Depu aanza kazi, Yanga ikiichapa Mashujaa

Nyota mpya wa Yanga, Laurindo Aurelio ‘Depu’ ameanza kwa neema ndani ya klabu hiyo baada ya leo kuhusika na mabao mawili katika ushindi wa mabao 6-0 ambao timu yake imeupata dhidi ya Mashujaa FC, katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Nyota huyo raia wa Angola, amefunga bao moja na kupiga pasi moja ya…

Read More

UHALIFU ZIWA TANGANYIKA WAWEKEWA MIKAKATI

::::::: Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na changamoto za kiusalama, mazingira na uhalifu wa kuvuka mipaka unaotendeka katika ziwa hilo ambalo ni muhimu kwa uchumi wa nchi zinazopakana nalo.  Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ally Senga Gugu, wakati…

Read More

Mukwala asepa, aibukia Uarabuni | Mwanaspoti

KAMA Mwanaspoti lilivyowajulisha mapema baada ya Jean Charles Ahoua kuuzwa CR Belouizdad ya Algeria, pia Steven Mukwala naye alikuwa mbioni kuondoka klabuni hapo, ndivyo ilivyo kwa sasa baada ya straika huyo raia wa Uganda kutua Al-Nasr ya Libya. Licha ya Mukwala jana  kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar na Simba ilibanwa…

Read More

Sh300 milioni kuimarisha kilimo cha mwani Zanzibar

Unguja. Katika kuendeleza na kuimarisha kilimo cha mwani Zanzibar, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar wamezindua mradi wa utafiti wa zao hilo na matumizi ya teknolojia kuchochea ukuaji wake. Mradi huo unaotarajia kutumia Sh300 milioni, mbali na Zanzibar utafanyika pia Mafia na Bagamoyo kwa…

Read More

Mkurugenzi Mkuu TAA aondolewa kesi ya mgogoro wa ardhi KIA

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Moshi, imeruhusu kuendelea kwa kesi ya ardhi inayohusu mgogoro wa ardhi baina ya baadhi ya vijiji vinavyopakana na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Aidha, Mahakama hiyo imetupilia mbali sehemu ya pingamizi la awali lililowasilishwa na wadaiwa likipinga uhalali wa kesi hiyo, kwa madai kuwa wadai waliwashtaki…

Read More

Kigongosi: Viongozi wa halmashauri msiwe chanzo cha migogoro

Singida. Viongozi wa halmashauri nchini wameonywa kutokuwa chanzo cha migogoro ya wao kwa wao na badala yake watambue kazi yao ni kuwatumikia wananchi kwa nafasi zao bila kuwabagua. Mbali na viongozi wa halmashauri, wasimamizi wa miradi wametakiwa kutanguliza utu kwa wafanyakazi ikiwemo kutowadhulumu stahiki zao na walipe kwa wakati kile walichokubaliana. Wito huo umetolewa leo…

Read More