Kanisa la Gwajima lasubiri Serikali upotevu mali

Dar es Salaam. Uongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, umesema unasubiri msimamo wa Serikali kuhusu upotevu na uharibifu wa mali za kanisa hilo kabla ya kuchukua hatua zaidi. Uongozi unadai kuwepo kwa upotevu na uharibifu wa mali zenye thamani ya Sh2.7bilioni katika kipindi ambacho kanisa lao lilikuwa chini ya ulinzi…

Read More

Dorcas wa Chaumma anavyosaka kura kaya kwa kaya

Dar es Salaam. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Dorcas Francis jana Jumanne Septemba 30, 2025 ameendeleza na kampeni zake kwa mtindo wa ziara za kaya kwa kaya na kutembelea maeneo yenye mikusanyiko ya wananchi, akiahidi aina mpya ya uongozi utakaowashirikisha wakazi wa jimbo hilo moja kwa moja…

Read More

Marufuku ya majoho ilivyogonga mwamba shuleni

Tumemaliza msimu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, lakini wazazi bado hawajasahau makovu ya gharama za mahafali ya wahitimu, huku suala la majoho kwa wahitimu likizidi kuchukua sura mpya katika mitandao ya kijamii. Badala ya kutumia majoho kwenye mahafali, taasisi nyingine mbali na vyuo vikuu zilienda mbali zaidi kuhamasisha watoto kushona suti, ambazo zilikuwa…

Read More

Uhakika wa taulo za kike ulivyopunguza utoro Geita

Dar es Salaam. Upatikanaji wa taulo za kike kwa ajili ya wanafunzi kujisitiri umepunguza tatizo la baadhi ya wasichana kukosa masomo kila mwezi wanapokuwa kwenye hedhi. Wasichana hao hulazimika kubaki nyumbani wakihofia kuchafuka na kuaibika mbele za watu huku wakiwa hawana uwezo wa kupata tauli hizo kila mwezi. Kwa mujibu wa utafiti uliotolewa na Taasisi…

Read More

Fyatu kususia uchafuzi na uchakachuaji, sorry, uchaguzi

Sambamba na nchi zote zitakazokuwa na uchaguzi mwaka huu, hata Mafyatu, nchi ya ndotoni, itakuwa na uchuguzi karibuni. Kama mjuavyo, Fyatu niliahidi ningeshiriki na kushinda kwa kishindo tena bila kuchakachua au kuchakachuliwa kama uchaguzi ungekuwapo na si uchafuzi na uchakachuaji unaokuja soon. Naona wale wanashangaa. Hamjui fyatu anaweza kufyatuka wakati wowote? Now, why? Nafyatua kimombo…

Read More

Mtoto aliyekatwa mguu amshukuru Samia kwa mguu wa bandia

Tunduma. ‘Hujafa, hujaumbika’ ndiyo kauli unayoweza kusema kwa mtoto Ebeneza Mwakasyele (8) aliyepoteza mguu wa kushoto mwaka 2019 na kutembelea magongo baada ya kukatwa kutokana na kuugua ugonjwa usiojulikana chanzo chake. Lakini hayo yote yamepita baada ya Ebeneza anayesoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Tunduma mkoani Songwe kupata mguu wa bandia. Ebeneza alirejeshewa…

Read More