TEMDO YAJA NA SULUHISHO LA UCHAKATAJI MIWA KITAIFA

SHIRIKA la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) limebuni, kusanifu na kutengeneza mtambo wa kuchakata zao la miwa ili kupata sukari kwa kiwango cha mjasiriamali wa kati, ikiwa ni jitihada za kupunguza uhaba wa sukari nchini pamoja na kuwaongezea wakulima wa miwa soko la uhakika. Hayo yalisemwa Januari 19, 2026 na Naibu Waziri wa Viwanda…

Read More

Mwanafunzi ashambuliwa na mbwa Iringa

Iringa. Rahimatullahi Ng’amilo (9), mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Nyumbatatu, Manispaa ya Iringa, ameshambuliwa na mbwa wazururaji wanne ambao wamemwachia majeraha katika sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limeibua upya hofu ya usalama wa watoto, changamoto ya udhibiti wa mbwa mkoani Iringa huku familia ya mtoto huyo ikilia na mzigo…

Read More

KATAMBI AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NCHINI TANZANIA

:::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Burundi nchini Tanzania,Mhe. Balozi Leontine Nzeyimana, ambapo wamezungumza masuala mbalimbali ikiwemo uwepo wa kambi za Wakimbizi hapa nchini,Udhibiti na utoaji elimu ili kuzuia uhalifu na Ustawi wa Jamii ya Wakimbizi wa Burundi waliopo hapa nchini. Kikao hicho kimehudhuriwa pia…

Read More

Wanachama 27 wajitokeza kumrithi Jenista, vikao kuamua

Songea. Wanachama 27 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea Vijijini wamejitokeza kuchukua fomu za kutia nia kugombea ubunge Jimbo la Peramiho ili kujaza nafasi iliyoachwa na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Jenista Mhagama. Jenista alifariki dunia Desemba 11, 2025 jijini Dodoma kutokana na maradhi ya moyo na Desemba 16, 2026 alizikwa katika Kijiji…

Read More

KIHONGOSI AAGIZA WIZARA KULETA AMBULANCE ILONGERO

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Laban Kihongosi, amemuagiza Waziri wa Afya Mhe. Mohamedy Mchengerwa kuhakikisha gari la wagonjwa(Ambulance)linafika katika Hospitali ya Wilaya Singida Vijijini haraka iwezekanavyo. Alitoa rai hiyo leo Jumatatu January 19 baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Singida Vijijini, iliyopo Ilongero, mradi unaogharimu Tsh. bilioni 3.7…

Read More

Kihongosi: Viongozi wa halmashauri msiwe chanzo cha migogoro

Singida. Viongozi wa halmashauri nchini wameonywa kutokuwa chanzo cha migogoro ya wao kwa wao na badala yake watambue kazi yao ni kuwatumikia wananchi kwa nafasi zao bila kuwabagua. Mbali na viongozi wa halmashauri, wasimamizi wa miradi wametakiwa kutanguliza utu kwa wafanyakazi ikiwemo kutowadhulumu stahiki zao na walipe kwa wakati kile walichokubaliana. Wito huo umetolewa leo…

Read More

NKASI YAJENGEWA UWEZO MASUALA YA MENEJIMENTI YA MAAFA

NA. MWANDISHI WETU -NKASI Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imewajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa ili kuhakikisha jamii inakuwa stahimilivu wakati wa majanga. Elimu hiyo imetolewa leo tarehe 19 Januari, 2026 na timu ya…

Read More