Wamezungumza hayo katika kikao cha Katibu Tawala Wilaya ya Kaskazini A, Unguja, leo Januari 14, 2025, kilichowakutanisha madereva hao kuzungumzia changamoto mbalimbali. Dereva Abdulla Abdi Ahmada amesema awali walikuwa…

Read More