Hii hapa ratiba kamili uchaguzi mkuu, kura ya mapema Zanzibar

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza ratiba kamili ya uchaguzi utakaofanyika Oktoba 29, 2025, ambapo kura ya mapema inatarajiwa kupigwa Oktoba 28, 2025. Akitangaza ratiba hiyo kwa waandishi wa habari leo Jumatatu, Agosti 18, 2025, Mwenyekiti wa tume hiyo, George Joseph Kazi, amevitaka vyama vya siasa vitakavyoweka wagombea pamoja na wagombea wenyewe katika ngazi…

Read More

Wenye migogoro ya bima waitwa Sabasaba kusuluhishwa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Msuluhishi wa Migogoro ya Bima, Margaret Mngumi amewataka wananchi wenye changamoto za madai ya bima kutembelea Kijiji cha Bima kilichopo katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) waweze kutatuliwa. Akizungumza Julai 7,2024 na Waandishi wa habari, amesema ofisi hiyo inalenga kutatua migogoro ya bima kwa njia mbadala yaani…

Read More

DCEA YAIBUKA KIDEDEA KATIKA UANDAAJI BORA WA HESABU 2024

 ::::::::: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekuwa mshindi wa kwanza na kupewa tuzo ya umahiri katika utayarishaji bora wa taarifa za hesabu kwa mwaka 2024 kwa kufuata viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu International Public Sectors Accounting Standards (IPSAS) katika kundi la Taasisi za Serikali zinazojitegemea.  Tuzo hiyo imetolewa…

Read More

Moto wateketeza karakana ya mbao, samani Dar

Dar es Salaam. Karakana ya mbao na samani mbalimbali iliyopo Mtaa wa Kibangu, Kata ya Makuburi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam imeteketea kwa moto. Moto huo ambao umetokea asubuhi ya leo Jumatano, Februari 5, 2025 umeelezwa na mashuhuda umesababishwa kwa hitilafu kwenye nguzo ya umeme iliyopo pembezoni mwa jengo hilo kisha kudondokea kwenye…

Read More

Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike

Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike kupitia Kongamano la KIGODA LA WASICHANA @kigodachawasichana lililofanyika Tarehe 11/10/2024 katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Kike visiwani Zanzibar. Kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya @shirazfoundation imemkabidhi Tuzo hiyo Alikiba alipohudhuria na kushiriki Kongamano hilo viwanja vya Nyamanzi Zanzibar na kuhudhuriwa na Mgeni Rasmi,…

Read More

Moto jengo la Tanesco ulivyodhibitiwa

Lindi. Jengo la Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco ) Mkoa wa Lindi limeungua moto leo huku chanzo chake bado hakijajulika. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilika kwa kazi ya kuzima moto huo, Mrakibu Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji ambaye pia ni Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto Mkoa wa Lindi, Joseph Mwasabeja amesema…

Read More