Malipo ya kidijitali, urahisi unaotaka umakini kimatumizi

Iwe unanunua katika duka la rejareja au unaagiza chakula mtandaoni, kulipa si changamoto tena kwani salio hupunguzwa moja kwa moja. Hakuna tena foleni ndefu wala usumbufu wa kutafuta chenji; kila kitu hukamilika kwa sekunde chache tu. Urahisi huu wa mifumo ya kielektroniki umekubalika kwa kasi miongoni mwa Watanzania, ukirahisisha biashara na kupunguza kabisa hitaji la…

Read More

Mambo 11 yaliyoibeba sekta ya utalii dhidi ya Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati sekta ya utalii duniani ikirejea katika nafasi iliyokuwapo kabla ya ugonjwa wa Virusi vya Korona (Uviko-19), haya hapa mambo 11 yaliyoibeba sekta hii kwa Tanzania. Mambo hayo kwa mujibu wa Ripoti yamechangia kuongezeka kwa mapato ya utalii nchini kwa asilimia 15.7 hadi kufikia dola za Kimarekani bilioni 3.903 (Sh10.15 trilioni) mwaka…

Read More

Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni

Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili kushughulikia mapungufu yaliyopo, hayo yameangaziwa katika Mkutano wa Sita wa Education Evidence for Action (EE4A) na EDF unaofanyika kila baada ya miaka miwili kabla ya kuzinduliwa rasmi baadaye mwaka huu. Ripoti hiyo inapendekeza tafsiri ya haraka ya…

Read More

NMB Yakabidhi Jezi za Milioni 36 kwa Shimiwi

Benki ya NMB imekabidhi jezi zenye thamani ya Shilingi milioni 36 kwa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi), ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kukuza michezo miongoni mwa watumishi wa umma nchini. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa Shimiwi wakiongozwa na…

Read More

CECAFA Kombe Cup 2025 utamu uko hapa

MICHUANO ya Kombe la Cecafa Kagame imeendelea kunoga huku baadhi ya wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi wakifunguka kuhusu ugumu wa michuano hiyo ambayo imefika hatua ya nusu fainali, itakayoanza kuchezwa kesho, Ijumaa. APR ya Rwanda, Singida BS na KMC za Tanzania ndizo timu za kwanza kutinga hatua hiyo kabla ya mechi za…

Read More

Wikiendi kuna vita ya BDL All Star

WACHEZAJI nyota wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuonyeshana kazi Septemba 13, kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD) kupitia Kurugenzi ya Ufundi na Mashindano, imeeleza timu zitaundwa kwa mfumo wa kanda ya Mashariki na kanda…

Read More

JKT Queens mzigoni tena | Mwanaspoti

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens leo wanashuka tena uwanjani kusaka tiketi ya kwenda nusu fainali ya michuano ya Klabu Bingwa kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) watakapowakabili Yei Joint Stars kutoka Sudan Kusini. Mechi hiyo itapigwa kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex uliopo jijini Nairobi, Kenya ikiwa ni mechi ya mwisho…

Read More