Bado Watatu – 1 | Mwanaspoti

UTANGULIZIHebu fikiria kuwa wewe ni mpelelezi, unafika katika tukio la mauaji. Kuna mtu amenyongwa na mtu asiyefahamika. Unamkuta mtu ananing’inia kwenye kitanzi akiwa tayari ameshakufa lakini unakuta mtu mwenyewe aliyenyongwa siku hiyo, ndiye yule ambaye alishanyongwa hadi akafa miaka miwili iliyopita kwa hukumu ya mahakama kutokana na kosa la kuua!Uchunguzi wa polisi unaonyesha kuwa mtu…

Read More

Ulaji wadudu unavyopata umaarufu | Mwananchi

Dar es Salaam.  Katika dunia inayokabiliwa na changamoto za uhaba wa chakula na lishe duni, wataalamu wa afya na lishe wameendelea kuangazia ulaji wa wadudu kama suluhisho mbadala lenye manufaa makubwa kiafya.  Ingawa kwa baadhi ya jamii ulaji wa wadudu bado huonekana kuwa jambo geni, ukweli ni kwamba kwa muda mrefu wadudu wamekuwa sehemu ya…

Read More

Watawa waliofariki ajalini wazikwa Dar

Dar es Salaam. Watawa wanne waliofariki dunia katika ajali ya gari mkoani Mwanza, wamezikwa  leo Septemba 19 jijini Dar es Salaam na jamii imetakiwa kuwakumbuka kwa kuishi vema kwa kuacha alama. Waliofariki dunia katika ajali hiyo iliyotokea Septemba 15, 2025 mkoani Mwanza baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori, ni Lilian…

Read More

Angalizo watumiaji mafuta ya kujikinga na miale ya jua

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya ngozi wametoa tahadhari kufuatia ongezeko la kasi la biashara ya bidhaa za kukinga miale ya jua, maarufu kama ‘sunscreen’, wakisisitiza kuwa kuna umuhimu wa ngozi kupata miale ya jua kwa kiwango cha kutosha kila siku. Biashara ya bidhaa hizo imeonekana kushamiri kwenye maduka ya vipodozi na mitandaoni ambapo…

Read More

Othman ataja mbinu za kuwawezesha wananchi

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ameeleza namna Serikali itakayoundwa na chama hicho, itakavyowawezesha Wazanzibari kujikwamua kiuchumi. Amesema ACT-Wazalendo, ina mipango lukuki ya kuwawezesha Wazanzibari ikiwemo kuwasaidia wananchi wenye kipato duni au wasiokuwa na njia ya kujipatia kipato. “Hawa ndio wale waliokuwa wamekaa tu au kugalagala bila…

Read More

Yanga Yachanja Mbuga Ligi Kuu Licha ya Kutolewa CAF

Je unajua kuwa ni rahisi sana kwako wewe kusuka jamvi na Meridianbet endapo Mechi za Yanga zitakuwa zinachezwa?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanakungoja sasa ingia na ubashiri hapa. Yanga wameendelea kuthibitisha kwa nini wanabaki kuwa moja ya timu kubwa zaidi katika soka la Tanzania. Wakiwa vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada…

Read More

Msimu wa Kelvin John Denmark

MSHAMBULIAJI wa AaB Fodbold ya Denmark, Kelvin John licha ya timu yake hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub amezidi kuwa bora na amesema huu ni msimu wake wa kuonyesha kiwango bora. Jana, timu ya Mtanzania huyo ilipoteza mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza Denmark na…

Read More