Malindi haishikiki Zenji, Kibadeni apiga Hat Trick

MABINGWA wa zamani wa Zanzibar, Malindi imeendelea kuonyesha dhamira ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu, baada ya jana kuwanyooshaa wageni wa ligi hiyo, Inter Zanzibar kwa mabao 4-0 katika mechi kali iliyopigwa Uwanja wa Annex B, mjini Unguja. Ushindi huo ni wa pili mfululizo kwa Malindi na kuifanya ikwee kileleni mwa…

Read More

Watuhumiwa wa mauaji  Himo, wana kesi ya kujibu

Moshi. Mkemia Mkuu wa Serikali, Leonidas Michael, ambaye alifanya uchunguzi wa vina aba (DNA) wa mabaki ya mwili wa Josephine Mngara (30),  anayedaiwa kuuawa kwa kuteketezwa kwa moto, amesema uchunguzi umebaini kwamba kuna uhusiano wa vinasaba kati ya mabaki hayo, na sampuli ya damu kutoka kwa mama aliyedai marehemu alikuwa ni mtoto wake. Mkemia mkuu…

Read More

Mjadala ongezeko la shule za umma za Kiingereza

Haikuwa taharuki ndogo kwa wazazi wanaosomesha watoto katika Shule ya Msingi Ubungo NHC ya mkoani Dar es Salaam. Kiini cha taharuki hiyo iliyotokea Novemba mwaka huu na kuzua mjadala mkubwa mitandaoni, ni taarifa waliyodai wazazi kuwa wameambiwa shule hiyo ya umma inabadilishwa na kuwa ya mchepuo wa Kiingereza, hivyo wawahamishe watoto wao. Kwa Manispaa ya…

Read More

Wajitokeza kumuaga Charles Hilary Unguja

Unguja. Licha ya mvua kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mjini Unguja, wananchi na viongozi kutoka sehemu mbalimbali wamejitokeza kwa wingi katika eneo la Kisonge kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, marehemu Charles Hilary. Shughuli hiyo ya kutoa heshima…

Read More

Wanaume 193 waugua kipindupindu Mbeya

Mbeya. Katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, watu 261 wamebainika kuugua ugonjwa wa kipindupindu, kati yao wanaume ni 193, wakiwemo watoto 12 wenye umri chini ya miaka mitano. Taarifa hizi zimetolewa na Mganga Mkuu wa Jiji la Mbeya, Dk Yesaya Mwasubila, wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kikiwamo…

Read More