WAZIRI MKUU ANADI VIVUTIO VYA UTALII, UWEKEZAJI

▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025 ▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia sh bilioni 37 ▪️Asisitiza Tanzania ni mahali salama kwa uwekezaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano wa Tanzania na Japan umezidi kukua katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia umezidi kuimarika siku hadi siku, ambapo…

Read More

Mgunda avimbia ubora wa Amoah

KOCHA wa Namungo, Juma Mgunda, ameonyesha matumaini makubwa na beki mpya wa kati, Daniel Amoah, ambaye alisajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mgunda amesema kuwa Amoah ana uwezo mkubwa na anaweza kuwa chachu ya kuboresha ukuta wa timu yake, ambao hadi sasa umeruhusu mabao 18 katika michezo 15 ya Ligi Kuu Bara. Akizungumza kuhusu usajili…

Read More

Serikali kujenga kituo kipya cha afya Mahuninga

Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani akizungumza na wananchi wa vijiji vya Mahuninga Makifu na Kisilwa katika ziara yake ya kutembelea Miradi ya Maendeleo Diwani wa viti maalumu, Mhe, Shani Richard wa Tarafa ya Idodi akisalimia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha…

Read More

Mahakama yatupa maombi ya watumishi wa zamani wa Takukuru

Dodoma. Wafanyakazi wa zamani wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), waliokuwa wamefungua shauri kuomba mapitio ya mahakama, wakipinga kufutwa kwao kazi, wamekwaa kisiki baada ya maombi yao kutupwa. Watumishi hao wa zamani wa Takukuru, Hassan Chamshama, Hamis Mkao na Ibrahim Liban, walifungua maombi namba 27443/2024 dhidi ya mwenyekiti wa kamati ya usimamizi…

Read More

Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora na droni – DW – 25.11.2024

Urusi imefanya mashambulio kadhaa katika maeneo mbali mbali ya Ukraine ikiwa ni pamoja na Kharkiv ambako watu wasiopungua 10 wamejeruhiwa leo asubuhi. Gavana wa jimbo hilo Oleh Syniehubov amesema moto mkubwa ulisababishwa na shambulio hilo katika mitaa ya katikati ya mji  na kuharibu majengo ya raia pamoja na magari. Bomu la kutegwa ardhini,KharkivPicha: Jose Colon/Anadolu/picture…

Read More

Kumekuchaa! Kisa Dabi viongozi Yanga waitwa TPLB

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa juu wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB). Taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inaeleza TPLB imewaita viongozi hao mezani, kuzungumza nao kwani Yanga ndiyo timu mwenyeji wa mchezo huo. Kwenye kikao hicho,…

Read More