Viongozi ACT Wazalendo wadaiwa kukamatwa na Polisi Kagera
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo, Janeth Rithe inadaiwa amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera alikokwenda kwa ziara ya kikazi ya chama hicho. Rithe inadaiwa amekamatwa pamoja na Naibu Katibu wa Ngome ya Wanawake ya chama hicho, Severina Mwijage, waliokuwa pamoja katika ziara hiyo. Taarifa ya kukamatwa kwa Rithe…