TASAC yakabidhi gawio Bilioni 19, Rais Samia atoa maagizo
Kwa mafanikio makubwa, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limejitokeza kama moja ya taasisi za serikali zilizoshiriki katika utoaji wa gawio kwa mfuko wa Hazina ya Taifa zilizopokelewa na Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 11 Juni, 2024 Ikulu jijiji Dar es Salaam. Gawio hilo limewasilishwa…