KATAMBI AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NCHINI TANZANIA
:::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Burundi nchini Tanzania,Mhe. Balozi Leontine Nzeyimana, ambapo wamezungumza masuala mbalimbali ikiwemo uwepo wa kambi za Wakimbizi hapa nchini,Udhibiti na utoaji elimu ili kuzuia uhalifu na Ustawi wa Jamii ya Wakimbizi wa Burundi waliopo hapa nchini. Kikao hicho kimehudhuriwa pia…