Jamii yaaswa kusaidia watoto yatima

Dar es Salaam. Wito umetolewa kwa jamii kuwasadia watu wenye mahitaji maalumu ili nao washerehekee mwaka mpya kwa furaha. Hayo yamelezwa leo Desemba 31, 2024 na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wajomba Family, Salum Ally wakati wa utoaji wa misaada kwa watoto yatima Wilaya ya Kigamboni.    Msaada huo umehusisha unga wa ngano, unga wa mahindi, mafuta…

Read More

Majaliwa akutana na bosi mteule wa WHO kanda ya Afrika

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuiya za kimataifa. Amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imefanikisha kuimarisha ushirikiano baina ya nchi washirika na sasa mafanikio yanaonekana. Majaliwa amesema hayo…

Read More

Hat trick zawapa heshima watatu Championship

WAKATI Kombe la Shirikisho likiwa hatua ya robo fainali, ni mastaa watatu tu wa timu za Ligi ya Championship walioweka heshima kwa kufunga hat trick katika michuano hiyo wakiwapiga bao hadi nyota wa Ligi Kuu Bara, iliyoingiza timu nyingi hatua ya 16 Bora. Nyota wa kwanza kufunga ‘Hat-Trick’ ni Kassim Shaibu ‘Mayele’ wa TMA FC,…

Read More

Juhudi za uokoaji za Ukraine, mwanaharakati wa Libya kutekwa nyara, athari za hali ya hewa kwenye hifadhi ya samaki, SDG 'simu ya kuamka' – Masuala ya Ulimwenguni

Mashambulizi hayo pia yaliharibu majengo 130 – huduma za uokoaji bado zinafanya kazi ya kusafisha mabaki. Shughuli za uokoaji Mashambulizi hayo ya anga siku ya Jumatatu yalipiga na kuharibu Hospitali ya Watoto ya Okhmatdyt, ambapo shughuli za uokoaji zimekamilika. Kwa mujibu wa maofisa wa Serikali na washirika waliokuwepo uwanjani hapo, watoto sita waliojeruhiwa katika shambulio…

Read More

Athari za rangi za kucha kwa wajawazito

Dar es Salaam. Ujauzito ni kipindi cha kipekee cha mabadiliko makubwa katika mwili wa mwanamke, kipindi hiki usalama wa mama na mtoto unapaswa kuzingatiwa kwa umakini zaidi ili kulinda afya za wawili hao. Wakati wanawake wengi hujizatiti kuangalia lishe bora kipindi hiki cha ujauzito na namna ya kujipunguzia majukumu ili kupata muda wa kupumzika, masuala…

Read More

Baraza la Mawaziri Tanzania sasa kidijitali

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa Baraza la Mawaziri utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuleta ufanisi zaidi katika kuwahudumia wananchi. Amesema maboresho hayo ya matumizi ya mfumo wa kielektroniki yatasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza matumizi ya karatasi katika vikao vya Serikali, hususan Baraza la Mawaziri, hivyo kupunguza…

Read More

Dkt.Biteko ateta na viongozi wa CCM Bukombe

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uimara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unatokana na misingi iliyowekwa na waasisi ya kushirikisha wanachama wake kutoka ngazi ya balozi, kata hadi wilaya. Dkt. Biteko ameyasema hayo Juni 9, 2024 katika Wilaya ya Bukombe,…

Read More