Bakwata: Sikukuu ya Eid El-Fitri Machi 20–21

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) limetangaza rasmi Sikukuu ya Eid El-Fitri mwaka huu itasherehekewa Machi 20 au 21, 2026, kutegemea mwandamo wa mwezi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Machi 12, 2026 na Katibu Mkuu wa Bakwata, Alhaj Nuhu Mruma, sherehe za kitaifa zitaongozwa na Baraza la Eid litakalofanyika…

Read More

Kauli ya Mojtaba Khamenei Yazua Taharuki Mashariki ya Kati, Taarifa yake Yasomwa Runingani

Taarifa inayodaiwa kutolewa kwa niaba ya kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, imesomwa kupitia televisheni ya taifa huku kukiwa na tetesi zinazoendelea kuhusu hali yake ya afya. Taarifa hiyo ilitangazwa na mtangazaji wa habari katika televisheni ya serikali ya Iran, lakini Khamenei mwenyewe hakuonekana hadharani. Kutokuwepo kwake kwenye matangazo ya moja kwa moja kumezidisha uvumi…

Read More

Masilingi awataka watendaji kuongeza uwazi kwenye miradi ya CSR

Geita. Mwenyekiti wa Tume ya Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini na Gesi, Balozi Wilson Masilingi, amewataka watendaji wa halmashauri nchini kuhakikisha kunakuwepo uwazi na ushirikishwaji wa wananchi katika uteuzi wa miradi inayotekelezwa kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), kutoka kampuni za uchimbaji madini. Masilingi amesema kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji katika utekelezaji wa miradi…

Read More

Jamii yatakiwa kupaza sauti kukomesha ukatili wa kijinsia

Dodoma. Jamii imetakiwa kuvunja ukimya na kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyowakumba wanawake, watoto na watu wenye ulemavu, ili kusaidia kukomesha vitendo hivyo na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Machi 12, 2026, jijini Dodoma na Mkuu wa Dawati la Jinsia, Wanawake na Watoto Mkoa wa Dodoma,…

Read More

BOT yatangaza nafasi 105 za ajira

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza jumla ya nafasi 105 za ajira katika kada mbalimbali, ikiwakaribisha Watanzania wenye sifa kuomba nafasi hizo kabla ya Machi 24, 2026. Tangazo hilo lililotolewa Machi 10, 2026 linaeleza kuwa nafasi hizo zinalenga kuongeza nguvu kazi yenye…

Read More