Sh115 bilioni kufunga mfumo wa kusimamia ardhi Zanzibar

Zanzibar. Katika kuunga mkono juhudi za kuwaletea maendeleo wananchi, Benki ya CRDB, kwa kushirikiana na taasisi ya fedha ya Ufaransa ya BPIFrance, imesaini mkataba wa kuikopesha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Sh115 bilioni kwa ajili ya kufunga Mfumo wa Usimamizi na Usajili wa Taarifa za Ardhi (LARIS). Mkopo wa mfumo huo, unaotarajia kuondoa changamoto katika…

Read More

UZINDUZI TAMASHA LA UTAMADUNI WAITEKA RUVUMA

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro pamoja na viongozi wengine wakitoa burudani staili ya Misomisondo mara baada ya kufungua Tamasha la tatu la utamaduni la Kitaifa mkoani Ruvuma Septemba 20, 2024 katika Uwanja wa Majimaji Manispaa ya Songea. Na Mwandishi Wetu, RUVUMA WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amewaasa…

Read More

Majaliwa ataka mikakati iendane na mabadiliko teknolojia

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amevisihi vyama vya wafanyakazi barani Afrika, kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia duniani. Amesema kwa kufanya hivyo kutawawezesha kupunguza hatari ya kupoteza ajira kutokana na ujio wa mashine na matumizi ya teknolojia mpya ikiwemo za akili unde. Majaliwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo Ijumaa,…

Read More

‘No Reform, No Election’ yawapeleka Chadema kwa Msajili

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka wazi kuhusu kupokea wito wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi. Kwa mujibu wa taarifa ya Chadema, kikao na Jaji Mutungi kitafanyika kesho Jumanne, Machi 18, 2025 huku ajenda kuu ikiwa ni ‘No Reform, No Election.’ Alipotafutwa kuzungumzia hilo, Jaji Mutungi amethibitisha bila…

Read More