Serikali yawaonya waandikishaji kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa “Utakayoyajua hupaswi kumwambia mtu”

Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa,serikali wilayani Njombe imewaonya waandikishaji wa vituo 227 vya uchaguzi waliokula kiapo Cha utii na Uadilifu kutotoa siri za mchakato huo kwani ni kinyume cha sheria na kanuni za uchaguzi. Onyo hilo limetolewa na mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Njombe George Makacha wakati akiwaapisha waandikishaji hao katika ngazi za…

Read More

Wananchi watishia kubomoa madarasa yenye nyufa Sengerema

Mwanza. Wakazi wa Kijiji cha Buzilasoga Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wametishia kubomoa majengo chakavu yaliyopo katika Shule ya Msingi Buzilasoga ili kuepusha maafa kwa watoto wao wanaosoma shuleni hapo. Uamuzi huo wa kubomoa madarasa mabovu ambayo ni mawili, unakuja baada ya wananchi hao kutakiwa kuchanga Sh2,000 kila mmoja kwa ajili ya kutengeneza madawati ya…

Read More

Waganga wakuu wapewa maelekezo usimamizi sampuli za vipimo vya VVU

Mbeya. Waganga wakuu  wa  hospitali za mikoa  ya Mbeya, Songwe, Katavi na Rukwa  wameagizwa  kusimamia utunzaji na usafirishaji wa sampuli za maabara na  kuimarisha  afua  za  maambukizi  ya VVU katika vituo vya kutolea huduma. Hatua hiyo iende sambamba na kufanya ziara ya kukagua vituo vya afya zahanati zilizofanyiwa  ukarabati kupitia  ufadhili wa PEPFAR kama zinalingana…

Read More

Rais TEC awataka Watanzania wamwombee Papa Francis

Dar es Salaam. Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa amewataka Wakatoliki wamwombee Papa Francis. Askofu Pisa ambaye pia ni Askofu wa Jimbo la Lindi, ametoa wito huo jana Jumamosi Februari 22, 2025, akisema, “Kama mnavyofahamu Baba Mtakatifu wetu Fransisko alilazwa Gemelli Polyclinic, Roma tangu Februari 14, 2025 kwa shida ya afya….

Read More

UN yaonya juu ya kuongezeka kwa mgogoro chini ya utawala wa kimabavu wa Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu nchini Afghanistan, Roza Otunbayeva, alisema watawala wakuu wa nchi hiyo ambao wameweka tafsiri yao wenyewe ya sheria kali za Kiislamu “wametoa kipindi cha utulivu ambacho hakijaonekana katika miongo kadhaa” nchini Afghanistan, lakini idadi ya watu iko karibu. hatari ya mzozo mbaya wa kibinadamu na maendeleo kadiri ufadhili wa kimataifa unavyopungua….

Read More

ACT Wazalendo yaunda kamati kuandaa Ilani ya Uchaguzi 2025

Dar es Salaam. Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu amefanya uteuzi wa kamati ya kuandika Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya chama hicho itakayokwenda kuuzwa kwa wananchi. ACT Wazalendo kimekuwa chama cha kwanza nchini kuanzisha michakato ya uchaguzi mapema na tayari kimefungua dirisha kwa wanachama wake wenye nia…

Read More