Mavunde aja na kampeni ya mtaa kwa mtaa

Dodoma. Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtumba, Anthony Mavunde zimevuta watu wengi huku wananchi wakitamani viongozi wengine kufanya kama anavyofanya ushawishi kwa mtindo huo. Mavunde ambaye ni Waziri wa Madini, leo Alhamisi Septemba 11, 2025 anaingia siku ya nane katika kampeni zake akitembelea makundi ya mama lishe, bodaboda, wajasiriamali na viongozi wa dini…

Read More

Bashiri Bingwa Wako wa FA na Meridianbet

JE unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kubashiri chochote ukipendacho?. Mechi za FA zikiwa zinaendelea kule Uingereza tayari wakali hawa wa ubashiri wamekuwekea ODDS za bingwa, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti nani atakuwa mshindi. Liverpool ni moja ya timu ambayo inapewa nafasi kubwa kabisa ya kushinda kombe hili kule Uingereza wakiwa…

Read More

Dakika 62 tamu za Mbosso ‘Simba Day’

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA NA MWENDO ULE ULE UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Tabora. MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi katika miaka mitano ijayo Serikali itakwenda ma mwendo uleule kutekeleza miradi ya maendeleo ya jamii ya elimu, afya, umeme na maji. Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 11,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora…

Read More

Mfaransa atamba, Yanga, aitaja Simba

Kocha mkuu wa Yanga, Romain Folz amesema wachezaji wà timu wapo tayari kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kesho dhidi ya Bandari Kenya, aliosema utakuwa na mvuto wa aina yake, huku akiitaja Simba. Yanga inatarajiwa kuhitimisha kilele cha Wiki ya Mwananchi kesho kwa kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Bandari Kenya. Hilo…

Read More

Meridianbet Yaleta Wiki ya Pesa kwa Wapenzi wa Kasino

MERIDIANBET imefungua milango kwa tukio la kipekee la kasino, lijulikanalo kama Champions Clash ambalo linatarajiwa kuwasha moto kuanzia Septemba 11 hadi 17, 2025. Ndani ya siku saba hizi, wachezaji wa kasino wataingia kwenye ulingo wa ushindani kupitia michezo maarufu ya Pragmatic Play kama Sweet Bonanza Super Scatter, Mahjong Wins Super Scatter, na Gates of Olympus…

Read More

VIONGOZI CCM TUHIMIZE WANANCHI KUPIGA KURA – DKT. BITEKO

Mgombea Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi Vitongoji, Vijiji na Kata kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Dkt. Biteko amesema hayo Septemba 10, 2025 katika Kata ya Ng’anzo wilayani Bukombe ambapo amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya…

Read More