KATAMBI AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NCHINI TANZANIA

:::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Burundi nchini Tanzania,Mhe. Balozi Leontine Nzeyimana, ambapo wamezungumza masuala mbalimbali ikiwemo uwepo wa kambi za Wakimbizi hapa nchini,Udhibiti na utoaji elimu ili kuzuia uhalifu na Ustawi wa Jamii ya Wakimbizi wa Burundi waliopo hapa nchini. Kikao hicho kimehudhuriwa pia…

Read More

Wanachama 27 wajitokeza kumrithi Jenista, vikao kuamua

Songea. Wanachama 27 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea Vijijini wamejitokeza kuchukua fomu za kutia nia kugombea ubunge Jimbo la Peramiho ili kujaza nafasi iliyoachwa na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Jenista Mhagama. Jenista alifariki dunia Desemba 11, 2025 jijini Dodoma kutokana na maradhi ya moyo na Desemba 16, 2026 alizikwa katika Kijiji…

Read More

KIHONGOSI AAGIZA WIZARA KULETA AMBULANCE ILONGERO

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Laban Kihongosi, amemuagiza Waziri wa Afya Mhe. Mohamedy Mchengerwa kuhakikisha gari la wagonjwa(Ambulance)linafika katika Hospitali ya Wilaya Singida Vijijini haraka iwezekanavyo. Alitoa rai hiyo leo Jumatatu January 19 baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Singida Vijijini, iliyopo Ilongero, mradi unaogharimu Tsh. bilioni 3.7…

Read More

Kihongosi: Viongozi wa halmashauri msiwe chanzo cha migogoro

Singida. Viongozi wa halmashauri nchini wameonywa kutokuwa chanzo cha migogoro ya wao kwa wao na badala yake watambue kazi yao ni kuwatumikia wananchi kwa nafasi zao bila kuwabagua. Mbali na viongozi wa halmashauri, wasimamizi wa miradi wametakiwa kutanguliza utu kwa wafanyakazi ikiwemo kutowadhulumu stahiki zao na walipe kwa wakati kile walichokubaliana. Wito huo umetolewa leo…

Read More

NKASI YAJENGEWA UWEZO MASUALA YA MENEJIMENTI YA MAAFA

NA. MWANDISHI WETU -NKASI Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imewajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa ili kuhakikisha jamii inakuwa stahimilivu wakati wa majanga. Elimu hiyo imetolewa leo tarehe 19 Januari, 2026 na timu ya…

Read More

Depu aanza kazi, Yanga ikiichapa Mashujaa

Nyota mpya wa Yanga, Laurindo Aurelio ‘Depu’ ameanza kwa neema ndani ya klabu hiyo baada ya leo kuhusika na mabao mawili katika ushindi wa mabao 6-0 ambao timu yake imeupata dhidi ya Mashujaa FC, katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Nyota huyo raia wa Angola, amefunga bao moja na kupiga pasi moja ya…

Read More

UHALIFU ZIWA TANGANYIKA WAWEKEWA MIKAKATI

::::::: Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na changamoto za kiusalama, mazingira na uhalifu wa kuvuka mipaka unaotendeka katika ziwa hilo ambalo ni muhimu kwa uchumi wa nchi zinazopakana nalo.  Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ally Senga Gugu, wakati…

Read More