Mapungufu ya ufadhili yanatishia karibu watu milioni 2 waliokimbia makazi yao – Masuala ya Ulimwenguni

The onyo inakuja wakati taifa hilo changa zaidi duniani likisalia kuwa miongoni mwa mizozo ya juu zaidi ya wakimbizi, huku takriban watu milioni 10 wakihitaji msaada wa kibinadamu wakiwemo waliorejea waliokimbia vita katika nchi jirani ya Sudan. IOMinahitaji zaidi ya $131 milioni kwa operesheni nchini Sudan Kusini mwaka huu lakini inakabiliwa na a Pengo la…

Read More

Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa na Polisi Mbeya – Video – Global Publishers

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, limetoa taarifa kuwa watuhumiwa watatu waliokuwa wakituhumiwa kumteka kisha kumuua Shyrose Mabula, mwanafunzi wa Shahada ya Sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Mbeya, Shyrose Mahande (21), wameuawa wakati wakijaribu kupambana na polisi wakati wa ukamataji wao. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, amewataja waliouawa kuwa ni Marwa Nyahega,…

Read More

Ibenge: Subirini mechi ya kwanza muone!

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu yake bado inaendelea kujifua kwa ushindani na itakuwa tayari siku ya mechi ya kwanza ya michuano iliyo mbele yao. Timu inatarajia kuvaana na Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini katika Kombe la Shirikisho Afrika mechi ambayo imepangwa kuchezwa Septemba 19 na marudiano ni Septemba 26 katika…

Read More

Ulimwengu Mpya wa Ujasiri na Ushindi Upo Ndani Ya Vaso Psycho Ya Meridianbet

Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Meridianbet imeendelea kuleta mapinduzi katika burudani ya mtandaoni kwa kuzindua Vaso Psycho, uliotengenezwa na Expanse Studios unaowalenga wachezaji jasiri. Huu ni mchezo unaotoa nafasi ya kuonyesha mbinu, akili na uthubutu wako. Vaso Psycho umeundwa kwa ajili ya wale wanaotafuta ushindi wa kiwango cha juu. Katika kila mzunguko wa…

Read More

Job ameshasema huko! Sasa kazi kwenu

YANGA jana ilikuwa uwanjani kupima ubavu na timu moja ya jeshi, lakini kabla ya hapo, juzi kati ilivaana na Tabora United na kupata ushindi wa mabao 4-0, huku mmoja wa manahodha wa timu hiyo akiishuhudia akiwa nje ya uwanja, kisha akawaambia wenzake kwamba kikosi hicho kina watu. …

Read More

ALIPWA FIDIA YA SH. 7M KWA KUHARIBIWA JIKO, UKUTA

*Ni baada ya kueleza kero yake kwa Waziri Mkuu JITIHADA za Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kusikiliza kero za wananchi zimezaa matunda ambapo mkazi wa Kata ya Baraa jijini Arusha, Bi. Agnes Simon Laizer alilipwa fidia ya sh. milioni 7 na mmiliki wa shule ya Nariva Hill (jirani yake) ambaye alikuwa ameharibu jiko na ukuta…

Read More