AMREF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA MKUNGA DUNIANI 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha (kushoto) akipewa maelezo katika banda la Amref Tanzania wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza na wananchi, wageni na wadau mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Wananchi na wageni…

Read More

DK.JAFO APIGA MAARUFUKU KUCHANGANYA MAZAO

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Chama  wakitembelea na kukagua Ghala la Mpako linalotumia Mfumo wa Stakabadhi liilopo Wilaya ya Liwale ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake Maalum katika Mkoa wa  Lindi kwa lengo kukagua utekekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Awamu ya Sita chini…

Read More

Chaumma sasa kuzindua ziara ya ‘chopa’ Juni 3

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimesogeza mbele uzinduzi wa mikutano yake ya siku 16 ya kujitambulisha na kupokea wanachama wapya kutoka Juni Mosi, 2025 hadi Juni 3, 2025 baada ya kukosa vibali vya kurusha ‘chopa’ na uwanja wa mkutano wa uzinduzi. Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Mwanza leo Mei 29, 2025, Naibu…

Read More

SHIKA KITITA CHA MAANA LEO

JUMAPILI ya kuondoka kinara na wakali wa ubashiri Tanzania umefika ambapo Meridianbet inakupa nafasi ya kuibuka bingwa leo. Wababe wengi kuchuana huku wewe ukiondoka na mkwanja mzito. EPL leo hii kuna mechi mbili tuu ambapo mechi ya mapema ni hii ya Fulham dhidi ya Ipswich ambao wametoka kushinda mechi yao iliyopita. Tofauti ya pointi kati…

Read More

Utata polisi ikimsaka anayedaiwa kupotea Dar

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likitangaza kufuatilia taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya kupotea Adinani Hussein Mbezi (32), mkewe Pendo Simon anadai anashikiliwa na jeshi hilo. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, Adinani maarufu Adam, mkazi wa Kinyerezi, Mtaa wa Faru alipotea Septemba 12,…

Read More

Simba yaanza mambo, Fadlu akitaka usiri

KIKOSI cha Simba kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Morocco baada ya kuwasili jana Alhamisi asubuhi. Mazoezi hayo yamefanyika kwenye viwanja vya Mazgan katika mji wa Jadida. Wachezaji wote waliosafiri katika msafara wa Simba kuja Morocco wameshiriki katika mazoezi hayo. Kabla ya mazoezi hayo kufanyika, kocha Fadlu Davids alitoa agizo la kuzuia waandishi wa habari na…

Read More

Nani Bingwa wa LALIGA 2025/26? – Global Publishers

Last updated Aug 11, 2025 Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa leo hii unaweza ukabashiri nani anaweza kuwa bingwa wa Laliga. Kila timu imepewa ODDS nzuri inayoweza kukupatia pesa za maana. Jiunge sasa na Meridianbet uanze safari yako ya ushindi hapa. Manuel Pellegrin Real Betis Seville na vijana wake wamewekwa nafasi ya 6 kuwania…

Read More