Depu aanza kazi, Yanga ikiichapa Mashujaa
Nyota mpya wa Yanga, Laurindo Aurelio ‘Depu’ ameanza kwa neema ndani ya klabu hiyo baada ya leo kuhusika na mabao mawili katika ushindi wa mabao 6-0 ambao timu yake imeupata dhidi ya Mashujaa FC, katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Nyota huyo raia wa Angola, amefunga bao moja na kupiga pasi moja ya…