Aliyedai kuombwa kumuua Mpina aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Shinyanga imefuta hukumu ya kifungo cha miezi sita jela alichohukumiwa Pendo Elikana, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kuwa aliombwa amuue Luhaga Mpina. Mpina amekuwa mbunge wa Kisesa kwa vipindi vitatu (2005–2020) kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na aliwahi kuhudumu kama Waziri wa…

Read More

Ajali yaua sita Rorya | Mwananchi

Rorya. Watu sita wamefariki dunia papo hapo na mmoja kujeruhiwa baada ya gari walikokuwa wakisafiria kugonga kwa nyuma gari lililokuwa limeegeshwa barabarani baada ya kuharibika. Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Buganjo wilayani Rorya wakati gari aina ya Toyota Succeed likiwa limebeba watu saba likiwa linatoka mjini Tarime kuelekea Kijiji cha Busurwa wilayani Rorya, liligonga…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA ATAJA YALIYOFANYIKA UYUI AKIOMBA KURA KWA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha  Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora huku akitumia nafasi hiyo kuelezea mipango ya Serikali katika miaka mitano ijayo. Akizungumza leo Septemba 11,2025 katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Ilolanghulu wilayani Uyui mkoani Tabora, Dk.Samia Suluhu Hassan amesema wananchi…

Read More

Mavunde aja na kampeni ya mtaa kwa mtaa

Dodoma. Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtumba, Anthony Mavunde zimevuta watu wengi huku wananchi wakitamani viongozi wengine kufanya kama anavyofanya ushawishi kwa mtindo huo. Mavunde ambaye ni Waziri wa Madini, leo Alhamisi Septemba 11, 2025 anaingia siku ya nane katika kampeni zake akitembelea makundi ya mama lishe, bodaboda, wajasiriamali na viongozi wa dini…

Read More

Bashiri Bingwa Wako wa FA na Meridianbet

JE unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kubashiri chochote ukipendacho?. Mechi za FA zikiwa zinaendelea kule Uingereza tayari wakali hawa wa ubashiri wamekuwekea ODDS za bingwa, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti nani atakuwa mshindi. Liverpool ni moja ya timu ambayo inapewa nafasi kubwa kabisa ya kushinda kombe hili kule Uingereza wakiwa…

Read More

Dakika 62 tamu za Mbosso ‘Simba Day’

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More