Viongozi ACT Wazalendo wadaiwa kukamatwa na Polisi Kagera

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo, Janeth Rithe inadaiwa  amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera alikokwenda kwa ziara ya kikazi ya chama hicho.  Rithe inadaiwa amekamatwa pamoja na Naibu Katibu wa Ngome ya Wanawake ya chama hicho, Severina Mwijage, waliokuwa pamoja katika ziara hiyo. Taarifa ya kukamatwa kwa Rithe…

Read More

TET, Aga Khan wawekeza katika elimu bora nchini

Dar es Salaam. Wataalamu 29 wa ukuzaji mitaala kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) wamehitimu mafunzo maalumu ya miezi mitatu yaliyoratibiwa na Aga Khan Education Services Tanzania. Lengo la mafunzo hayo ni kuboresha utoaji wa elimu shuleni na kuwawezesha wanafunzi kuchagua masomo yanayoendana na vipaji na uwezo wao binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika kwa njia ya…

Read More

Katibu UVCCM Pangani aanza ziara ya “Operesheni Samia”

Na Mwandishi Wetu, Pangani Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Pangani mkoani Tanga, Nasri Mkalipa, ameanza ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kusikiliza kero za wananchi, ziara iliyopewa jina la “Operesheni Samia.” Mkalipa ameanza ziara hiyo Machi 24, 2026, katika Kata za Mkalamo na Mkwaja ambapo ameonana na…

Read More

Bado Watatu – 18

Jioni ya siku ile nikakutana na Hamisa katika hoteli ya Mtendele. Nilimpigia simu na kumjulisha kuwa tukutane hapo saa moja usiku. Kutoka siku hiyo ndopo tukawa mapenzini na Hamisa. Hamisa alifanikiwa kuharibu akili yangu nikawa kama zezeta. Kwa kuona nilikuwa polisi alinieleza mkasa wake ambao ninataka kukuhadithia kwa vile una fundisho ndani yake.

Read More

CHIEF WA KIBONDO MWAMVUA RAJAB RUHAGA NYAMALIZA AFARIKI DUNIA GHALFA AKIWA MSIBANI MALINYI, MOROGORO

CHIFU wa Kibondo mkoani Kigoma Mama Mwamvua Rajab Ruhaga Nyamaliza amefariki dunia ghafla asubuhi ya tarehe 24 Machi 2026 akiwa msibani Malinyi, mkoani Morogoro. Taarifa za kifamilia zinaeleza kuwa marehemu alikuwa amesafiri kwenda Malinyi kuhudhuria mazishi ya binti yake, Zubeda Juma Ruhaga, kabla ya kifo chake hicho cha kushtukiza kutokea. Kifo hicho kimeacha simanzi kubwa…

Read More

Maridhiano yatajwa kichaka kukwamisha Katiba Mpya

Dar es Salaam. Wadau hao wamesisitiza kuwa mchakato wa Katiba Mpya ni wa kisheria unaohitaji kuanza kwa kuwasilisha muswada wa sharia bungeni, hivyo haupaswi kuhusishwa moja kwa moja na matukio ya hivi karibuni, ikiwemo uchunguzi wa vurugu hizo. Hata hivyo, wengine wameeleza kuwa hatua zinazopendekezwa zinafanana na kuchomeka mambo ambayo hayahitajiki, hivyo kuweo uwezekano wa…

Read More

Pacome wa mwisho akifungwa kamba na Manara

NI zamu ya Pacome Zouzoua kufungwa kamba ya viatu na Haji Manara katika utambulisho wa wachezaji msimu huu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Msimu uliopita Manara alifanya hivyo kwa Stephane Aziz Ki, na pia aliwahi kufanya hivyo kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ wakati huo akiwa Yanga…

Read More

CHAN ilivyoisha na utamu wake

ACHANA na matokeo ya fainali ya mashindano ya CHAN 2024 iliyopigwa jana kati ya Morocco na Madagascar, lakini kipute hicho kilichoanza Agosti 2 – 30, 2025 kwa mara ya kwanza kilihusisha nchi tatu wenyeji ikiwa ni Kenya, Tanzania na Uganda, lakini kimeweka historia mpya kwa kuvunja rekodi mbalimbali. Hii ilikuwa ni hatua kubwa katika kukuza…

Read More

Haya ndio madhara ya kukacha mikutano ya shule

Dar es Salaam. Wazazi waliobahatika kuuanza mwaka 2026 wakiwa na watoto katika hatua mbalimbali za masomo, mnapaswa kutambua kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko chanya katika ushiriki wenu, hususan katika masuala yanayohusu elimu ya watoto wenu. Ni mwaka unaopaswa kuwa wa kujitathmini na kubadili mtazamo kuhusu wajibu wa mzazi katika safari ya elimu ya mtoto….

Read More