JUMUIYA YA SHIA WAMPONGEZA RAIS DK.MWINYI KWA MAENDELEO

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameushukuru uongozi wa Jumuiya ya Shia Tanzania kumpongeza kwa kazi nzuri anazozifanya kuwaletea maendeleo makubwa wananchi wa Zanzibar. Rais Dk.Mwinyi ametoa shukrani hizo alipokutana na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe:…

Read More

NCC YAJA NA MFUMO KUSAIDIA SEKTA YA UJENZI

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akifungua mkutano wa mashauriano na wadau wa sekta ya ujenzi ambayo imefanyika leo jijini Dar es salaam. Mhandisi Tumaini Lemunge kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) akiwasilisha mada  katika mkutano wa mashauriano na wadau wa sekta ya ujenzi ambao umefanyika leo jijini Dar es salaam . Baadhi ya washiriki…

Read More

Mpango ataja mambo yanayochochea maambukizi ya VVU

Songea/Dar. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametaja mambo matano yanayochochea maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) nchini akisema yanachangia kutofikiwa kwa malengo ya kutokomeza ugonjwa huo nchini. Dk Mpango ametaja mambo hayo ni unyanyapaa kuwa kizingiti hatari, mitazamo hasi, wanaume kutokupima, elimu duni na tabia hatarishi. Hata hivyo, imeelezwa bado kuna idadi kubwa ya…

Read More

Onyango mambo freshi akitua Dodoma Jiji

BEKI Mkenya, Joash Onyango msimu ujao atakuwa sehemu ya kikosi cha Dodoma Jiji baada ya usajili wake kukamilika kuichezea timu hiyo kwa mkopo wa miezi sita. Onyango kwa mara ya kwanza kucheza Ligi Kuu Bara ilikuwa msimu wa 2020/21 ambapo alijiunga na Simba akitokea Gor Mahia ya Kenya na baada ya kuachana naye alijiunga na…

Read More

Polisi watawanya wananchi kwa mabomu ya machozi

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi, kuwatawanya wananchi waliokuwa wamevamia lori lililokuwa limebeba mafuta ya kula, lililopata ajali, eneo Njoro, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa leo Juni 15, 2024 imesema gari hilo lililokuwa limebeba mafuta ya kula aina…

Read More

Benki ya TCB kujenga uchumi kupitia mikopo ya Bilioni 300 kwa wafanyabiashara wadogo na wakati

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imetangaza azma yake ya kuunga mkono juhudi za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za kukuza uchumi kwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 300 kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati nchini. Mikopo hii inatarajiwa kusaidia wafanyabiashara hao kuongeza mitaji na kuinuka kiuchumi. Akizungumza leo…

Read More

WASOMI,WANADIPLOMASIA WATAJA YATAKAYOFANIKISHA ULINZI,USALAMA AFRIKA…VIJANA WATAJWA

    Na Said Mwishehe, Michuzi TV WASOMI wa kada mbalimbali pamoja na wabobezi wa masuala ya ulinzi, Usalama pamoja na Diplomasia katika Bara la Afrika wameelezea mambo muhimu yanayoweza kusaidia katika harakati za kuimarisha amani katika Bara hilo yakiwemo ya kuwashirikisha vijana. Wakizungumza katika Kongamano maalumu lililoandaliwa na Uongozi Institute kujadili masuala ya ulinzi…

Read More

Mbolea chanzo cha mgogoro USM Alger, RS Berkane

UNAWEZA kuona kwa jicho la kisiasa mgogoro uliopelekea mechi ya pili ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane na USM Alger kutochezwa jana kama ilivyokuwa kwa mechi ya kwanza lakini nyuma yake kuna sababu za kiulinzi na pia kiuchumi. Sababu ya USM Alger kugomea mechi kwa vile RS Berkane walitaka…

Read More