
AMREF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA MKUNGA DUNIANI 2025
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha (kushoto) akipewa maelezo katika banda la Amref Tanzania wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza na wananchi, wageni na wadau mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Wananchi na wageni…