Serie A, EPL, LaLiga & Super Lig Zote Leo – Bashiri Meridianbet
Serie A, EPL, LaLiga & Super Lig Zote Leo – Bashiri Meridianbet – Global Publishers Home Michezo Serie A, EPL, LaLiga & Super Lig Zote Leo – Bashiri Meridianbet
Serie A, EPL, LaLiga & Super Lig Zote Leo – Bashiri Meridianbet – Global Publishers Home Michezo Serie A, EPL, LaLiga & Super Lig Zote Leo – Bashiri Meridianbet
Kocha huyo wa Senegal sasa anakabiliwa na uwezekano wa kusimamishwa kwa muda mrefu, akiwa na hatari halisi ya kukosa Kombe la Dunia la FIFA la 2026 (Juni 11 – Julai 19, 2026), litakaloandaliwa kwa ushirikiano na Marekani, Kanada na Mexico. Hii inafuatia wakati wa kusisimua katika fainali ya AFCON 2025 ambapo…
KAMA Mwanaspoti lilivyowajulisha mapema baada ya Jean Charles Ahoua kuuzwa CR Belouizdad ya Algeria, pia Steven Mukwala naye alikuwa mbioni kuondoka klabuni hapo, ndivyo ilivyo kwa sasa baada ya straika huyo raia wa Uganda kutua Al-Nasr ya Libya. Licha ya Mukwala jana kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar na Simba ilibanwa…
Dar es Salaam. Serikali imetangaza mkakati mpana wa kuharakisha uwekezaji katika uzalishaji wa dawa, ikilenga kuiweka nchi kama kitovu cha kikanda na Bara la Afrika katika uzalishaji wa dawa zenye viwango vya kimataifa. Hatua hiyo imekuja sambamba na ahadi ya ulinzi wa soko kwa wazalishaji wa ndani watakaokidhi viwango vya Shirika la Afya Duniani (WHO)….
Unguja. Katika kuendeleza na kuimarisha kilimo cha mwani Zanzibar, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar wamezindua mradi wa utafiti wa zao hilo na matumizi ya teknolojia kuchochea ukuaji wake. Mradi huo unaotarajia kutumia Sh300 milioni, mbali na Zanzibar utafanyika pia Mafia na Bagamoyo kwa…
Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Moshi, imeruhusu kuendelea kwa kesi ya ardhi inayohusu mgogoro wa ardhi baina ya baadhi ya vijiji vinavyopakana na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Aidha, Mahakama hiyo imetupilia mbali sehemu ya pingamizi la awali lililowasilishwa na wadaiwa likipinga uhalali wa kesi hiyo, kwa madai kuwa wadai waliwashtaki…
Singida. Viongozi wa halmashauri nchini wameonywa kutokuwa chanzo cha migogoro ya wao kwa wao na badala yake watambue kazi yao ni kuwatumikia wananchi kwa nafasi zao bila kuwabagua. Mbali na viongozi wa halmashauri, wasimamizi wa miradi wametakiwa kutanguliza utu kwa wafanyakazi ikiwemo kutowadhulumu stahiki zao na walipe kwa wakati kile walichokubaliana. Wito huo umetolewa leo…
MASHINDANO Maalumu ya Gofu ya Dar es Salaam Mzizima ‘Lions play for Sight’ yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Gymkhana yakishirikisha wachezaji 70, yamekusanya jumla ya Sh112 milioni, zitakazotumika katika kuchangia huduma ya macho. Mratibu wa mashindano hayo, Ragib Hassanali amesema wachezaji hao wanatoka klabu za gofu za Lugalo, Morogoro Gymkhana na Dar es Salaam Gymkhana na…
KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Fredrick Magata amesema kufunga bao katika mechi ya Ligi Kuu Bara akiwa na kikosi hicho msimu huu kwake ni rekodi mpya katika maisha yake, kwani hajawahi kufanya hivyo, tangu ameanza kucheza maishani. Nyota huyo aliifungia Mtibwa Sugar bao la kusawazisha dakika ya 60, katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya…
Dar es Salaam. Upelelezi kesi ya kusafirisha dawa za kulevya inayowakabili Abdallah Mwita (38) na wenzake watatu haujakamilika. Wakili wa Serikali, Roida Mwakamele ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Januari 19, 2026 wakati kesi hiyo ilipotajwa. Mwita na wenzake wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 5208 ya mwaka 2025, yenye mashtaka mawili ya…