Sh4 bilioni kujenga kituo cha wasichana waathirika wa ukatili

Bagamoyo. Ukosefu wa nyumba salama kwa waathirika wa vitendo vya ukatili wa kijinsia umeendelea kuwa chanzo kikubwa cha maumivu ya ziada kwa wasichana wanaokumbwa na vitendo hivyo nchini. Badala ya kupata hifadhi ya muda, usalama na huduma za kisaikolojia baada ya kupitia ukatili, wasichana wengi hulazimika kurejea katika mazingira yaleyale yaliyowadhuru, hali inayoongeza hatari ya…

Read More

MKURUGENZI MKUU REA AWAFUNDA WAHANDISI WA MIKOA

::::::::::: Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy amewaelekeza Wasimamizi wa Miradi wa Mikoa kuhakikisha wanaimarisha Mawasiliano na Ushirikiano na wadau mbalimbali kwenye maeneo ya miradi ili kurahisisha utekelezaji wake.  Ametoa maelekezo hayo leo Januari 19, 2026 jijini Dodoma katika kikao chake na Watumishi wa REA wanaohusika na Usimamizi wa Miradi…

Read More

Upelelezi kesi ya wanaodaiwa kuchana noti, wakamilika

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayowakabiliwa washtakiwa 13 wakiwemo waliokuwa watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), umekamilika. Kwa sasa Jamhuri ipo katika hatua ya kusajili taarifa pamoja na nyaraka muhimu Mahakama Kuu ili washtakiwa hao wasomewe maelezo ya mashahidi na vielelezo. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Mariagoreth Kunzugala, maarufu   Bonge,…

Read More

Butiku asimulia alichozungumza na Polepole kabla ya kujiuzulu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku amesema kabla ya kujiuzulu, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole alikutana naye mara mbili kumweleza matatizo yake. Kauli hiyo ya Butiku, inakuja ikiwa ni miezi mitatu tangu Polepole, alipochukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake eneo la Ununio, Dar es Salaam usiku…

Read More

Airtel Yaongeza Upatikanaji wa Mawasiliano kwa mikoa ya Singida, Dodoma na Shinyanga Kupitia Uzinduzi wa Minara Minne ya Mawasiliano

 Airtel Yaongeza Upatikanaji wa Mawasiliano kwa mikoa ya  Singida, Dodoma na Shinyanga Kupitia Uzinduzi wa Minara Minne ya MawasilianoTanzania, 15 Januari 2026 – Airtel Tanzania imezindua minara minne mipya ya mawasiliano katika Mikoa ya Singinda – Mugungia (mnara 1), Dodoma – Mpunguzi  (minara 2), na Shinyanga – Ngokoro (mnara 1), hatua iliyoboresha upatikanaji wa huduma…

Read More