TEMDO YAJA NA SULUHISHO LA UCHAKATAJI MIWA KITAIFA
SHIRIKA la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) limebuni, kusanifu na kutengeneza mtambo wa kuchakata zao la miwa ili kupata sukari kwa kiwango cha mjasiriamali wa kati, ikiwa ni jitihada za kupunguza uhaba wa sukari nchini pamoja na kuwaongezea wakulima wa miwa soko la uhakika. Hayo yalisemwa Januari 19, 2026 na Naibu Waziri wa Viwanda…