Watanzania tukumbuke kauli huumba tunapouelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani zinaendelea kupamba moto nchini. Huu ni wakati mwingine ambao ama Watanzania watadanganywa kwa ahadi hewa zisizotekelezeka, au kuambiwa ukweli na wanasiasa wenye dhamira ya kweli. Kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka 30 katika chumba cha habari nikiripoti siasa, safari hii nimeamua kujikita katika kampeni za…