SHULE MPYA YA MAPINDUZI KUWAONDOLEA ADHA YA UMBALI WANAFUNZI

Na Mwandishi Wetu, Handeni HALMASHAURI ya Mji Handeni mkoani Tanga imeandika historia mpya baada ya kukamilisha ujenzi wa Shule ya Amali ya Mapinduzi, hatua itakayowaondolea wanafunzi adha ya kutembea umbali wa kilometa 22 kila siku kufuata elimu katika Shule ya Sekondari Kwenjugo. Mradi huo uliofadhiliwa na serikali kupitia Mpango wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP)…

Read More

Profesa Ndoto awapigia chapuo vijana wa Veta

Dodoma. Makandarasi wanaojenga majengo makubwa wameagizwa kutenga nafasi za kuwachukua wanafunzi wanaosoma katika Vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi stadi (Veta), ili kujifunza kwa vitendo. Wito huo umetolewa jana  Septemba 10, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Ndombo alipotembelea na kukagua jengo la makao makuu ya Tume ya…

Read More

NIC Tanzania na Benki ya COOP Watia Saini Mkataba wa Ushirikiano wa Kimkakati Kupanua Upatikanaji wa Huduma za Bima

Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) Limited imeingia makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Benki ya COOP Tanzania. Hafla rasmi ya kutiwa saini ilifanyika tarehe 10 Septemba katika Makao Makuu ya Benki ya COOP, Mtaa wa Kuu, Dodoma. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Kaimu Abdi Mkeyenge, Mkurugenzi Mtendaji wa NIC, alisema: > “Ushirikiano huu wa…

Read More

Bado Watatu – 25 | Mwanaspoti

NIKAYAKATISHA yale mazungumzo yetu.“Sasa shoga subiri nikupeleke kwa gari.”“Itakuwa vyema shoga. Kila saa kukodi bodaboda, hizo hela ziko wapi? Wanaume wenyewe ndio hao wanaokimbia wake zao,” Raisa alisema kisha akacheka.Nikaingia chumbani na kuvaa nguo za kutokea. Nilichukua funguo ya gari. Nikazunguka kwa mlango wa nyuma na kulitoa gari langu ambalo huwa naliweka kwenye banda.Raisa pia…

Read More

Tausi Royals, Dar City zakoleza ushindani BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikifikia hatua ya nusu fainali, inaonyesha timu ya Tausi Royals na Dar City ndizo zilizofanya ushindani wa ligi hiyo uongezeke. Ushindani huo umetokana na usajili mzuri uliofanywa na timu hizo na kufanya timu nyingine ziongeze jitihada zaidi. Hata hivyo, licha ya timu ya Tausi Royals…

Read More

Kazi ipo nusu fainali ligi ya Kikapu Dar

UTAMU wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) umehamia katika nusu fainali ya ligi hiyo. Inaonyesha kila mchezo utakaochezwa utakuwa ni kama fainali. Hiyo imetokana na uwezo mkubwa ulioonyeshwa na timu hizo katika ligi hiyo, na ugumu wa nusu fainali utakaotokea ni kutokana na kila timu kuhitaji kushinda ili iweze kucheza fainali….

Read More

CECAFA Kagame Cup 2025 utamu uko hapa

MICHUANO ya Kombe la Cecafa Kagame imeendelea kunoga huku baadhi ya wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi wakifunguka kuhusu ugumu wa michuano hiyo ambayo imefika hatua ya nusu fainali, itakayoanza kuchezwa kesho, Ijumaa. APR ya Rwanda, Singida BS na KMC za Tanzania ndizo timu za kwanza kutinga hatua hiyo kabla ya mechi za…

Read More

Mwanamnyeto awaita mashabiki Kwa Mkapa

Nahodha wa Yanga, Bakari Mwamnyeto amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia mbinu bora za kocha Romain Folz na ubora wa nyota wapya. Mwamnyeto amefunguka hayo mbele ya wanahabari akisisitiza, wapo tayari kutoa burudani kwa mashabiki ambao watajitokeza Uwanja wa Mkapa, huku akiweka wazi tayari wameingia katika mfumo wa kocha huyo. “Licha ya kwamba kocha ni…

Read More