
Wadau wa afya waishauri Serikali kuboresha huduma za utengamao
Dar es salaam. Wadau wa afya wameiomba Serikali kuboresha huduma za utengamao nchini, wakisema bado hazijawafikia wananchi wengi hasa walioko vijijini. Hoja hiyo ni kutokana na kile walichoeleza kuwa wananchi wanatembea umbali mrefu kupata huduma pamoja na uelewa mdogo wa jamii kuhusu umuhimu wa huduma hizo. Wito huo umetolewa Septemba 10, 2025, katika mkutano wa…