TASAC yakabidhi gawio Bilioni 19, Rais Samia atoa maagizo

Kwa mafanikio makubwa, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limejitokeza kama moja ya taasisi za serikali zilizoshiriki katika utoaji wa gawio kwa mfuko wa Hazina ya Taifa zilizopokelewa na Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 11 Juni, 2024 Ikulu jijiji Dar es Salaam. Gawio hilo limewasilishwa…

Read More

Serikali yaja na sharti jipya ‘plea bargaining’

Dar es Salaam. Serikali imeweka sharti jipya la mshtakiwa wa kesi ya jinai au uhujumu uchumi, kumaliza kesi kwa utaratibu wa majadiliano na makubaliano na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP),  ambapoo mshtakiwa atalazimika kusubiri mpaka upelelezi wa kesi ukamilike. Sharti hilo limetajwa na mwendesha mashtaka kwenye kesi dhidi ya Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya JATU PLC,…

Read More

Siri ufunguzi wa Soko la Kariakoo kupigwa danadana

Dar es Salaam. Imekuwa ni  ahadi hewa  ya kufunguliwa soko la Kariakoo, lililokuwa katika ukarabati kwa miaka mitatu tangu lilipoungua na kuteketeza mali zote za wafanyabiashara. Soko hilo lililoungua mwaka 2021 ili kulijenga upya, Serikali ilitoa Sh28 bilioni kwa ajili ya  ujenzi huo . Katika kipindi chote hicho wafanyabiashara waliokuwa wakifanya shughuli zao sokoni hapo, walihamishiwa…

Read More

WATUMISHI WA TRA WALIONUSURIKA KIFO TEGETA WATUNUKIWA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatunuku vyeti vya utumishi uliotukuka watumishi wake wawili wa Idara ya Forodha walionusurika kifo wakati wakitekeleza majukumu yao baada ya gari la Mamlaka kushambuliwa na wananchi katika eneo la Tegeta Jijini Dar es Salaam Desemba, 2024 ambapo mmoja wao Amani Simbayao alipoteza maisha na hivyo cheti chake kukabidhiwa kwa mke…

Read More

Kauli ya ‘tutawapoteza’ ya kigogo UVCCM moto

Mwanza/Kagera. Kauli ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Faris Buruhan ya kulitaka Jeshi la Polisi kutowatafuta vijana wanaotukana viongozi mtandaoni pindi watakapokuwa wamepotezwa, imezuia mjadala baada ya watu kuanza kukumbushia waliopotea kusipojulikana. Aprili 16, 2024, akizungumza na viongozi pamoja na vijana wakati wa ziara yake katika mji mdogo wa Rulenge Ngara mkoani…

Read More

Msichomeke vitu vingi kwenye kebo moja

Meneja wa Shirika la umeme Tanesco Mkoa wa Kinondoni kusini Mhandisi Florance Mwakasege amewataka wananchi kuacha tabia ya kuunganisha vitu vingi kwenye kebo Moja kwakuwa ni hatari na inaweza kusababisha mlipuko ambao utagharimu maisha na Mali zao. Mhandisi Mwakasege ametoa wito huo katika bonanza lililokutanisha wafanyakazi wa shirika hilo mkoa wa Kinondoni kusini lenye lengo…

Read More

TET yajitosa kuelimisha matumizi ya akili bandia

Dar es Salaam. Walimu na wanafunzi nchini wanatarajia kunufaika na mkataba mpya uliosainiwa kati ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Kampuni ya Tanzania AI Community, wenye lengo la kuboresha mbinu za ufundishaji na ujifunzaji kwa kutumia teknolojia ya akili bandia (AI). Makubaliano hayo yanayolenga kuimarisha matumizi ya majukwaa ya kidijitali katika shule za msingi…

Read More