Kibu atimka, Simba yatoa msimamo

Wakati taarifa zikienea  kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis amekimbilia Norway, uongozi wa klabu hiyo umesema utamchukulia hatua za kinidhamu ikidai ni mtoro. Kauli ya Simba inakuja baada ya kuibuka kwa taarifa Kibu ametimkia Norway kimya kimya bila kutoa taarifa kwa klabu yake. Simba imezinasa nyaraka mbalimbali za Kibu zikionyesha kiungo huyo ametimka nchini na…

Read More

KAMPUNI YA FIT GROUP KUTOKA NIGERIA KUWEKEZA NCHINI

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umepokea wawekezaji kutoka Kampuni ya FIT Group kutoka nchini Nigeria. Ujio wao ni wa mara ya pili ambapo wawekezaji hao wamekuja kuona maeneo ya uwekezaji yanayomilikiwa na TBA kwa ajili ya kuyaendeleza kwa njia ya ubia. Ziara yao nchini imeambatana na kufanyika kwa kikao kati yao na TBA pamoja na…

Read More

Straika la mabao Kotoko laingia rada za Simba

SIMBA wako siriazi na mambo yanakwenda kimyakimya. Mwanaspoti linajua mpaka jana jioni kwa uchache ilishamalizana na majembe mawili. Lameck Lawi (Coastal Union) huyu ni beki. Serge Pokou (Asec) ni kiungo. Lakini hata Yusuph Kagoma (Singida FG) kila kitu kimeshakamilika kwa asilimia kubwa. Ishu ya kocha wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na Steve Komphela kutoka…

Read More

TCU: Hatutayumba kusimamia ubora wa elimu ya juu

Unguja. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesisitiza dhamira yake ya kusimamia elimu ya juu kwa ufanisi, ili kuhakikisha kuwa wahitimu wa vyuo vikuu nchini wanakuwa na viwango vya kimataifa na kukubalika duniani kote. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Dk Leonard Akwilapo ametoa kauli hiyo leo Julai 19, 2025 katika maonesho ya sita ya elimu ya juu…

Read More

TANESCO SACCOS YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA YA MILIONI 25 KWA HOSPITALI ZA DAR ES SALAAM

 Na  Mwandishi wetu  CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO SACCOS),kimetoa mashuka ya vitanda zaidi ya 1000 kwa lengo la kuboresha hali na faraja kwa wagonjwa katika Hospitali sita. katika maeneo mbalimbali nchini. Miongoni mwa hospitali hizo ni pamoja na Mwananyamala,Temeke,Ilala,Njombe,Simiyu na Katavi hii ikiwa ni kuunga mkono jitihada…

Read More

Mgogoro wa Gaza unakua kama UN inaonya watoto wanakufa kabla ya kufikia hospitali ‘ – maswala ya ulimwengu

Pamoja na asilimia 96 ya kaya kukosa maji safi, watoto wengi wenye utapiamlo hawaishi muda wa kutosha kupokea huduma ya hospitali. James Mzee, msemaji wa Mfuko wa Watoto wa UN (UNICEF), aliambiwa katika mkutano wa habari huko Geneva kwamba itakuwa kosa kudhani hali hiyo inaboresha. “Kuna maoni kupitia vyombo vya habari vya ulimwengu kwamba mambo…

Read More

MAONYESHO YA KUKU KUFANYIKA OKTOBA.

            Katibu wa Chama za wadau wa uzalishaji wa vifaranga Tanzania (TCPA), Alpha Ibrahimu akielezea namna  maonyesho hayo yatakavyotoa  fursa kwa wafugaji wote Tanzania akiwa na  Sufia Zuberi Katibu wa TAFM pamoja na Grace Urassa, Mkurugenzi aa Audken Farm.  ….Na mwandishi wetu………….. Wadau wa Tansia  ya ndege wafugwao waliopo chinu…

Read More