Sh4 bilioni kujenga kituo cha wasichana waathirika wa ukatili
Bagamoyo. Ukosefu wa nyumba salama kwa waathirika wa vitendo vya ukatili wa kijinsia umeendelea kuwa chanzo kikubwa cha maumivu ya ziada kwa wasichana wanaokumbwa na vitendo hivyo nchini. Badala ya kupata hifadhi ya muda, usalama na huduma za kisaikolojia baada ya kupitia ukatili, wasichana wengi hulazimika kurejea katika mazingira yaleyale yaliyowadhuru, hali inayoongeza hatari ya…