Kifo cha mfungwa kilivyomsotesha gerezani mkuu wa gereza, wasaidizi wake kwa siku 1,110
Mtwara. Mahakama ya Rufani nchini, imewaachia huru mkuu wa Gereza la Kipule Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Mrakibu wa Magereza (SP), Girbet Sindani na maofisa wake wawili, waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 17 gerezani. Kwa mahesabu, tangu SP Sindani na Sajini Yusuph Selemani mwenye namba B.4048 na Koplo Fadhil Mafowadi mwenye namba B.74114 wakamatwe Juni…